Home > Articles posted by MACHINGA TV (Page 159)
FEATURE
on Oct 29, 2023
325 views 3 mins

DAR ES SALAAM; Idara ya Habari (Maelezo), imeandaa programu maalum ya kuwakutanisha Wakuu wa Mikoa, Wakurugenzi wa Halmashauri zote kwenye kila mkoa pamoja ili waeleze utekelezaji wa masuala mbalimbali katika maeneo yao. Mkurugenzi wa Idara ya Habari MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali Bw. Mobhare Matinyi amesema Serikali inapeleka fedha nyingi kwenye Halmashauri zake nchini […]

FEATURE
on Oct 29, 2023
440 views 2 mins

Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Angellah Kairuki amesema kuwa Serikali itaendelea kuwaunga mkono TANAPA kuhakikisha wanapata vifaa vingi vya kisasa kwa ajili ya ulinzi wa maliasili ili kukuza utalii katika Hifadhi za Taifa. Kikao cha Waziri Kairuki pamoja na maafisa na askari hao kimefanyika leo tarehe 28.10.2023 katika Makao Makuu ya Shirika hilo yaliyopo […]

FEATURE
on Oct 27, 2023
221 views 2 mins

Kamati ya Utekelezaji ya Jumuiya ya umoja wa wanawake Tanzania Chini ya Mwenyekiti wa UWT Mary Chatanda imeridhishwa na Utekelezaji wa Miradi mbalimbali ya maendeleo Katika mikoa ya Tanzania Bara mara baada ya kufanya ziara zake za Kupitia na kukagua Miradi mbalimbali ya maendeleo Nchini. Akizungumza na Waandishi wa habari jijini Dar es salaam Leo […]

FEATURE
on Oct 26, 2023
561 views 3 mins

Katibu mkuu wa NEC Itikadi na uenezi ccm Taifa Paul makonda amewataka mawaziri wote na wakuu wa mikoa akiwakilisha mkuu wa mkoa Albert chalamila kuwa pale patakapobainika hawajafanya kazi zao kikamilifu chama hakitasita kuchukua hatua Akizungumza jijini Dar es salaam Leo Alhamis 26,2023 Katika viwanja vya ccm ndogo lumumba wakati akipokelewa na akikabidhiwa ofisi amesema […]

FEATURE
on Oct 26, 2023
268 views 2 mins

Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dar es salaam Komredi Abbas Mtemvu amewataka viongozi wa serikali waliopata nyadhifa kuanzia ngazi ya Serikali za Mitaa ,Wilaya hadi Mkoa kushirikiana na Madiwani na Wabunge wa Viti maalumu wanapotaka kufanya ziara katika kata kujua changamoto zinazowakabili na kuzipatia ufumbuzi. Agizo hilo amelitoa leo Jijini Dar es salaam Katika Shughuli […]

FEATURE
on Oct 26, 2023
297 views 2 mins

Mkuu wa Wilaya ya Kaliua Mhe. Dr. Rashid Chuachua amesema shughuli za uhifadhi na Utalii hususani Uwindaji wa Kitalii zinazofanywa na kusimamiwa na Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) zina faida kubwa wilayani humo. Ameyasema hayo Oktoba 24, 2023 katika ziara ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo kwa jamii iliyofanywa na TAWA wilayani Kaliua. […]

FEATURE
on Oct 26, 2023
229 views 3 mins

TAFIRI watakiwa kuwa kimbilio la wavuvi Asisitiza utunzaji wa mazingira kupewa kipaumbele Ahimiza kuongeza kasi kuuza bidhaa nje ya nchi Dkt. Biteko Azindua ‘App’ kusaidia Sekta ya Uvuvi Dar es Salaam Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewaagiza watendaji wa Sekta ya Uvuvi nchini kuifanya Sekta hiyo kuwa nyenzo muhimu […]

FEATURE
on Oct 26, 2023
225 views 3 mins

Waziri mkuu Kassim Majaliwa amezindua mashine ya kuchanganya virutubisho kwenye vyakula na kuwaomba wadau wote wa maendeleo kuunga mkono juhudi hizo ili kuwezesha mashine hizo kuzalishwa kwa wingi kutumika katika maeneo yote hapa nchini. Mashine iliyozinduliwa inatumika kuongeza virutubisho muhimu katika vyakula hususan unga wa mahindi, virutubisho hivyo ni pamoja na vitamin B na folic […]

FEATURE
on Oct 26, 2023
569 views 3 mins

PAUL Makonda apokelwa kwa staili ya aina yake baada ya kutumia usafiri bodaboda wakati akienda Ofisi ndogo za Chama Cha Mapinduzi(CCM)zilizopo Mtaa wa Lumumba jijini Dar ea Salaam ambako yamefanyika mapokezi makubwa. Mapokezi ya Makonda yamefanyika leo jijini Dar es Salaam ikiwa ni siku chache tu Chama Cha Mapinduzi( CCM) kuteuliwa kuwa Katibu wa Itikadi […]