Home > Articles posted by MACHINGA TV (Page 160)
FEATURE
on Oct 25, 2023
405 views 3 mins

SERIKALI kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) imefadhili mradi wa ujenzi wa vyumba vya madarasa mawili, ofisi moja ya walimu na jumla ya madawati 30 katika shule ya msingi Usinge iliyopo wilaya ya kaliua Mkoani Tabora Mradi huu ambao tayari umekwishakamilika na kuanza kutumika umegharimu kiasi cha Tsh. Millioni 50 (50,000,000/=) ambazo ni […]

FEATURE
on Oct 25, 2023
435 views 53 secs

Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) mkoani Lindi imekamilisha ujenzi wa daraja la Mbwemkuru lenye urefu wa mita 75 na kufungua barabara ya Ruangwa-Nangurugai- Kiangara-Mirui-Mbwemkuru yenye jumla ya Km 65. Meneja wa TARURA Wilaya ya Ruangwa, Mhandisi Mashaka Narubi ameeleza kuwa kukamilika kwa daraja hilo imekua ni fursa kwa wananchi kusafiri kwa urahisi […]

FEATURE
on Oct 25, 2023
223 views 3 mins

Mazingira Uwekezaji Sekta ya Madini, sasa njia nyeupe Dar es Salaam Imeelezwa kuwa, Sekta ya Madini ni nguzo muhimu na chachu ya maendeleo ya uchumi wa nchi kupitia rasilimali madini iliyopo nchini. Hayo yameelezwa leo Oktoba 25, 2023 na Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko alipomwakilisha Rais wa […]

FEATURE
on Oct 25, 2023
577 views 4 mins

Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) katika kuongeza mazao mapya ya utalii, hivi karibuni wamegundua eneo jipya lenye hazina kubwa ya Nguzo za Asili (Natural Pillars) zenye muonekano wa kuvutia ndani ya Hifadhi ya Taifa Ruaha. Nguzo hizi zilizosimama mithili ya uyoga na kuvutia kwa macho zinasemekana zimetokana na kulika (kumomonyoka) kwa miamba yenye […]

FEATURE
on Oct 25, 2023
338 views 48 secs

Tume ya Madini kwa kushirikiana na Taasisi zilizopo chini ya Wizara ya Madini leo Oktoba 25, 2023 inashiriki katika Mkutano wa Kimataifa wa Uwekezaji Sekta ya Madini unaoendelea katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam. Viongozi wa Tume wanaoshiriki ni pamoja na Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Profesa Idris Kikula, […]

FEATURE
on Oct 24, 2023
490 views 58 secs

AFL2023: Licha ya safari ya Klabu ya Simba kukatishwa na Goli la Ugenini lililoibeba Klabu ya Al Ahly, Wekundu hao wa Msimbazi wamejihakikishia malipo ya Dola za Marekani 1,000,000 zilizotangazwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) linalosimamia Ligi ya African Football(AFL) Michuano hiyo iliyoanzia hatu ya Robo Fainali, ilianza kwa kuvijumuisha Vilabu vya Enyimba FC […]

FEATURE
on Oct 24, 2023
343 views 3 mins

DAR ES SALAAM Mwenyekiti wa jumuiya ya waandishi wa Habari JUMIKITA Shabani omari matwebe Amesema jambo lolote ambalo linakuwa na tija na linahusika na wananchi inapaswa waandishi wa habari kuliunga mkono Kwa kulichukua na kulifikisha Kwa jamii Akizungumza na Waandishi wa habari jijini Dar es salaam Leo jumanne 24,2023 Mwenyekiti wa jumuiya ya waandishi wa […]

FEATURE
on Oct 24, 2023
338 views 2 mins

Mradi wa JNHPP umefikia asilimia 92.74 JNHPP kuwa Mradi wa mfano Afrika Imeelezwa kuwa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan anatamani Mradi wa Bwawa la Kufua Umeme wa Julius Nyerere (JNHPP) uanze mapema ili Watanzania wapate umeme wa uhakika. Hayo yameelezwa leo Oktoba 24, 2023 na Naibu Waziri Mkuu […]

FEATURE
on Oct 23, 2023
341 views 2 mins

MABONDIA Dullah Mbabe wa Tanzania na Erick Katompa wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DR Congo) wanatarajia kuzichapa Novemba 25 jijini Arusha. Hayo yamebainishwa na Promota wa Pambano hilo Mkurugenzi wa Kampuni ya Lady in Red Promotion Sophia Mwakagenda akizungumza na waandishi wa habari wakati mabondia hao wakisaini mkataba kwa ajili ya Pambano hilo. “Leo […]

FEATURE
on Oct 23, 2023
260 views 24 secs

Muimbaji wa Gospel Joyce Mwaikofu Ameiomba serikali kutoa Elimu Kwa wasanii na waimbaji ambao hawajui BASATA na Cosota Ili kuweza kutoa Elimu Kwa waimbaji hao Amesema fursa nyingi huwa zinakuja za nje na ndani Kupitia serikali na serikali haiwezi kutoa msaada Kwa mtu mmoja wanaitaji waunde vikundi au vyama vya waimbaji Ili pindi fursa hizo […]