Home > Articles posted by MACHINGA TV (Page 22)
FEATURE
on Nov 23, 2024
76 views 3 mins

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA) imetakiwa kuimarisha matumizi ya teknolojia, na kuhakikisha kwa kiasi kikubwa inafanya shughuli zake kidigitali ili kwenda sambamba na kasi ya ukuaji wa teknolojia hapa nchini na Duniani kote kwa ujumla wake Maagizo hayo yametolewa na Naibu Waziri wa Fedha nchini Hamad […]

FEATURE
on Nov 23, 2024
68 views 2 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA

FEATURE
on Nov 23, 2024
88 views 10 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Na Mwandishi wetu – Dar es Salaam. Waziri wa Mambo wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Jerry Silaa,  wakutana na wadau wa mawasiliano yakiwemo makampuni ya simu kujadili kuhusu Makosa ya uhalifu wa mtandaoni mkutano huo umefanyika leo Novemba […]

FEATURE
on Nov 22, 2024
99 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Serikali kupitia Wizara ya Fedha imesema  inatambua mchango wa chuo cha kodi kwenye kutoa mafunzo ya kodi na forodha hivyo kuongeza makusanyo ya kodi kwenye Taifa. Hayo ameyasema  leo  jijini dar es salaam Naibu  Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Elijah Mwandumbya akimwakilisha Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba kwenye Mahafali ya kumi […]

FEATURE
on Nov 22, 2024
82 views 56 secs

Na Mwandishi Wetu *T Ni katika  kuendeleza Sekta za Mafuta na Gesi* Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi wafikia asilimia 47* Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati,  Dkt. James Mataragio amesema nchi za Tanzania na Uganda zitaendelea kushirikiana katika uendelezaji wa miradi mbalimbali ya Nishati ikiwemo Sekta ya Mafuta na Gesi. Dkt. Mataragio ameyasema hayo […]

FEATURE
on Nov 22, 2024
89 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu – Rukwa. Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na  Utawala Bora ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Kwela ametoa wito kwa Wananchi  kuendelea  kumuunga mkono Rais, Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan  kwa kuwachagua  Viongozi wa Serikali za Mitaa wa Chama Cha Mapinduzi. Mhe.Sangu ametoa kauli hiyo leo kwa nyakati […]

FEATURE
on Nov 22, 2024
60 views 36 secs

Na Mwandishi Wetu TABORA Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umetoa kiasi cha shilingi milioni 455.7 kwa ajili ya kusambaza mitungi ya gesi ipatayo 22,785 mkoani Tabora ukiwa na lengo la kuhamasisha na kuchochea matumizi ya nishati safi ya kupikia nchini. Hayo yamebainishwa leo Novemba 22, 2024 na Mkurugenzi wa Teknolojia za Nishati Jadidifu na Mbadala, […]

FEATURE
on Nov 22, 2024
74 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu Asema Vyama Vishindane kwa Sera na Utekelezaji wa Ahadi* WanaCCM Bukombe Waaswa Kuimarisha Ushirikiano* Azindua Kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Bukombe* Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Bukombe, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa kwa miaka yote wananchi wa Wilaya ya Bukombe […]

FEATURE
on Nov 22, 2024
61 views 59 secs

Na Mwandishi Wetu Mitungi ya gesi zaidi ya 13,000 kusambazwa Songwe Kila wilaya kupatiwa mitungi ya gesi 3,255 Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umeingia mkataba na mtoa huduma kampuni ya Oryx Gas Tanzania Limited ambaye atahudumia wilaya zilizopo ndani ya Mkoa wa Songwe kwa kuuza kwa bei ya ruzuku mitungi ya gesi ya kilo sita […]

FEATURE
on Nov 22, 2024
51 views 46 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA RUKWA Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Mhe. Makongoro Nyerere amewataka Watanzania kuendelea kumuunga mkono Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kuhamasisha na kuchochea ajenda ya nishati safi ya kupikia nchini. Hayo yamebainishwa leo Novemba 21, 2024 na Mhe. Nyerere mara baada ya uwasilishwaji wa […]