KITAIFA
July 17, 2024
41 views 2 mins 0

VIONGOZI WA ACT WAZALENDO WAMJIA JUU WAZIRI NAPE

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Viongozi wakuu wa Chama cha ACT Wazalendo wanatarajia kufanya ziara ya kikazi kwenye mikoa 22 na majimbo 125 ya Tanzania Bara kwa ajili ya kujiandaa na uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika baadaye mwaka huu (2024) na uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwakani (2025) Taarifa ya chama hicho iliyotolewa mbele ya […]

KITAIFA
April 03, 2024
107 views 2 mins 0

TANZANIA YAPONGEZWA USIMAMIZI RASILIMALI MADINI,MAFUTA NA GESI ASILIA

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM Dkt. Biteko akutana na Mwenyekiti wa Bodi ya EITI ya nchini Norway* Ushirikiano wa EITI na TEITI kuimariswa* Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko leo tarehe 3 Aprili, 2024 amekutana na kuzungumza na Mwenyekiti wa Asasi ya Bodi ya Kimataifa ya Uhamasishaji Uwazi na […]

KITAIFA
November 09, 2023
218 views 2 mins 0

HALI YA UPATIKANAJI WA UMEME YAIMARIKA

Sasa upungufu wa umeme wabakia 218 MW kutoka 421 MW. Hali ya upatikani umeme nchini imeimarika na sasa upungufu wa umeme umebakia 218 MW. Hayo yameelezwa na Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga, tarehe 9 Novemba, 2023 Jijini Dodoma wakati akijibu maswali ya Wabunge waliotaka kufahamu mpango wa Serikali katika kumaliza changamoto za umeme […]

KITAIFA
October 15, 2023
211 views 2 mins 0

TARURA KUANZA UJENZI WA DARAJA LA MFILISI-MIKUMI

Kero ya kukatika kwa mawasiliano katika Kata za Kisanga, Ulaya na Mikumi kumalizika Kilosa – Morogoro. Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Wilayani Kilosa imedhamiria kumaliza kero ya muda mrefu ya kukatika kwa mawasiliano katika Kata tatu za Kisanga, Ulaya na Mikumi baada ya kukamilisha taratibu zote za ujenzi wa daraja la Mfilisi […]

KITAIFA
October 12, 2023
147 views 3 mins 0

MRADI KITUO CHA KUPOZA UMEME CHALINZE WAFIKIA ASILIMIA 84.3

Asisitiza Watanzania wanataka umeme Atoa Pongezi kwa wafanyakazi kwenye mradi huo TANESCO wapongezwa kwa hatua ya ujenzi Mradi wa ujenzi wa Kituo cha Kupoza Umeme wa Msongo wa kilovoti 400/220/132/33 wa kituo cha Chalinze umefikia asilimia 84.3 na hivyo kuleta matumaini ya kuboresha hali ya upatikanaji wa umeme. Hayo yameelezwa leo Oktoba 12, 2023 na […]

KITAIFA
October 07, 2023
132 views 45 secs 0

MHANDISI SEFF AMTAKA MKANDARASI BARABARA YA KASULU-KABANGA-KASUMO-MUYAMA KUKAMILISHA MRADI KWA WAKATI

Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Mhandisi Victor H. Seff amemwelekeza Mkandarasi โ€˜Salum Motors Transport Co.Ltdโ€™ kuhakikisha anakamilisha kwa wakati ujenzi wa barabara ya Kasulu- Kabanga-Kasumo-Muyama km 36 ambapo awamu ya kwanza ya km 12.5 inaendelea kujengwa kwa kiwango cha lami. Akiwa katika ukaguzi wa barabara hiyo, Mhandisi Seff ameeleza […]

KITAIFA
October 05, 2023
220 views 2 mins 0

MAVUNDE:KUSAIDIA WA TANZANIA KUPATA MKOPO NA KUINGIA KATIKA SEKTA YA MADINI

Mkutano mahususi kati ya Taasisi za fedha ambao unahusisha wachimbaji wadogo na wachimbaji wakubwa na watoa huduma Kwa kujadiliana kwa changamoto kubwa ya Taasisi za fedha kuto wakopesha sekta ya madini Changamoto hiyo inawafanya watanzania wengi kuwa waangaliaji wa Fursa kubwa ya madini iliyopo Nchini Tanzania na sio washiriki wa sekta ya madini Akizungumza na […]

KITAIFA
September 04, 2023
155 views 11 secs 0

MHE. KATAMBI: SERIKALI IMEWEKA MFUMO WA UFUATILIAJI NA TATHMINI YA PROGRAMU ZA VIJANA

Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Patrobas Katambi amesema serikali imeweka mfumo wa ufuatiliaji na tathmini ya miradi na programu za vijana ili kupima matokeo ya utekelezaji sambamba na kuleta tija kwa Taifa. Mhe. Patrobas Katambi ameyasema hayo bungeni 4 Septemba, 2023 alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa […]

KITAIFA
September 04, 2023
173 views 2 secs 0

ACT WAZALENDO WAKUBALIANA NA MKATABA LAKINI WAITAJI

Chama Cha ACT wazalendo kinaunga mkono Uwekezaji WA Bandari ya Dar es salaam kati ya Serikali ya Tanzania Na Dubai DPWorld ili kuongeza ufanisi na utendaji kazi wa Bandari hio Hayo yameelezwa Jijini Dar es salaam na Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho Dorothy Semu alipokitana na Waandishi WA Habari Kwa lengo la kutia ufafanuzi kuhusu […]