Home > Articles posted by MACHINGA TV (Page 172)
FEATURE
Bandari ya Dar es Salaam imefikia rekodi ya kihistoria kwa kuhudumia zaidi ya tani milioni 18 za shehena hadi kufikia Mei 2023. Muda wa kuhudumia shehena umepungua sana na sasa unachukua chini ya siku nne. Mkakati wa maboresho na ujenzi wa miundombinu katika bandari hiyo umesaidia kuongeza ufanisi na kuboresha huduma za bandari. Kina cha […]
FEATURE
Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhe. Khamis Hamza Khamisamevitaka vyombo vya habari, taasisi na wadau wa mazingira wa mazingirakuendelea kutoa elimu kwa wananchi kuhusu umuhimu wa utunzaji na uhifadhiwa mazingira ili kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi.Akizungumza leo Mei 26, 2023 wakati wa hafla ya zoezi la upandaji miti katikaShule […]