Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Heshimuni matumizi ya fedha za miradi* Wizara iwasaidie vijana kuanzisha kampuni na kuwapatia kazi ndogo ndogo ili kuwajengea uzoefu* Makandarasi wazawa kupewa kipaumbele katika malipo ya kazi walizofanya* Wakandarasi wanawake wapongezwa* ๐Dar es Salaam Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka Makandarasi nchini kutekeleza miradi ya […]
Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Kijiji cha Bima kimezinduliwa rasmi leo, Juni 28, 2024, katika Maonesho ya 48 ya Sabasaba yanayofanyika Dar es Salaam. Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA) na wadau wake wamekusanyika katika tukio hili muhimu kuashiria umoja wao katika sekta ya bima, wakilenga kuboresha huduma za bima kwa Watanzania na kuhakikisha soko […]
Na Happiness Shayo Dodoma Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) amesema kuwa katika kuhakikisha kunakuwapo na vyanzo endelevu vya uzalishaji wa mbegu bora za miti sambamba na ulimaji miti hiyo kibiashara, Serikali kupitia Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) imeanzisha upandaji wa miti jamii ya Mninga katika mashamba yake ya Miti […]
Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Amtaka Meneja kuhakikishaย anawasimamia vema mkandarasi Mradi kuleta tija kwenye upatikanaji wa Umeme Kishapu, Shinyanga Kamishna wa Umeme na Nishati Jadidifu Wizara ya Nishati, Mhandisi Innocent Luoga ameridhishwa na hatua mbalimbali za maendeleo katika upatikanaji wa huduma ya Umeme mkoaniย Shinyanga huku akimsisitiza mkandarasi mradi wa umeme wa Jua wilaya ya […]
Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Asema ni chanzo cha mmomonyoko wa maadili* Ahusisha na ukatili wa kijinsia na mauaji ya Albino* Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka Watanzania kuzingatia utamaduni wao na katu wasiendekeze utamaduni wa kigeni kwan kwa kufanya hivyo ni sawa na kuuza uhuru wao kama nchi. Dkt. […]
Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Chuo Cha Bahari Dar es salaam DMI Kwa kushirikiana na chuo Cha Bahari Cha Ghana wameandaa kongamano la Tatu ambalo linalotarajia kufanyika Julai 4 na 5 Katika ukumbi wa kimataifa wa Julius Nyerere JNICC Jijini Dar es salaam Ameyasema hayo Leo Tarehe 27 Juni 2024 Mkuu wa chuo […]
Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Wajadiliย Mradi waย Maboresho Sekta ya Nishatiย _(Energy Sector Reformย Programme) Serikali yaeleza ilivyotimiza masharti ya EU ili kupata fedha za Maboresho ya Sekta ya Nishati Dar es salaam Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mha. Felchesmiย Mramba leo 26 Juni, 2024,ย amekutana na kufanya mazungumzo naย Ujumbe kutokaย Umoja wa […]