Home > Articles posted by MACHINGA TV (Page 79)
FEATURE
on Jun 14, 2024
216 views 2 mins

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA DAR ES SALAAM Wakati sakata la ushoga likiendelea kutawala mijadala kupitia vyombo mbalimbali vya habari ikiwemo mitandao ya kijamii, viongozi wa dini wameendelea kukemea na kutoa maonyo juu ya vitendo hivyo. Wakizungumza na waandishi wa habari mapema leo, viongozi hao wakiwemo maaskofu, wachungaji na ma-sheikh pamoja na wakufunzi wa vyuo vya […]

FEATURE
on Jun 14, 2024
218 views 3 mins

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA TABORA TARURA Mkoa wa Tabora imepokea fedha za dharuraย  kiasi cha shilingi milioni 790ย  kwaajili ya kurejesha mawasiliano ya miundombinu ambayo yameathiriwa na mvua za Elnino mkoani humo. Meneja wa TARURA Mkoa wa Tabora, Mhandisi Lusako Kilembe amesema kwamba fedha hizo zitatumika kurejesha mawasiliano ya barabara ambazo zilikatika kutokana na mvua […]

FEATURE
on Jun 14, 2024
186 views 2 mins

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA DAR ES SALAAM Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA imesema inajiimarisha kufatilia vyombo vya habari na waandishi wa habari wanaopotosha habari hususani katika kipindi cha kuelekea uchanguzi wa serikali za mtaa na uchaguzi mkuu wa nchi kwani waandishi wengi wanaonekana kuwa na tatizo la kusoma namba hali inayopelekea kuandika takwimu zisizo sahii. […]

FEATURE
on Jun 14, 2024
171 views 3 mins

Na Beatus Maganja, Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya TAWA Mej. Jen. (Mstaafu) Hamis Semfuko amesema Bodi anayoiongoza imejipanga kuja na mipango madhubuti ya kuifanya Hifadhi ya Pande iliyopo Jijini Dar es Salaam kuwa kivutio kikubwa kwa watu waishio  ndani na nje ya Jiji hilo. Akizungumza na waandishi wa habari    katika ziara  […]

FEATURE
on Jun 13, 2024
186 views 55 secs

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA DAR ES SALAAM Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Jaji Jacobs Mwambegele, amesema waandishi wamekuwa kiungo kikubwa kupitia taarifa za habari, vipindi na makala katika kutoa elimu ya mpiga kura. Amesema elimu hiyo ni muhimu kuwafikia walengwa kote nchini ili waweze kupata taarifa ya nini wanapaswa kufanya kwa […]

FEATURE
on Jun 13, 2024
210 views 2 mins

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Tanzania imeandaa mfumo mpya ya Teknolojia ya kujiandikisha Katika daftari la kudumu la mpiga kura Kwa kutumia njia ya mtandao Ameyasema hayo Leo Tarehe 13 Juni 2024 Mwenyekiti wa Tume Mhe.Jaji (Rufaa) Jacobs Mwambegele wakati akifungua kikao kazi Cha waandishi wa habari […]

FEATURE
on Jun 12, 2024
249 views 2 mins

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA -Asema wasanii wanamchango mkubwa katika maendeleo ya Taifa -Awataka kupitia kazi zao za sanaa kufikisha ujumbe wa matumizi ya matokeo ya Sensa ya mwaka 2022 kwa jamii Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Juni 12,2024 amefungua mafunzo ya matumizi ya matokeo ya Sensa ya watu na […]

FEATURE
on Jun 12, 2024
293 views 2 mins

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA ***Treni ya SGR haijaja kuchukua nafasi ya ndege Wala Mabasi ****Mizigo mikubwa haitakiwi,chakula Wala Wanyama inaitaji kuwa Treni ya kimataifa Shirika la Reli Tanzania TRC limezindua Safari ya Treni ya Mwendokasi kutoka Dar es salaam Mpaka Morogoro Na kuanza Rasmi safari hiyo siku ya ijumaa ya Tarehe 14 […]

FEATURE
on Jun 12, 2024
328 views 29 secs

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Baada ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi chini ya Mwenyekiti wakeย  Mohammed Ali Kawaida kuitaka Serikali kupitia Wizara ya Habari Mawasiliano na Teknolojia ya Habari kufungia Mtandao wa X ambao Zamani ulijulikana kama Twitter kutokana na mtandao huo kuruhusu mambo ambayo ni kinyume na Utamaduni wa Watanzania Leo Juni […]

FEATURE
on Jun 12, 2024
342 views 3 mins

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA *๐Ÿ“Œ Diplomasia ya Kiuchumi yainadi Tanzania kimataifa* *๐Ÿ“Œ Marekani yasaka fursa uwekezaji Sekta ya Nishati* *๐Ÿ“Œ Dkt. Biteko ataja maono ya Rais Dkt. Samia kiini cha ujio wa wawekezaji* *Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati* Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Doto Biteko amekutana na […]