Mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa basihaya ndugu Samson Andrew amekabidhi jezi kwa washiriki wa michuano ya adrew supa cup inayofanyika kata ya basihaya bunju jijini dar es salaam Akizungumza na waandishi wa habari wakati akigawa jezi hizo ndugu Samsoni amesema wanamtarajia mbunge wa kawe ndugu Josephat Gwajima kuwa mgeni rasmi kwenye fainali hizo ambazo […]
MKURUGENZI wa kampuni ya vifaa vya ujenzi ya SHEVA HARDWARE MaryStella Temba amewaasa wachimbaji wadogo kutumia vifaa vya usalama sehemu za migodi kwa kufanya hivyo watakuwa salama. Amesema kuwa wamekuwa kwenye biashara hiyo kwa muda mrefu na wamegundua kuwa iko haja ya wachimbaji wadogo kutumia vifaa bora haswa kutoka kwao kwasababubu vinaubora wa hali ya […]
Jumla ya Vijiji vipatavyo 11 kutoka Kata 4 Naipanga, Chiumbati, Rahaleo na Stesheni Wilayani Nachingwea Mkoani Lindi vinatarajia kunufaika na mradi wa huduma ya maji safi na salama wa Naipanga wenye jumla ya thamani ya sh.bil.1,187,057,785 Hayo yalibainishwa jana na Meneja wa Wakala wa Maji na usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA ) Wilayani hapo na […]
ZAIDI ya shilingi bilion kumi na moja zimetumika katika mwaka wa fedha 2021/2022 katika ujenzi wa barabara zinazoelekea katika maeneo migodi Wilayani Rwangwa mkoani Lindi. Akizungumza na waandishi wa habari katika maonesho ya madini yanayoendelea katika wilaya ya Rwangwa ,Meneja Tarura Wilaya ya Rwangwa Mashaka Narubi amesema kuwa pia mwaka huo huo wa fedha 2021/2022 […]
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Albert Chalamila amewataka Watoji huduma ya majanga na maaafa nchini watoe Elimu mashuleni na katika vikundi ili kuepukana na majanga mbalimbali yasiendelee kujitokeza Nchini. Wito huo umetolewa katika ukumbi wa Karimjee Jijini Dar es salaam kwenye maadhimisho ya siku ya kuwaenzi watoaji huduma hiyo Duniani ambapo Chalamila amewashukuru […]
KATIBU Mwenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Sophia Mjema amewataka wanachama wa chama hicho kuweza kufahamu itikadi na ilani ya chama chama cha Mapinduzi sambamba na Misingi ya chama hicho. Akizungumza katika kikao kilicho wakutanisha wanachama wa chama hicho jijini Dar es Salaam Sophia Mjema amesema kuwa ni vyema wanachama cha Mapinduzi (CCM)wakafahamu wajibu wakuwa […]
KATIKA kipindi cha miaka minne tangu kuanzishwa kwa Wakala wa Huduma ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) ,asilimia 77 ya wananchi waishio vijijini wamefikiwa na huduma hiyo. Akizungumza katika maonyesho ya Kimataifa ya Madini yanayofanyika katika wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi,Meneja Uhusiano na Masoko RUWASA Makao Makuu Athuman Sharrif amesema,lengo ni kufika asilimia […]