MAMLAKA ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) inashiriki maonesho ya Saba ya Kimataifa ya Swahili International Tourism Expo (SITE) yaliyozinduliwa Leo Oktoba 6, 2023 na Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Angellah Kairuki katika Ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa Mlimani City Jijini Dar es Salaam Wanunuzi wa bidhaa za utalii kutoka masoko ya kiutalii […]
Serikali imesema inakusudia kukuza utalii wa fukwe, mikutano pamoja na utalii wa kuvinjali kwa meli ikiwa ni mkakati wa kuongeza mazao mapya ya utalii nchini kwa ushirikiano baina ya Tanzania bara na visiwani. Akisoma hotuba kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan kwenye ufunguzi rasmi wa Maonesho ya […]
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Dkt.Samia Suluhu Hassan amesema kuwa, Serikali itaendelea kushughulikia changamoto za Walimu nchini hatua kwa hatua ikiwa ni pamoja na kuwapandisha Madaraja na kutoa malipo ya stahiki mbalimbali. Rais, Dkt. Samia ameyasema hayo tarehe 6 Oktoba 2023, alipokuwa akizungumza kwa njia ya simu na Walimu zaidi ya 2000 […]
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amesema serikali itaendelea kufanya kazi na kushirikiana vema na Kanisa Katoliki pamoja na madhehebu mengine ya dini hapa nchini. Makamu wa Rais amesema hayo wakati wa mapokezi ya Mwadhama Kardinali Protase Rugambwa yaliyofanyika katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere […]
Idadi ya mizigo iliyotangazwa bandarini Tanzania iliongezeka kutoka 6000 mwaka 2019/20 hadi 70000 mwaka 2021/22 kwa mujibu wa Wakala wa Meli Tanzania (Tasac) Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TASAC, Nelson Mlali, alisema ongezeko hilo limetokana na jitihada mbalimbali zinazofanywa na wakala huo ikiwa ni pamoja na uanzishaji wa masijala ya wazi ya meli na ukarabati wa […]
Mkutano mahususi kati ya Taasisi za fedha ambao unahusisha wachimbaji wadogo na wachimbaji wakubwa na watoa huduma Kwa kujadiliana kwa changamoto kubwa ya Taasisi za fedha kuto wakopesha sekta ya madini Changamoto hiyo inawafanya watanzania wengi kuwa waangaliaji wa Fursa kubwa ya madini iliyopo Nchini Tanzania na sio washiriki wa sekta ya madini Akizungumza na […]
KATIKA kuimarisha Diplomasia ya Uchumi nchini,Rais wa Jamhuri wa Muuungano wa Tanzania Dk Samia Suluhu Hassan anatarajia kufanya ziara ya siku tatu nchini india kuanzia October 8 hadi 11 Mwaka huu. Akizungumza na waaandishi wa Habari jijini Dar es Salaam Leo tarehe 05,2023 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa kimataifa January Makamba amesema […]
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais , Muungano na Mazingira, Dkt.Selemani Jafo amewataka vijana kutoka sehemu mbalimbali duniani kuinua sauti na kuelezea wasiwasi mkubwa kuhusu ongezeko la hasara na uharibifu unaohusiana na athari za mabadiliko ya tabianchi. Amewataka vijana kuwa mabalozi wa kampeni ya nishati safi ya kupikia na teknolojia, kuendeleza usawa wa […]
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dtk. Doto Biteko amesema kuwa Serikali itahakikisha inaweka mazingira mazuri zaidi ya uwekezaji kwenye Sekta ya Nishati ili kuchochea maendeleo ya uchumi nchini. Waziri Biteko ameyasema hayo, Oktoba 05, 2023 wakati alipokuwa akizindua ripoti ya utafiti wa ushirikiano kwenye sekta ya Nishati kati ya Tanzania na Sweden […]