kusapoti maswala ya ushoga na serikali kulifungia kanisa hilo Mnamo Mwezi WA 3,2023 na serikali kusimamisha huduma na kufunga ukumbi waliokuwa wanafanyia huduma Awali serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania Kwa kushirikiana na polisi limeweza kumfutia tuhuma hizo baada ya polisi kujilidhisha na […]
Watu 13 wamefariki dunia na 25 kujeruhiwa katika ajali ya Basi la Ally’s lenye namba za usajili T.178 DVB lililokuwa likitokea Jijini Dar es salaam kwenda Jijini Mwanza baada ya kugonga Treni za mizigo maeneo ya Manyoni leo Novemba 29,2023 majira ya Saa 11 alfajiri.
wagonjwa wasiokuwa na ndugu na wale wasioweza kumudu gharama za matibabu Katika hospital ya Rufaa Mkoa Mwananyamala wilaya ya Kinondoni. Taasisi hiyo ya Jai imeandaa kongamano na ndani yake kutakuwa na harambee ambalo kusudio kubwa ni kuchangia na kuwasaidia waitaji ambao ni wagonjwa wasiojiweza ambao kipato […]
CPC yaahidi kuendeleza ushirikiano katika nyanja za Uchumi, Elimu na Masuala ya Kijamii Dar es salaam Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko leo amekutana na kufanya mazungumzo na Uongozi wa juu wa Chama cha Kikomunisti cha China (CPC) ukiongozwa na Mjumbe wa Kamati na Mkurugenzi Mkuu wa Bureau I, Idara […]
yaMashirika, Taasisi za Umma na Binafsi (SHIMMUTA) wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) wamerejea na kukabidhi makombe mawili ya ushindi wa kwanza waliyoyapata wakati wa ushiriki wao katika michezo hiyo. Akipokea makombe hayo ikiwa ni la ushindi katika mchezo wa pool table na kukimbia ndani […]
Ataka miradi inayofadhiliwa na Wadau wa Maendeleo pia ifuatiliwe na kufanyiwa tathmini Awaasa Maafisa Mipango kutembea kifua mbele, wao ni wadau muhimu Serikalini Aagiza watoe elimu kwa wananchi kuhusu umuhimu wa kutoa maoni kwa ajili ya maendeleo ya nchi Arusha Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ameagiza Tume ya Mipango […]
Wananchi wa Wilaya Mpwapwa kuwa Serikali ipo mbioni kusaini mkataba wa Ujenzi kwa kiwango cha lami Barabara ya Kongwa Jct- Ng’ambi -Mpwapwa yenye kilometa 32. Bashungwa ameeleza hayo kwa njia ya simu wakati alipotakiwa kutoa ufafanuzi na Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa CCM Taifa – UWT, Mama Mery Chatanda […]
Asema Serikali iko kazini, Itawashughulikia Ataka TANESCO kusikiliza na kujibu Wateja kwa haraka Asisitiza utunzaji wa Mazingira Arusha Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ameliagiza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kukata umeme kwa wadaiwa wote wasiolipa gharama za kutumia umeme ambapo Shirika hilo […]
ya watanzania kushirikiana na serikali na asasi za kiraia kupambana na matendo ya ukatili dhidi ya wanawake watoto na wenye ulemavu. Amesema ili kupata matokeo ya haraka, wanajamii wahusishwe kuanzia hatua ya upangaji wa mikakati ambayo itatumika kutekeleza afua zinazohusu jamii yao. “Namna hii itawawezesha kuzikubali afua […]