Home > Articles posted by MACHINGA TV (Page 33)
FEATURE
on Oct 27, 2024
101 views 2 mins

Na Happiness Shayo MAFINGA Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi, Dkt. Pindi Chana (Mb) amewahimiza wawekezaji wa mazao ya misitu kutoka nchini China kuanzisha viwanda kwa lengo la kuuza bidhaa zilizokamilika kwa ajili ya masoko ya nje ya nchi. Ameyasema hayo leo Oktoba 27,2024 wakati wa uzinduzi wa Umoja wa Wawekezaji wa Mazao ya […]

FEATURE
on Oct 27, 2024
167 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA MPWAPWA Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe.George Simbachawene (Mb) amesema maisha ya  ndoa ni mazuri huku akimtaka  Mwenezi wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Mpwapwa Ndg.Mgutho Thabit Mathew aliyefunga pingu ya maisha na Mke wake Bi. Herieth Kileo  kuishi maisha yenye  upendo […]

FEATURE
on Oct 27, 2024
126 views 48 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA MOROGORO Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Ikulu (Kazi Maalum), Mhe. Kapt. George Mkuchika, amesema kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amekuwa akifanya mambo makubwa kwa maendeleo ya Watanzania kwa kuboresha sekta mbalimbali zikiwemo za elimu, afya na barabara. Mkuchika amesema hayo Oktoba 26, […]

FEATURE
on Oct 26, 2024
87 views 17 secs

Na Happiness Shayo IRINGA Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi, Dkt. Pindi Chana (Mb) amefanya ziara ya kushtukiza katika mradi wa ujenzi wa kituo cha utalii cha Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) na kituo cha utafiti cha Taasisi ya Utafiti wa Wanyamapori Tanzania (TAWIRI) inayotekelezwa chini ya mradi wa Kuboresha Usimamizi wa Maliasili na […]

FEATURE
on Oct 26, 2024
76 views 5 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa mapambano dhidi ya rushwa si jukumu la TAKUKURU pekee bali kila Mtanzania anapaswa kushiriki kikamilifu kusimamia maadili na kupinga vitendo vya rushwa. Amesema kuwa rushwa inaweza kusababisha kutofikiwa kwa jukumu la Serikali la kuleta ustawi wa wananchi linalotamkwa katika Ibara ya 8(1)[b] ya Katiba ya […]

FEATURE
on Oct 26, 2024
87 views 5 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Asema ARGeo-C10 itasaidia  Afrika kufikia suluhisho la upatikanaji Nishati Safi* Awaita Washirika wa Maendeleo kuendeleza Jotoardhi Tanzania* Dkt.Mataragio asema Tanzania imetumia ARGeo-C10 kutangaza hazina ya Jotoardhi* Shirikisho la Jotoardhi Afrika (AGA) lasema ni Kongamano la aina yake* Waziri wa Maji, Nishati na Madini wa Serikali ya Mapinduzi  Zanzibar, Mhe. Shaibu Kaduara […]

FEATURE
on Oct 26, 2024
231 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, amemtembelea na kuzungumza na Mzee Yusuf Makamba leo, tarehe 25 Oktoba 2024, jijini Dar es Salaam. Balozi Nchimbi alifika nyumbani kwa Mzee Makamba, eneo la Wazo Hill, kumfariji kufuatia msiba wa mtoto wake, Bi. Sakida Rajab Yusuf Makamba, aliyefariki […]

FEATURE
on Oct 25, 2024
81 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Asema maeneo yenye vyanzo vya Nishati Jadidifu yameshatambuliwa* Mikoa 16 yatajwa kuwa na rasilimali ya Jotoardhi* Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Dkt. James Mataragio amesema Serikali itaendelea kuwashirikisha wawekezaji katika maeneo yenye nishati jadidifu ili kuyaendeleza na hivyo  kuwezesha azma ya nchi kuwa na umeme unaotokana na  vyanzo mchanganyiko. […]

FEATURE
on Oct 25, 2024
94 views 3 mins

Na Beatus Maganja WAMACHINGA Yapewa kongole Kwa Kasi ya ukusanyaji maduhuli, Utatuzi wa migogoro ya mipaka Dodoma Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania – TAWA leo Oktoba 24, 2024 katika ukumbi  namba 44 jengo dogo la utawala bungeni Dodoma imewasilisha taarifa ya utendaji wake ya mwaka 2023/24 kwa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Ardhi, […]

FEATURE
on Oct 25, 2024
96 views 11 secs

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Wakuu wa Polisi Afrika Mashariki Wakutana Dar es Salaam Kupanga Mikakati ya Kukabiliana na Uhalifu wa Kikanda Wakuu wa Polisi kutoka nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wamekutana  jijini Dar es Salaam Oktoba 25 ,2024 kwa mkutano wa 8, wakilenga kujadili changamoto za amani na usalama katika […]