Home > Articles posted by MACHINGA TV (Page 173)
FEATURE
on Sep 6, 2023
321 views 49 secs

BBT imetenga milioni 20 Kwa ajili ya kuhakikisha kuongeza vituo Katika wizara ya uvuvi na mifugo Kwa kushirikiana na mikoa ya hapa Nchini Katika vituo hivyo vituo nane ndo vilitengwa ambavyo vipo Chini ya wizara Moja Kwa Moja na BBT inaenda mpka mikoani Kwa kushirikiana na wakuu wa mikoa Katika mikoa hiyo ni Tabora,Morogoro,ambayo teali […]

FEATURE
on Sep 5, 2023
359 views 2 mins

SERIKALI imeweka mikakati itakayotekelezwa na nchi hivyo kuwa kitovu cha chakula Afrika na duniani kote,ili iweze kunufaika na tishio la baa la njaa linaloikabili dunia,kwa kuuza chakula katika maeneo mbalimbaliduniani. Mikakati hiyo ni pamoja na ile ya Kibajeti,Kisera,Teknolojia,Uwekezajina Ushirikiano baina yake na taasisi mbalimbali za ndani na nje yanchi. Hayo yanatokea wakati takwimu zinaonyesha wananchi […]

FEATURE
on Sep 5, 2023
304 views 2 mins

Makamu wa Rais Dkt Phillip Mpango amesema Serikali inaendeza kufanyia jitihada za kuhakikisha kutimiza Mpango wa Pili wa Maendeleo Endelevu (SDG-2) ili kufikia sifuri ya njaa ifikapo 2030 na kuongeza uwezo wa nchi kuwa kama ghala la chakula la kikanda na kimataifa. Makamu wa Rais ameyasema hayo jijini Dar es Salaam katika ufunguzi wa mkutano […]

FEATURE
on Sep 5, 2023
363 views 6 secs

Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhandisi Cyprian Luhemeja amewataka watendaji wa ofisi yake kuwa wabunifu na kufanya kazi kwa malengo yanayopimika ili kuiwezesha serikali kufikia malengo na kuwahudumia wananchi. Mhandisi Luhemeja ameyasema hayo Septemba 5, 2023 mara baada ya kukabidhiwa rasmi ofisi na aliyekuwa Katibu Mkuu wa ofisi […]

FEATURE
on Sep 5, 2023
219 views 2 mins

Rais wa AGRA Agnes Karibata amesema Kila mmoja wetu anahitaji kwa usawa na anastahili kimungu kupata chakula bora. walakini, pamoja na migogoro mingi ya kimataifa ya upotevu wa bayoanuwai, mabadiliko ya hali ya hewa na kuenea kwa jangwa, janga la COVID-19 na vita vinavyoendelea vya Urusi na Ukraine, Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar […]

FEATURE
on Sep 5, 2023
294 views 3 mins

Waziri wa kilimo Hussein Bashe amesema Tanzania inahitaji kiasi Cha fedha zaidi ya Tilioni 1.3 Kwa mwaka ifikapo 2025 ili Nchi ifikie lengo la kuongeza hekari milion 8 Katika masuala mbalimbali ya Kilimo. Hayo yamejiri Jijini Dar es salaam Katika kikao Cha ufunguzi wa Jukwaa la Mfumo WA Chakula Afrikan AGRF 2023 kilichowakutanisha Mawaziri wa […]

FEATURE
on Sep 4, 2023
264 views 11 secs

Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Patrobas Katambi amesema serikali imeweka mfumo wa ufuatiliaji na tathmini ya miradi na programu za vijana ili kupima matokeo ya utekelezaji sambamba na kuleta tija kwa Taifa. Mhe. Patrobas Katambi ameyasema hayo bungeni 4 Septemba, 2023 alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa […]

FEATURE
on Sep 4, 2023
294 views 2 secs

Chama Cha ACT wazalendo kinaunga mkono Uwekezaji WA Bandari ya Dar es salaam kati ya Serikali ya Tanzania Na Dubai DPWorld ili kuongeza ufanisi na utendaji kazi wa Bandari hio Hayo yameelezwa Jijini Dar es salaam na Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho Dorothy Semu alipokitana na Waandishi WA Habari Kwa lengo la kutia ufafanuzi kuhusu […]

FEATURE
on Aug 30, 2023
553 views 45 secs

Msanii wa muziki wa injili hapa nchini,Emanuel Mbasha amewatambulisha rasmi wasanii wapya wa muziki wa injili ambao wanaitwa Mapacha wa Mungu kama sehemu ya project yake ya Mbasha House of talent. Mbasha amesema ujio wa wasanii hao mapacha kwenye muziki wa injili utakwenda kutikisa tasnia ya Muziki wa injili hapa nchini kwa kuongeza ladha mpya […]

FEATURE
on Aug 29, 2023
327 views 37 secs

SERIKALI imeendelea kutoa elimu ya kanuni mpya ya mafao ya pensheni (kikokotoo) na hadi Juni 30, mwaka huu wanachama wa mifuko ya pensheni 131,497 na waajiri 5,580 wamefikiwa na elimu hiyo. Aidha, Elimu hiyo imetolewa na Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) kwa […]