Home > Articles posted by MACHINGA TV (Page 157)
FEATURE
on Nov 9, 2023
428 views 2 mins

Sasa upungufu wa umeme wabakia 218 MW kutoka 421 MW. Hali ya upatikani umeme nchini imeimarika na sasa upungufu wa umeme umebakia 218 MW. Hayo yameelezwa na Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga, tarehe 9 Novemba, 2023 Jijini Dodoma wakati akijibu maswali ya Wabunge waliotaka kufahamu mpango wa Serikali katika kumaliza changamoto za umeme […]

FEATURE
on Nov 9, 2023
350 views 4 mins

DKT BITEKO ASEMA NI KIELELEZO CHA USHIRIKIANO WA NCHI HIZO MBILI Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Jamhuri ya Uganda zimetia saini mkataba mahsusi utakaowezesha kuanza kwa kazi ya upembuzi yakinifu wa Mradi wa Ujenzi wa Bomba la Kusafirisha Gesi kutoka Tanzania kwenda Uganda. Mkataba huo umesainiwa leo jijini Dodoma na […]

FEATURE
on Nov 9, 2023
337 views 57 secs

Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) amesema kuwa suala linalohusisha ng’ombe 806, kondoo 420 na mbuzi 100 waliokamatwa Serengeti na kupigwa mnada baada ya Mahakama ya Musoma kutoa hukumu, limeshahitimishwa kimahakama baada ya taratibu zote kukamilika. Waziri Kairuki ameyasema hayo leo Novemba 9,2023 Bungeni jijini Dodoma alipokuwa akijibu hoja ya Mbunge wa […]

FEATURE
on Nov 9, 2023
262 views 2 mins

●Yatachimbwa kwa kipindi cha miaka 30 ●Ni mradi wa ushirikiano wa Kampuni mbili ● Bilioni 18.6 zimelipwa kupisha mradi wa Heavy Mineral Sand Kigamboni Serikali kupitia Wizara ya Madini itaanza rasmi uchimbaji wa Madini Adimu yaani _Rare Earth Element_ (REE) kupitia kampuni ya uchimbaji madini ya Mamba ijulikanayo kama _Mamba Minerals Corporation Limited_ (MMCL) yenye […]

FEATURE
on Nov 9, 2023
298 views 2 mins

Aahidi kuendeleza ushirikiano katika kukuza uchumi Korea Kusini yaahidi kuwekeza zaidi Tanzania Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Biashara kutoka nchini Korea Kusini, Mhe.Ahn Dukgeun ambapo  ameeleza kuwa, Tanzania na Korea Kusini zitaendelea kudumisha ushirikiano uliopo katika nyanja za kiuchumi na kijamii ili […]

FEATURE
on Nov 9, 2023
317 views 2 mins

Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Mhe Albert Chalamila akiwa ameambatana na Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe Edward Mpogolo leo Novemba 8,2023 amefanya ziara kwa treni za mjini kutoka stesheni ya Kamata kwenda Pugu kuona adha wanazokumbana nazo abiria.  Mhe Albert Chalamila alitumia usafiri huo ili kuweza kuwasikiliza abiria na kuona kero na […]

FEATURE
on Nov 8, 2023
189 views 3 mins

Mahenge kunufaika na mradi wa madini ya Kinywe Kuboresha sekta ya Maji, Afya na Miundombinu Korea Kusini yaridhishwa na miundombinu ya Reli nchini Tanzania imefungua milango ya uwekezaji katika Sekta ya Madini kwa nchi ya Korea ya Kusini ikiwemo kuendeleza ushirikiano wa kikazi katika kufanikisha utekelezaji wa mikakati ya Vision 2030:MadinI Maisha na Utajiri. Hayo […]

FEATURE
on Nov 8, 2023
299 views 4 mins

Awapongeza kwa kushusha gharama za uagizaji mafuta Asisitiza EWURA kudhibiti vitendo vya urasimu na rushwa mahali pa kazi Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka Watendaji na Watumishi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kuzingatia maslahi ya Watanzania na maslahi ya nchi katika kazi zao […]

FEATURE
on Nov 7, 2023
320 views 24 secs

Wakandarasi na wa watoa huduma 42 wapatiwa kazi Dodoma Imeelezwa kuwa ujenzi wa Mradi wa bomba la mafuta kutoka Hoima nchini Uganda hadi Chongoleani mkoani Tanga unashirikisha wakandarasi wazawa kutoka mkoani Kagera. Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Judith Kapinga, kwa niaba ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto […]

FEATURE
on Nov 7, 2023
277 views 41 secs

Klabu ya Simba imefikia makubaliano ya pande zote mbili ya kuvunja mkataba na Kocha Mkuu wa kikosi cha kwanza Roberto Oliveira Goncalves Do Carmo (Robertinho) pamoja na kusitisha mkataba wa Kocha wa Viungo Corneille Hategekimana Simba imesema katika kipindi cha mpito kikosi kitakuwa chini ya Kocha Daniel Cadena akisaidiwa na Selemani Matola huku mchakato wa […]