Home > Articles posted by MACHINGA TV (Page 2)
FEATURE
on Jan 31, 2025
25 views 51 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Waziri wa Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa amelitaka Shirika la Reli Tanzania(TRC) kuhakikisha mradi wa reli ya Uvinza-Musongati unakamilika kwa wakati na kwa kuzingatia thamani ya fedha ili kurahisisha shughuli za usafiri na usafirishaji baina ya Tanzania, Burundi na DRC. Ametoa kauli hiyo jijini Dar es Salaam wakati wa hafla ya kusaini […]

FEATURE
on Jan 31, 2025
143 views 2 mins

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA waziri mkuu kasim majaliwa kuwa mgeni rasmi Katika siku ya “VALENTINE EVE PATRIOTIC AWARDS 2025″” Itakayofanyika Katika ukumbi wa hayyat Regency Tarehe 13 jijini dar es salaam. Siku hiyo watakutana wataalumu wa saiko-sosholojia  Ambapo watazungumzia maswala ya ugonjwa wa kuambukiza ambao unasadikika ni hatari sana Kwa jamii na […]

FEATURE
on Jan 31, 2025
25 views 4 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Tuzo za  za Kimataifa ya Kuhifadhi Quraan yatakayofanyika Aprili 23 katika Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam. Aidha Taifa la Saudi Arabia, limetangaza neema katika mashindano hayo ikiwa ni pamoja na  kumleta mmoja wa maimamu wakubwa wa msikiti mtakatifu […]

FEATURE
on Jan 31, 2025
25 views 18 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema Chama na serikali yake haitakubaliana na azimio lolote litakalotolewa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) baada ya kukutana kwa faragha kama walivyotangaza viongozi wa chama hicho, juzi. Amesema amesikia chama hicho kikitangaza kwamba kinakwenda kujifungia kisha kije na […]

FEATURE
on Jan 31, 2025
23 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA MOROGORO-Uongozi wa Chama cha Wafanyakazi (TUGHE) tawi la Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) umepongezwa kwa kusimamia vyema maslahi ya wafanyakazi, hali iliyosaidia kupunguza malalamiko yao kwa kiwango kikubwa. Pongezi hizo zimetolewa na Meneja wa Utawala na Rasilimali Watu wa TFRA, Naomi Fwemula, aliyemwakilisha Mkurugenzi wa Huduma za Taasisi, Victoria […]

FEATURE
on Jan 31, 2025
20 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA -Asema maandalizi ya kufunga taa na Camera za usalama yanendelea vizuri. Mara baada ya jiji la Dar es salaam kufanikiwa kuwa mwenyeji wa Mkutano wa Nishati wa wakuu wa Nchi za Afrika Mkuu wa Mkoa huo Mhe Albert Chalamila ametangaza rasmi kuanza kwa shughuli za biashara kwenye jiji hilo saa 24 […]

FEATURE
on Jan 30, 2025
19 views 2 mins

Na. Joyce Ndunguru, Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Hassan Abbasi ametoa wito kwa Sekta binafsi kuendelea kushirikiana na Serikali katika kutangaza mazuri yatokanayo na utalii sehemu mbalimbali za dunia. Dkt. Abbasi ameyasema hayo leo Januari 29,2025, alipokuwa katika mazungumzo na vyama mbalimbali vya utalii vilivyopo nchini katika kikao […]

FEATURE
on Jan 30, 2025
24 views 49 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Mkandarasi barabara ya Ilula Image-Ilambo atakiwa kurejea kazini mara moja Iringa Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), Mhandisi Victor Seff, amesema serikali inaridhishwa na kazi zinayofanywa na wakandarasi wanaojenga barabara za Mtili – Ifwagi (Km. 14) na Wenda – Mgama (Km. 19) ambazo zinagharimu bilioni 52. […]

FEATURE
on Jan 30, 2025
29 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA 📌 Rais Samia atuma salamu za pole, agharamia misiba na mazishi 📌 Mkuu wa Wilaya Bukombe aishukuru Idara ya Afya kwa juhudi za maokozi 📌 Viongozi wa dini wahimiza uvumilivu na uhimilivu kipindi cha majonzi Leo Januari 30, 2025 mkoani Geita, maelfu ya waombolezaji wamejitokeza kuaga miili ya wanafunzi saba wa […]