Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameitaka Wakala wa Barabara Vijijini na Mijini (TARURA) kuchukua hatua za makusudi kuhakikisha wahandisi wazawa wanashiriki kwenye ujenzi wa miradi mbalimbali nchini. Amesema kuwa kupitia utekelezaji wa Mpango wa Tatu wa Maendeleo wa Miaka Mitano wa Tanzania, unaolenga kupunguza ukosefu wa ajira kutoka 9% hadi 8% ifikapo 2025/26, Serikali inatarajia kutimiza […]
Ufaransa imeamuru kusitishwa mara moja kwa mauzo ya simu zote za Apple aina iPhone 12 kutokana na kugundulika kuwa na mionzi mingi ya sumakuumeme (electromagnetic) ambayo si salama kiafya kwa watumiaji wake. Shirika la uangalizi la Ufaransa (ANFR) liliiambia kampuni ya Apple kurekebisha simu zilizopo na kuipa ushauri kampuni hiyo, ikiwa haiwezi kutatua suala hilo […]
Kampuni ishirini na tano (25) zilizopewa nyaraka za zabuni Kupitia mfumo wa ununuzi serikalini (TANePS) ambazo kampuni 17 zilifanikiwa kuwasilisha nyaraka za zabuni Jumla ya kampuni tano zimetia saini makubaliano ya uchimbaji wa makaa ya mawe Katika mradi wa mchuchuma ambayo mikataba hiyo itadumu Kwa Muda wa miaka mitano Akizungumza na waandishi wa habari jijini […]
TIRDO na REPOA imeandaa kozi ya mafunzo ya uzalishaji wa Mkaa Mbadala (Biomass Briquettes) ambayo ni nishati safi kwa matumizi ya majumbani, taasisi na hata viwandani. Mafunzo hayo yanalenga kuimarisha umuhimu Kwa ustawi wa uchumi na mazingira na afya Kwa ujumla na uzalishaji Bora wa mkaa mbadala ambao unaotumia malighafi za taka za kilimo na […]
Wizara ya maendeleo ya jamii Jinsia na makundi maarum ambayo imetenga kiasi kidogo Cha fedha Kwa ajili ya maendeleo ya wanawake WDF ambayo inaleta muongozo wa Asilimia kumi unaoboreshwa na unaungana na mwongozo wa mfumo wa wanawake ambalo lengo ni kuondoa wizara ambazo zinazofatilia mtu mmoja mmoja zipite Katika mabank na wapate mafunzo na elimu […]
Wakala wa Usalama na Afya Mahali Pa Kazi (OSHA) imefanya semina elekezi kwa Waheshimiwa Wabunge wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti leo tarehe 10 Septemba, 2023, mkoani Arusha. Aidha, semina hiyo ililenga kutoa uelewa kwa Kamati hiyo kuhusu majukumu yanayotekelezwa na OSHA na namna taasisi hiyo iliyopo chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu […]
Wizara ya Kilimo kwa kushirikiana na taasisi ya mifumo ya chakula (AGRA) na kampuni ya John Deer inatarajia kuanza mchakato wa kuwashindanisha vijana kwenye vikundi na kuwapatia zawadi ya trekta lengo likiwa kuendelea kuhamasisha vijana kuingia kwenye sekta ya kilimo. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam waziri wa kilimo Hussein Bashe amesema […]
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi Vijana Ajira na Wenye Ulemavu Mhandisi Cyprian Luhemeja amewataka watendaji wa ofisi yake kutangaza mafanikio ya wizara na taasisi zake ili wananchi waweze kutambua fursa zinazo wezeshwa na serikali. Mhandisi Luhemeja amesema hayo Septemba 7, 2023 wakati wa kikao kazi cha kujadili shughuli na kazi za Wizara na […]
Tanzania na Uganda inaendelea kuimarisha ushirikiano na mahusiano katika sekta ya mifugo kwa kusaini makubaliano ya udhibiti wa magonjwa ya wanyama yanayovuka mipaka na yanayo ambukiza binadam katika maeneo ya mipaka. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam Leo Alhamis 07 September 2023 Waziri wa mifugo na uvuvi Abdallah Hamis Ulega Amesema Licha […]