VIONGOZI WA ACT WAZALENDO WAMJIA JUU WAZIRI NAPE
Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Viongozi wakuu wa Chama cha ACT Wazalendo wanatarajia kufanya ziara ya kikazi kwenye mikoa 22 na majimbo 125 ya Tanzania Bara kwa ajili ya kujiandaa na uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika baadaye mwaka huu (2024) na uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwakani (2025) Taarifa ya chama hicho iliyotolewa mbele ya […]