Home > Articles posted by MACHINGA TV (Page 4)
FEATURE
on Jan 25, 2025
29 views 44 secs

Na. Mwandishi Jeshi la Polisi Arusha. Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha linawashikilia watuhumiwa wawili kuhusiana na taarifa inayosambaa katika mtandao wa kijamii ikieleza kunusurika kuuawa, kutekwa na kupigwa nyundo kichwani kwa raia mmoja wa kigeni aitwaye Suzan Mary Shawe (75) raia wa afrika kusini. Akitoa taarifa hiyo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha SACP […]

FEATURE
on Jan 25, 2025
82 views 53 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Wavuvi 540 waliokuwaa wanafanya shughuli za Uvuvi katika Ziwa Rukwa wameokolewa na Wavuvi 10 wanaendelea kutafutwa kufuatia upepo mkali uliotokea mnamo tarehe 23 Januari 2025 katika ziwa Rukwa Wilayani Sumbawanga Mkoani Rukwa. Kufuatia tukio hilo, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa amefika katika Kata ya Nankanga kuungana na […]

FEATURE
on Jan 25, 2025
24 views 2 mins

Waziri wa Ujenzi Abdallah Ulega ameutaka Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA),ย  kufanya tathmini ili kujua athari chanya zitakazopatikana kwa jamii kutokana na ujenzi wa vivuko vipya sita vinavyoendelea kujengwa na kutarajiwa kukamilika hivi karibuni. Akikagua ujenzi huo katika Karakana ya Songoro jijini Mwanza Waziri Ulega amesema Serikali kupitia TEMESA imetenga zaidi ya Shilingi […]

FEATURE
on Jan 25, 2025
22 views 4 mins

โ€ข *Mwanasheria Mkuu wa Serikali asisitiza kuendelea kusogeza huduma karibu na Wananchi* Baraza la Wafanyakazi la Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali limekutana na kufanya kikao kwa ajili ya kujadili masuala mbalimbali yatakayosaidia kurahisisha utendaji kazi na kutoa huduma bora zaidi za kisheria kwa wananchi. Kikao hicho kimefanyika Januari 24, 2025 katika Chuo cha Uongozi […]

FEATURE
on Jan 24, 2025
35 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA ๐Ÿ“ŒWatanzania asilimia 78.4 wameunganishwa na umeme ๐Ÿ“ŒUunganishaji umeme vijijini wafikia asilimia 100 ๐Ÿ“ŒVitongoji 33,657 vimefikiwa ๐Ÿ“ŒWatanzania milioni 13.5 kusambaziwa umeme ifikapo 2030 ๐Ÿ“ŒRais Samia kinara wa matumizi ya nishati safi Kuelekea mkutano wa nishati wa wakuu wa nchi za Afrika, Tanzania imeweka historia kwa kuwaunganishia umeme wananchi kwa asilimia 78.4 ambapo […]

FEATURE
on Jan 23, 2025
35 views 2 mins

-Yazindua vivuko 2 vya kisasa -Kivuko kimoja kinauwezo wa kubeba watu 250 kwa mara moja kwa kasi ya dakika 5 hadi 6. Waziri wa Ujenzi Mhe Abdallah Ulega leo Januari 23, 2025 amezindua mashirikiano kati ya Serikali na Sekta binafsi katika kituo cha Magogoni kwa kuzindua rasmi vivuko 2 ambavyo vitatoa huduma kwa wananchi, uwekezaji […]

FEATURE
on Jan 23, 2025
70 views 2 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha nne uliofanyika kuanzia Novemba 11 hadi 29, 2024 huku matokeo ya wanafunzi 67 wakiwemo watano walioandika matusi yakifutwa. Matokeo hayo yametangazwa leo Alhamisi Januari 23, 2025 na Katibu Mtendaji wa Necta, Dk Said Mohammed jijini Dar es Salaam. Amesema […]

FEATURE
on Jan 23, 2025
47 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema Mvua za Masika zinatarajiwa kuanza Machi 2025 katika maeneo yanayopata misimu miwili ya mvua, hasa Kanda ya Ziwa Victoria, Nyanda za Juu Kaskazini Mashariki, Pwani ya Kaskazini, na kaskazini mwa Mkoa wa Kigoma. Akitoa taarifa hiyo leo Jijini Dar es Salaam Kaimu Mkurugenzi […]

FEATURE
on Jan 23, 2025
30 views 3 mins

Na Lusungu Helela – SINGIDAย ย ย ย ย ย ย  Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe.George Simbachawene amemshukia aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)ย  Mhe. Freeman Mbowe kuhusiana naย  hoja yake aliyoitoa ya kubeza juhudi ya Serikali ya kutaka kuondoa umaskini wa watu kupitia Mfuko wa Maendeleo ya […]

FEATURE
on Jan 23, 2025
26 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu MoHA-Dodoma Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa ameeleza kuwa Jeshi la Polisi litaendelea kutekeleza jukumu lake la kikatiba kwa kusimamia usalama katika mikutano na shughuli za Vyama vya Siasa bila kujali itikadi ya Chama cha Siasa chochote. Amelipongeza Jeshi la Polisi kwa kusimamia ulinzi na usalama kwa Vyama vyote […]