Home > Articles posted by MACHINGA TV (Page 70)
FEATURE
on Jul 9, 2024
167 views 31 secs

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt Selemani Jafo amemuagiza Mkandarasi Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) kuongeza kasi ya ukamilishaji wa jengo la wizara hiyo kwa wakati. Dkt Jafo aliyasema hayo wakati alipotembelea Jengo la Wizara hiyo kugagua ujenzi unaoendelea mara baada ya kuwasili katika Ofisi za Wizara hiyo Julai […]

FEATURE
on Jul 9, 2024
188 views 59 secs

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt Selemani Jafo aliwasisitiza wafanyakazi wa wizara na taasisi zilizochini yake kufunga mkanda kuhakikisha sekta ya viwanda na biashara zinapiga hatua. Dkt. Jafo aliyasema hayo Julai 08, 2024 wakati akiongea na Menejimenti na Watumishi wa Wizara ya Viwanda na Biasharaย  wakiongozwa na Naibu Katibu Mkuu […]

FEATURE
on Jul 8, 2024
299 views 3 mins

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Ampongeza Dkt. Biteko kwa kuiongoza vyema Wizara na TANESCO kwa utekelezaji wa miradi* Akagua vituo vya kupoza umeme Nguruka na Kidahwe* Aagiza ifikapo Septemba Kigoma iwe imeingia kwenye Gridi ya Taifa* Kapinga asema Wizara haitakuwa kikwazo cha wananchi kupata umeme wa uhakika* Makamu wa Rais, Mhe. Dkt Philip Isdor Mpangoย  ameipongeza […]

FEATURE
on Jul 8, 2024
192 views 24 secs

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Katibu wa itikadi na mwenezi na mafunzo CPA Amos Makala Amesema Jitihada za serikali ni kuona uboreshaji wa huduma Kwa wananchi wao Ameyasema hayo Leo Tarehe 08 Julai 2024 Katibu wa itikadi na mwenezi na mafunzo CPA Amos Makala Akiwa Katika ziara yake ya pili ya kusikiliza kero […]

FEATURE
on Jul 7, 2024
231 views 2 mins

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Waziri wa viwanda na biashara Suleiman jafo Leo ametembelea Katika maonyesho 48 ya Kimataifa ya Sabasaba ambayo yanakuwa Kwa kila mwaka wa mwezi wa Saba na watu wa mataifa wote wanakuwa hapo Kwa ajili ya kutangaza biashara zao Waziri wa viwanda na biashara Suleiman jafo Amesema Katika maonesho […]

FEATURE
on Jul 7, 2024
187 views 3 mins

Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Selemani Saidi Jafo (Mb)  ameihakikishia sekta binafsi hususani  Wafanyabiashara naWawekezaji wa Viwanda kuwa watapata ushirikiano mkubwa  katika kutatua changamoto mbalimbali za kibiashara ili kuhakikisha wanafanya biashara kwa chini ya uongozi wake. Ameyasem hayo Julai 5, 2024,  alipokuwa akizungumza na baadhi ya Taasisi zilizochini ya Wizara yake  zinazofanya kazi […]

FEATURE
on Jul 7, 2024
222 views 4 mins

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Dk. Selemani Jafo, amewahakikishia wafanyabiashara wa Tanzania kufanya uratibu mzuri wa shughuli za kibiashara ili kuleta faida kubwa sana katika nchi. Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kumaliza kikao cha pamoja kilichowashirikisha watendaji wa Wizara ya viwanda na Biashara ya Tanzania na Wizara ya […]

FEATURE
on Jul 7, 2024
338 views 3 mins

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Mjumbe wa NEC, Idara ya Organization wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Issa Gavu amewataka vijana kujitokeza Kwa wingi kujiandikisha kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura na kushiriki kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika chaguzi za Serikali za Mitaa na Vitongoji utakaofanyika Oktoba mwaka huu. Wito huo huo ameutoa leo, Julai […]

FEATURE
on Jul 6, 2024
221 views 57 secs

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha mapinduzi (CCM) komredi Amos Makalla, amesisitiza kwamba Chama hicho hakiwezi kujitenga na Matatizo ya Wananchi, hivyo amewataka watendaji wa Serikali wakiwemo Wakuu wa Mikoa, Wilaya na Wakurugenzi kuendelea na Utaratibu wa kutenga muda ili Kusikiliza na Kutatua kero mbalimbali za Wananchi. […]

FEATURE
on Jul 6, 2024
186 views 2 mins

-Asikikiliza maoni na ushauri katoka pande zote mbili wafanya biashara wakubwa na machinga-Aelekeza kuundwa kamati ambayo itaongozwa na Katibu Tawala wa Mkoa Dkt Toba Nguvila Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Julai 06,2024 amekutana na kufanya kikao na viongozi wa wafanyabiashara wakubwa na machinga wa kariakoo katika ukumbi wa Arnatoglo […]