Home > Articles posted by MACHINGA TV (Page 170)
FEATURE
on Sep 19, 2023
373 views 54 secs

Mkutano wa mashirika yasiyoya kiserikali ENGO’S zimeungana Kwa pamoja Ili kuweza kupambana na magonjwa ambayo hayagewi kipaumbele Magonjwa hayo ni mabusha,matende,kichocho na ugonjwa wa vikope wa macho Trakoma ambazo jitihada zimeendelea kufanyika kama Tanzania imekuwa wenyeji Kwa mara ya kwanza Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam Leo jumanne 19 September 2023 Mkurugenzi […]

FEATURE
on Sep 19, 2023
342 views 3 mins

Afisa Biashara kutoka Ubalozi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Nchini Bw. Marcel Kasongo Yampanya amewasilisha nia ya Serikali ya Kongo kuleta Vijana wengi nchini Tanzania kujifunza Uongezaji Thamani wa Madini ya Vito katika Kituo cha Jemolojia Tanzania (TGC) cha jijini Arusha. Ameyabainisha hayo wakati wa mazungumzo yake na viongozi wa kituo cha TGC baada […]

FEATURE
on Sep 18, 2023
350 views 2 mins

Mamlaka ya udhibiti wa huduma za nishati na maji (EWURA)imevifungia vituo vitatu vya kuuza mafuta kwa tuhuma mbalimbali ikiwemo kuchelewesha kufikisha mafuta vituoni na wengine kukaa nayo mafuta kwenye visima vyao Kutokana na ufichaji wa mafuta EWURA imevichukulia hatua vituo 8 ambavyo vimejihusisha na tabia ya kuficha mafuta Hatua hiyo imekuja ikiwa na siku chache […]

FEATURE
on Sep 17, 2023
308 views 41 secs

– Ziara imekuwa na Mafanikio Makubwa. – Azindua Miradi iliyogharimu mabilioni ya Pesa. – Asema Serikali imedhamiria kufungua Mkoa wa Mtwara kiuchumi. – Wananchi wamshukuru na Kusema Ziara imekuwa neema kubwa kwenye Mkoa wao. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt, Samia Suluhu Hassan leo September 17,2023 amehitimisha Ziara ya Siku tatu Mkoani […]

FEATURE
on Sep 16, 2023
323 views 3 mins

Naibu Waziri Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe Ridhiwani Kikwete ameeleza kuridhishwa na utekelezaji wa miradi mbalimbali ya Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) mkoani Simiyu. Mhe. Kikwete amezitaka halmashauri zote nchini zinazotekeleza miradi ya maendeleo hususani kwenye sekta ya huduma za jamii kujifunza kutoka Mkoa wa Simiyu ambao […]

FEATURE
on Sep 16, 2023
408 views 2 mins

Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) ikiongozwa na Mwenyekiti wake Mej. Jen. (Mstaafu) Hamis Semfuko imefanya ziara ya Ukaguzi wa kikosi cha Mbwa katika Uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) ili kujionea shughuli zinazofanywa na kikosi hicho katika eneo hilo, kuhakiki ufanisi wake na kuboresha utendaji Akizungumza […]

FEATURE
on Sep 15, 2023
336 views 25 secs

Meridianbet kampuni ya Michezo ya kubashiri mtandaoni imeingia kipekee Kwa kushirikiana na Halopesa Kwa kutoa huduma za malipo Kwa mtandaoni ya simu Imezindua promosheni ya kibabe ya MERIDIANBET JICHUKULIE MAOKOTO NA HALOPESA ambayo inawapa wateja wa meridianbet njia isiyo na vikwazo Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam Leo ijumaa 15 September 2023 […]

FEATURE
on Sep 15, 2023
573 views 45 secs

Wizara ya Maliasili na Utalii nchini kupitia mradi wa Kuboresha usimamizi wa Maliasili na kukuza Utalii Nyanda za juu Kusini (REGROW) imechagiza uanzishwaji wa vikundi vya kijamii vilivyoanzisha mazao mapya ya Utalii kama vile ngoma za asili,vyakula vya asili, bidhaa za kiutamaduni kwa lengo la kuinua wananchi kiuchumi pamoja na ulinzi wa Maliasili nchini. Akizungumza […]

FEATURE
on Sep 15, 2023
179 views 3 mins

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amezindua Mpango Mkakati wa miaka nane wa AMREF Tanzania na kuahidi kuwa Serikali itaendelea kufanya ufuatiliaji ili kuhakikisha afua zilizopo katika mpango huo zinatekelezwa kwa ufanisi na kuboresha huduma za afya kwa Watanzania. Mheshimiwa Majaliwa amesema kuwa mpango mkakati huo ambao unatarajia kugharimu dola la kimarekani milioni 458 kwa miaka yote […]

FEATURE
on Sep 15, 2023
260 views 2 mins

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa (Mb) ameipongeza Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kutumia teknolojia ya mawe kwenye ujenzi wa madaraja na barabara nchini. Waziri Mkuu ameyasema hayo alipomuwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye Maadhimisho ya Siku ya Wahandisi yaliyofanyika katika ukumbi wa Mlimani city jijini […]