Mfumuko wa bei nchini umeendelea kuwa ndani ya lengo la wigo wa kuwa chini ya asilimia 5. Mwaka 2022, mfumuko wa bei ulifikia wastani wa asilimia 4.3 ikilinganishwa na wastani wa asilimia 3 Aidha mfumuko wa bei kwa mwaka unaoishia mwezi Mei, 2023 umebaki kama ilivyokuwa kwa mwaka unaoishia mwezi Mei, 2022 ikiwa ni wastani […]
Waziri wa fedha na mpango Dkt Mwiguru Lameck Nchemba Leo amewasilisha Utekelezaji wa Bajeti ya Maendeleo ya Mwaka 2022/23 Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2022/23 ambao uliotengewa jumla ya shilingi bilioni 15,006.0, sawa na asilimia 36.2 ya Bajeti ya Serikali ambapo shilingi bilioni 12,306.9, sawa na asilimia 82.0 ya bajeti ya fedha za […]
Waziri Mkuu Mhe.Kassim Majaliwa,akiteta jambo na waziri wa Fedha na Mipango,Mhe.Dkt.Mwigulu Lameck Nchemba baada ya kuwasilishwa kwa taarifa ya hali ya uchumi kwa mwaka 2022 na mpango wa maendeleo wa taifa wa mwaka2023/2024 Bungeni jijini Dodoma. Waziri wa Fedha na Mipango,Mhe.Dkt.Mwiguru Lameck Nchemba.Akiwasilisha Taarifa Ya Hali Ya Uchumi Kwa Mwaka 2022 na mpango wa maendeleo […]
Manusurika wa boti ya wavuvi iliyozama kusini mwa ugiriki katika mojawapo ya maafa mabaya zaidi ya wahamiaji barani ulaya wanasema karibu watoto 100 huenda walikuwa ndani ya boti hiyo Takribani watu 78 tayari wamethibitishwa kufariki katika maafa hayo Lakini wengine zaidi Bado wamepotelea baharini,huku ripoti zikisema kuwa Hadi watu 750 walikuwa ndani ya boti hiyo […]
Uongozi wa yanga umetangaza rasmi kuachana na kocha wake nasredinne nabi baada ya kumaliza mkataba wake katika kikosi hicho. Taarifa iliyotolewa na idara ya habari na mawasiliano wa kabla ya yanga imeeleza kuwa uongozi wa klabu hiyo ulikutana na nabi na kuzungumza naye kuhusu kusaini mkataba mpya lakini nabi ameomba kupewa nafasi ya kwenda kutafuta […]
Ni kweli kwamba, mapenzi yanatesa kuliko kitu chochote katika uso wa dunia hii. Ni mapenzi hayohayo ambayo yana nguvu na maumivu makali kuliko maumivu ya kitu chochote unachokijua chenye kusababisha maumivu. Pia ni kweli wapo watu wengi wameumizwa na kuteswa na mapenzi. Wengine wanaendelea kuteseka na kuumia kila siku. Wengine wanatamani kuyaepuka ingawa hawawezi zaidi […]
Vita ya soka haijawahi kuisha nchini kuanzia ndani uwanja mpaka mtaani kwa mashabiki. Maafisa Habari nao hawajawahi kupoa, ‘Ukiufumba na Kufumbua’ unakutana na taarifa kedekede zilizojawa kejeli, majigambo, utani kiasi kuhusu vilabu vyao vyenye mamilioni ya mashabiki nchini. Thabith Zakaria maarufu kama Zaka za Kazi ambaye ni Mkuu wa Idara ya Habari na mawasiliano Azam […]
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Selemani Jafo amesema Serikali inaendelea kufungua milango kwa wawekezaji wa Biashara ili kuhifadhi mazingira. Amesema hayo leo Juni 06, 2023 wakati wa kikao na Mkuu wa Wilaya ya Kaliua mkoani Tabora Dkt. Rashid Chuachua pamoja na ujumbe wake waliomtembelea kwa Kuwasilisha taarifa ya kusudio la kuanzisha mradi wa hifadhi ya misitu […]
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mohamed Mchengerwa amesema kuwa idadi ya faru weusi imeendelea kuongezeka kutoka 163 mwaka 2019 hadi 238 mwaka 2022 na hivyo kuvuka lengo la Mkakati wa Kitaifa wa Kuhifadhi Faru 205 ifikapo Desemba 2023. Mhe. Mchengerwa ameyasema hayo leo bungeni jijini Dodoma wakati akiwasilisha hotuba ya Bajeti ya Makadirio ya […]
Tarehe 10 Mei, 2023, Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) iliyokuwa na nia ya kufanya uchunguzi juu ya kifo cha Nusura Hassan Abdallah, aliyekuwa mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), ilitoa taarifa kwa umma kupitia vyombo vya habari. Uchunguzi huo ulifanywa kwa mujibu wa Sheria ya THBUB, Sura ya 391, ambayo […]