Home > Articles posted by MACHINGA TV (Page 66)
FEATURE
on Jul 22, 2024
227 views 2 secs

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Awataka kujindikisha na kujiandaa kwa uchaguzi wa Serikali za Mitaa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka Watanzania kuchagua Viongozi Bora wa Serikali za Mitaa kwenye uchaguzi mwaka huu ambao watakuwa mstari wa mbele kuleta maendeleo na kutatua changamoto zao kwa haraka. Dkt. Biteko ameyasema hayo […]

FEATURE
on Jul 22, 2024
261 views 2 mins

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Kadi za mpiga kura zilizotolewa mwaka 2015 na 2020 ni halali na zitaendelea kutumika kwenye chaguzi kuu zijazo bila kujali mabadiliko ya jina la Tume ya Uchaguzi kutoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuwa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi. Akizungumza wakati wa ziara aliyoifanya ya kukagua vituo vya kuandikishia wapiga […]

FEATURE
on Jul 20, 2024
215 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Amezindua Ripoti ya Maendeleo ya Watu Tanzania, 2022 Wizara, Taasisi, Mashirika na wadau watakiwa kutoa maoni Makongamano ya kikanda kuendelea Imeelezwa kuwa, Dira ya Taifa ya Maendeleo ni picha na maono kuhusu mustakabali tarajiwa wa maendeleo ya nchi kwa siku za usoni. Hayo yamebainishwa leo Julai 20, 2024 na Naibu Waziri […]

FEATURE
on Jul 20, 2024
189 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Zajadili ushirikiano katika utafutaji,  usambazaji wa Gesi Asilia na Mafuta* Tanzania yaikaribisha Indonesia uendelezaji wa Jotoardhi* Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchesmi Mramba amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Indonesia, Pahala  Mansury ambapo mazungumzo yao yalijikita katika kuongeza ushirikiano kati ya nchi hizo […]

FEATURE
on Jul 20, 2024
202 views 4 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA KIGOMA Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa kwa mujibu wa takwimu za Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 jumla ya wapiga kura wapya 5,586,433 wataandikishwa katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura. Amesema kuwa wapiga kura hao ni ambao watakuwa wametimiza umri wa miaka 18 katika kipindi cha kuanzia […]

FEATURE
on Jul 19, 2024
189 views 2 mins

Na Catherine Sungura,Chamwino Ujenzi wa barabara za Chamwino  umezingatia watembea kwa miguu na wanaofanya mazoezi Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Mhandisi Victor Seff  amewaomba wananchi kutunza na kulinda miundombinu ya barabara ikiwemo taa za barabarani. Mhandisi Seff ametoa wito huo wakati wa ukaguzi wa barabara zilizojengwa na TARURA kwa […]

FEATURE
on Jul 19, 2024
156 views 2 mins

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA UMOJA wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) umekabishiwa vifaa vya kilimo na Kampuni ya Kichina ya AMEC Group. Akizungumza katika hafla fupi ya makabidhiano hayo leo Julai 19, 2024 jijini Dar es Salaam Mwenyekiti wa UVCCM Taifa Mohammed Kawaida amesema vifaa hivyo lengo ni kuwasaidia vijana kujikwamua […]

FEATURE
on Jul 18, 2024
235 views 3 mins

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Waziri mkuu wawataka Wamiliki  wa nembo nchini  kuhakikisha wanafuatilia bidhaa zao sokoni Kwa kutoa taarifa Katika tume ya ushindani FCC pale wanapobaini uwepo wa bidhaa zao wanapoziagiza nchini na wanapoeka alama za bidhaa zao (NEMBO) na kuhakikisha wanadhibiti  bidhaa bandia haziingii nchini. Akizungumza na waandishi wa habari leo […]

FEATURE
on Jul 17, 2024
399 views 3 mins

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Dkt.Mataragio azindua programu ya ushirikiano ya TriDEP Inalenga kuongezea Wataalam uwezo katika eneo la Nishati Jadidifu TriDEP kugusa pia uimarishaji wa Gridi ya Taifa* Serikali ya Marekani, India na Tanzania zimekubaliana  kuongeza ushirikiano katika   miundombinu ya  umeme unaotokana na Nishati Jadidifu ili iweze kuchangia ipasavyo katika gridi ya Taifa kama ilivyo […]