Home > Articles posted by MACHINGA TV (Page 159)
FEATURE
on Jul 31, 2023
335 views 3 mins

KAMA sehemu ya juhudi za Ghana za kuimarisha uhusiano wa kiuchumi kati ya Ghana na Tanzania chini ya Mkataba wa Eneo Huru la Biashara la Bara la Afrika (AfCFTA), Ofisi ya Kitaifa ya Uratibu wa AfCFTA ya Ghana (NCO) imepanga kufanya msafara wa kibiashara kwenda nchini Tanzania Septemba 25 na 26, 2023. Akizungumza na waandishi […]

FEATURE
on Jul 30, 2023
347 views 3 mins

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akihutubia maelfu ya wana CCM na wananchi waliojitokeza kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya Tanganyika Pakers Kawe jijini Dar es Salaam leo Julai 29,2023. …………………………… Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kinachofanywa na Serikali katika suala la bandari ni utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya […]

FEATURE
on Jul 29, 2023
173 views 2 mins

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Abdulrahman Kinana ametoa wiki moja kwa ofisi ya Maliasili Wilaya ya Itilima, kurejesha fedha Sh milioni 11 za maendeleo ya Kijiji cha Mbogo. Kinana pia amemuagiza Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Dk Yahaya Nawanda na Mkuu wa Wilaya ya Itilima Faiza Salum kuhakikisha fedha hizo zinarejeshwa […]

FEATURE
on Jul 28, 2023
256 views 3 mins

SHIRIKA la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limeeleza juhudi zinazofanywa katika kuhakikisha nishati ya Gesi inapatikana kwa uhakika na hatimaye kuwezesha upatikanaji wa nishati ya uhakika ya umeme nchini. Akizungumza na waandishi wa habari leo Julai 28, 2023 jijini Dar es Salaam Kaimu Meneja Uendelezaji wa Uzalishaji wa Gesi TPDC Mhandisi Felix Nanguka amesema kwamba […]

FEATURE
on Jul 28, 2023
214 views 2 mins

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Abdulrahman Kinana, amesema kuwa jukumu la kujiendeleza ni la mtu binafsi na kwamba hakuna anaeweza kumwendeleza mtu mwingine. Amesema hata serikali haiendelezi watu bali hujiendeleza kutengeneza mazingira mazuri kwa wananchi kujiendeleza kupitia fursa mbalimbali. Kinana ameyasema hayo leo Julai 28, 2023 wakati akizingumza na waganga wa tiba asiili […]

FEATURE
on Jul 28, 2023
231 views 4 mins

AFISA ustawi wa jamii manispaa ya Ubungo jijini Dar Naamini Nguve, amewataka wanandoa nchini wajitahidi kumaliza migogoro yao ili kupunguza wimbi la watoto wa mitaani. Nguve amesema kuwa katika kituo cha mabasi maarufu Magufuli kilichopo manispaa ya Ubungo jijini hapa wamekuwa wakipokea makundi ya watoto chini ya miaka 18, vijana, wazee pamoja na walemavu kutoka […]

FEATURE
on Jul 27, 2023
182 views 3 mins

Baraza la madiwani Halmashauri ya mji Kibaha limeazimia kwa pamoja kumpongeza kwa dhati serikali ya awamu ya sita Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa kuwapatia kiasi cha shilingi bilioni 8.1 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbali mbali ya maendeleo kwa kipindi cha mwaka wa fedha wa 2022/2023. Akisoma taarifa ya mapokezi na matumizi ya fedha ya […]

FEATURE
on Jul 27, 2023
248 views 2 mins

Kampuni inayoongoza kwa mtindo wa maisha ya kidijitali Tanzania, Tigo, imezindua mfumo wa bidhaa yake ya mikopo iliyoboreshwa kupitia Tigo Pesa kwa kushirikiana na Benki ya Azania. Uzinduzi huu imezinduliwa Leo Alhamis 27 2023 Katika ukumbi wa Serena hotel Jijini Dar es salaam ambapo ni sehemu ya mkakati wa kuimarisha upatikanaji wa mikopo ya muda […]

FEATURE
on Jul 26, 2023
436 views 23 secs

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Abdulrahman Kinana ameweka jiwe la msingi katika mradi wa ujenzi wa ukumbi wa CCM Mkoa wa Mara Kinana, ameweka jiwe hilo la msingi leo Septemba 26,2023 ikiwa ni mwendelezo wa ziara yake akikagua miradi na utekekezaji wa ilani ya Chama hicho. Akizungumzia mradi huo, Katibu wa CCM Mkoa […]

FEATURE
on Jul 26, 2023
397 views 21 secs

Wanaharakati wa kujitegemea wa kutetea haki za binadamu Deusedith Isaac SokaAmelaani vikali Kwa wale ambao walioweza kufanya vurugu Katika mkutano wa chadema ambao uliofanyika Katika viwanja vya temeke buriaga Kwa kushambuliwa Kwa waandishi wa habari wa mwananchi Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam Leo jumatano 26 julai amesema gari ya wananchi ilifaanyiwa […]