Home > Articles posted by MACHINGA TV (Page 88)
FEATURE
on May 16, 2024
261 views 58 secs

Na Mwandishi Wetu Beijing Kampuni ya  Touchroad Holding Group ya nchini China inayojihusisha  na kuziunganisha nchi za Afrika na fursa mbalimbali zilizoko nchini China hasa utalii, biashara na uwekezaji itazindua safari za ndege kati ya Tanzania na China kuanzia mwezi Juni mwaka huu. Hayo yamesemwa na Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) […]

FEATURE
on May 16, 2024
315 views 2 mins

-Akagua barabara ya kibada Mwasonga, -Atembelea Kiwanda cha Nyati Cement. -Afanya Mkutano wa hadhara eneo la Kijaka-Kimbiji Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Mei 15, 2024 amefanya ziara ya kimkakati Wilaya ya Kigamboni Jijini Dar es Salaam. RC Chalamila alianza ziara yake kwa kukagua miundombinu ya TANROAD hususani barabara ya […]

FEATURE
on May 15, 2024
220 views 3 mins

– Filamu ya ” Amazing Tanzania ” yazinduliwa China Na Mwandishi Wetu – Beijing Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeadhimisha Miaka 60 ya Kidiplomasia kati yake na China sambamba na uzinduzi wa mwaka wa Utalii na Utamaduni ulioambatana na  uzinduzi rasmi wa filamu ya “Amazing Tanzania” Mei 15, 2024 jijini Beijing China. Akizungumza […]

FEATURE
on May 15, 2024
176 views 2 mins

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA ZANZIBAR Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi itazindua zoezi  la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura tarehe 01 Julai, 2024 mkoani Kigoma na mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa Akizungumza na waandishi wa habari Mjini Unguja, Zanzibar, leo tarehe […]

FEATURE
on May 15, 2024
256 views 55 secs

Na Mwandishi Wetu DAR ES SALAAM———————————————Mapema leo, Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya Tanzania (TUGHE) kimetia Saini Hati ya Mashirikiano (Memorandum of Understanding) baina yake na Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) yatakayoziwezesha Taasisihizo mbili kushirikiana katika mambo mbalimbali hususan suala la utoaji elimu ya usalama na afya kwa wanachama wa […]

FEATURE
on May 15, 2024
221 views 2 mins

Na Beatus Maganja Mkazi wa Kijiji cha Kasenyi kilichopo wilaya ya Sengerema Mkoani Mwanza Bw. Obeid Francis (44) amenusurika kuliwa na mnyamapori aina ya mamba baada ya kuikumbuka na kuitumia elimu ya kuepuka madhara yanayoweza kusababishwa na wanyamapori wakali na waharibifu inayoendelea kutolewa na Maofisa wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania – TAWA maeneo […]

FEATURE
on May 14, 2024
170 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA CHINA MAKUMBUSHO YA CHINA NA TANZANIA KUSHIRIKIANA Na Mwandishi Wetu-Beijing Makumbusho ya Taifa  ya China na Tanzania zimekubaliana  kushirikiana katika kubadilishana uzoefu, teknolojia na kuwa na maonesho ya pamoja  kwa lengo  la kuhakikisha kuwa huduma za makumbusho zinakuwa na faida kwa pande zote mbili za nchi hizo. Makubaliano hayo yamefikiwa katika […]

FEATURE
on May 14, 2024
273 views 34 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA CHINA Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) akizungumza na Rais wa Kampuni ya Utalii ya Yingke (Yingke Group), Mei Xiang Rong kuhusu kushirikiana katika Sekta ya Utalii hasa utangazaji utalii, utalii wa mikutano pamoja na kuwekeza nchini Tanzania katika Sekta hiyo kwenye kikao kilichofanyika Ubalozi wa Tanzania nchini […]

FEATURE
on May 14, 2024
215 views 3 mins

Na. Jeshi la Polisi, Dar es Salaam. KAMISHNA wa Utawala na Menejimenti ya Rasilimali watu, CP. Suzan Kaganda Mei 13, 2024, Jijini Dar es Salaam, amefungua mafunzo ya siku mbili ya namna ya uwasilishaji wa nyaraka za mafao kupitia mfumo wa TEHAMA kwa Maafisa Wanadhimu Makao Makuu, Mikoa na Vikosi pamoja na Wasimamizi na Watendaji […]

FEATURE
on May 14, 2024
185 views 4 mins

Rais Samia atunukiwa tuzo kwa mchango wake Sekta ya Afya NIMR yapongezwa kwa ushawishi wa utafiti kimataifa Serikali yatoa kipaumbele tafiti za kisayansi Vituo vya utafiti vyaaswa kushirikiana kuboresha utafiti Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati  Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa Serikali inatambua […]