Na Happiness Shayo Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) amesema Tamasha la Kilimanjaro Cultural Festival linalohusisha utamaduni wa vyakula ,ngoma na lugha za asili za jamii ya Wachaga, Wapare na Wamaasai litasaidia kukuza utalii wa Mkoani Kilimanjaro endapo litaendelezwa na kutumika ipasavyo. Amesema lengo la Tamasha hilo ni kukuza na kuhamasisha utalii […]
*Mashine Mbili za Megawati 47O zimeshafungwa, majaribio yameanza* *Ujazo wa maji watosha kuanza kuzalisha umeme* *Dkt. Biteko asema kipaumbele ni upatikanaji wa umeme wa uhakika nchini* Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa, utekelezaji wa mradi wa umeme wa Julius Nyerere (JNHPP) utakaozalisha megawati 2,115 kwa sasa umefikia asilimia […]
Awaomba kuendela kutoa ushauri mzuri na kutoa miongozi itakayowasaidia Viongozi wa Chama na Serikali kuendelea kuwatumikia Watanzania kwa misingi ya Haki._ Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (NEC), Idara ya Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Ndugu Paul Christian Makonda, amewashukuru na kuwaomba Viongozi wote wa Dini nchini, kudumisha ushirikiano kwa viongozi wa Chama na […]
Na Mwandishi wetu.Babati HABARI Mahakama ya wilaya ya Babati imeifutilia mbali kesi ya ukatili iliyokuwa inamkabili mbunge wa jimbo la Babati Mjini, Pauline Gekul kuhusu tuhuma za unyanyasaji kwa kijana Hashim Ally. Uamuzi huo umetolewa leo Desemba 27, 2023, na Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya wilaya Babati, Victor Kimario na kusema ameifuta baada ya Mkurugenzi […]
MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya ya Tanzania (DCEA) imekatama kilogramu 3,182 za dawa za kulevya aina ya heroin na methamphetamine ambazo zilikuwa zimefungashwa kwenye vifungashio vya bidhaa zenye chapa za kahawa na majani ya chai. Pia imewakamata watu saba, wawili kati yao wana asili ya Asia wanaodaiwa kuwa ni miongoni mwa […]
Tunakaribia kuumaliza mwaka huu na kuingia mwaka mpya 2024. Mwaka huu ulikuwa na mipango na mawazo mazuri mengi.Yako ambayo uliyafanyia kazi na ambayo hujayafanyia kazi. Kila mwaka lazima ufanye kitu cha ushindi, usiache mwaka uishe bila kupata kitu cha ushindi. “Kila mwaka unaopita ambao hujaharibu moja ya mawazo yako pendwa ni mwaka ambao umeupoteza” Kama […]