Home > Articles posted by MACHINGA TV (Page 60)
FEATURE
on Aug 9, 2024
140 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura mkoani Mwanza na Shinyanga utafanyika kwa siku saba kuanzia tarehe 21 hadi 27 Agosti, 2024 ambapo jumla ya wapiga kura wapya 400,082 wanatarajiwa kuandikishwa. Hayo yamesemwa leo tarehe 09 Agosti, 2024 kwa nyakati tofauti kwenye mikutano ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi […]

FEATURE
on Aug 8, 2024
135 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi amemwagiza Waziri wa Mambo ya Ndani,  Hamad Masauni au naibu wake  kuungana nae kwenye ziara mkoani Kagera kwa ajili ya kutoa ufafanuzi malalamiko ya wananchi kuhusu upatikanaji wa vitambulisho vya uraia, maarufu kama NIDA. Balozi Nchimbi ambaye yuko katika […]

FEATURE
on Aug 7, 2024
193 views 4 mins

NA Anton Kiteteri Awambia wanayanga waje waone mpira wa hesabu. Dar es Salam KATIKA kuelekea mchezo wa leo wa Ngao ya Jamii kati ya watani wa jadi Simba na Yanga,msemaji wa klabu ya Yanga Haji Manara amewambia wanachama na mashabiki wa Simba wafurahie hata kama watafungwa kwa maana watakuwa wamefungwa na timu bora. Manara  ambaye […]

FEATURE
on Aug 4, 2024
343 views 20 secs

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA

FEATURE
on Aug 4, 2024
190 views 4 mins

Veronica Simba na Paulus Oluochi – WMA* Kaimu Mkurugenzi wa Huduma za Ufundi kutoka Wakala wa Vipimo Tanzania (WMA), Albogast Kajungu, amesema WMA ina mchango mkubwa katika sekta ya kilimo hususani katika mazao ya kimkakati ambayo ni korosho, ufuta, kahawa, tumbaku na pamba. Amebainisha hayo Agosti 3, 2024 wakati akizungumza na waandishi wa habari katika […]

FEATURE
on Aug 4, 2024
130 views 4 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Ikiwa ni siku ya tatu katika kuadhimisha sikukuu za wakulima zilizoambatana na maonesho yanayofanyika kanda zote nchini na Dodoma yakiwa yanafanyika kimataifa, Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania imeendelea kutoa elimu katika maeneo mbalimbali yanayohusiana na tasnia hiyo. Akijibu swali lililoulizwa na watembeaji kutoka mradi wa Kilimo Tija Kigoma chini ya […]

FEATURE
on Aug 4, 2024
223 views 2 mins

Na Richard Mrusha Dodoma NAIBU Waziri wa Kilimo David Silinde amewaasa wadau wa masuala ya kilimo kuiga mfano wa Pass leasing wa kutoa matrekta  kwa wananchi 9 ambayo yanakwenda kurahisisha kilimo kwa wananchi hao. Akizungumza katika banda la Agricom ambako zana hizo zilikabidhiwa kwa walengwa wakiwemo wanawake na vijana ambao ndiyo nguvukazinya ya Taifa Silinde […]

FEATURE
on Aug 3, 2024
294 views 2 mins

Na Madina Mohammed WAMACHINGA DAR ES SALAAM: Katika ripoti ya kina, Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Temeke Bw Holle Makungu, alifichua kuwa Taasisi hiyo ilikagua miradi yenye thamani ya jumla ya bilioni 28/- katika kipindi cha miezi mitatu. Alisema ukaguzi huo ulihusisha miradi sita ya Manispaa ya Temeke yenye thamani […]

FEATURE
on Aug 3, 2024
118 views 32 secs

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Waziri Mkuu Kassim Majaliwa anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye mbio za hisani za Maendelo Bank zenye lengo kukusanya milioni 200 zitakazo saidia vituo viwili vya watoto  kwenye Hospitali ya KCMC Mkoani Kilimanjaro ambapo itasaidia  watoto waliozaliwa chini ya miezi 9 pamoja na kituo cha watoto yatima cha mtoni […]

FEATURE
on Aug 3, 2024
190 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA *Apinga matokeo mahakamani ALIYEKUWA urais wa Chama Cha Mawakili Tanganyika (TLS), Wakili Sweetbert Nkuba ametangaza kupinga matokeo mahakamani yaliyompa ushindi Wakili Boniface Mwabukusi huku akitaja sababu mbalimbali anazodai zimehujumu uchaguzi huo. Akizungumza jana jijini Dodoma, Wakili Nkuba alisema hakubaliani na matokeo hayo na anapinga  matokeo yaliyotangazwa na Kamati ya uchaguzi ya […]