Home > Articles posted by MACHINGA TV (Page 143)
FEATURE
on Feb 15, 2024
317 views 18 secs

Na mwandishi wetu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia

Suluhu ahudhuria mualiko wa Papa Francis Mjini Vatican,Rais Dkt.Samia katika mualiko amefanya mazungumzo na Papa Francis zaidi ya dakika 25 ikiwa ni katika kuendelea kudumisha demokrasia ya Tanzania Kimataifa. Katika mazungumzo yao ya faragha yaliyodumu kwa takribani dakika ishirini na tano, wameridhika na uhusiano […]


FEATURE
on Feb 15, 2024
335 views 28 secs

Serikali inaendelea kutekeleza miradi ya kuimarisha na kuboresha upatikanaji wa umeme kwenye gridi ya Taifa (Gridi imara) ili kuwezesha wananchi kupata huduma hiyo muhimu ya umeme kila sehemu ya Nchi. Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Dunstan Kitandula aliyejibu swali bungeni kwa niaba ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa […]


FEATURE
on Feb 14, 2024
336 views 48 secs

Ubunifu wa mbinu za kuongeza idadi ya watalii na vyanzo vya mapato nchini kwa kuanzisha mazao mapya ya utalii ni mojawapo ya mikakati inayopigiwa chapuo kwa msisitizo mkubwa na Wizara ya Maliasili na Utalii chini ya Waziri mwenye dhamana ya Maliasili Mhe. Angellah Kairuki (Mb). Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania – TAWA kupitia Hifadhi […]


FEATURE
on Feb 14, 2024
243 views 45 secs

Kwa miongo kadhaa kumekuwa na dhana ya kwamba wageni wengi wa nje hupendelea zaidi utalii wa kuona wanyamapori, lakini hivi karibuni dhana hiyo imeanza kubadilika kwa kasi ambapo Tanzania imeanza kupokea wageni makundi kwa makundi wakitembelea katika maeneo yetu ya Malikale hususan Hifadhi ya Urithi wa Dunia ya Magofu ya Kilwa kisiwani na Songo Mnara. […]


FEATURE
on Feb 14, 2024
335 views 3 mins

Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania –

TAWA Mabula Misungwi Nyanda amewataka Maofisa wote wa taasisi hiyo kuweka mikakati madhubuti ya kuongeza idadi ya watalii ili kuongeza mapato Serikalini ikiwa ni pamoja na kuboresha ulinzi na usimamizi wa rasilimali za wanyamapori na malikale. Kamishna Mabula ameyasema hayo leo Februari 10, 2024 […]


FEATURE
on Feb 14, 2024
403 views 13 secs

Hifadhi ya Urithi wa Dunia ya Magofu ya Kilwa kisiwani na Songo Mnara inaendelea kupokea makundi makubwa ya watalii kutoka Mataifa mbalimbali Duniani ambao wanafika nchini mahsusi kwa ajili ya kutembelea hifadhi hiyo iliyosheheni utajiri wa kihistoria na maajabu ya magofu ya kale kwa shughuli za utalii. Kwa mara nyingine ikiwa ni kundi la tatu […]


FEATURE
on Feb 2, 2024
282 views 3 mins

Na. Beatus Maganja Mkuu wa Wilaya ya Serengeti Mhe. Dkt. Vincent Mashinji

amesema Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania – TAWA imeendelea kuunga mkono jitihada za Baba wa Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kuhakikisha elimu inakuwa kipaumbele wilayani Serengeti. Dkt. Mashinji ameyasema hayo Februari 01, […]


FEATURE
on Feb 2, 2024
469 views 2 mins

Na Madina Mohamedi Tukiwa mbioni mwisho wa Msimu wa AFCON BOMBA Azam Media LTD kupitia chaneli 103 wanakuja na tamthilia ya Toboatobo itakayoanzwa kuonyeshwa Februari 9 ,2024 kuanzia Ijumaa mpaka jumapili saa moja na nusu usiku . Akitambulisha Tamthilia hiyo katika mkutano na Waasanii waliicheza na Waandishi wa habari leo Jijini Dar es salaam Sophia […]


FEATURE
on Jan 31, 2024
502 views 4 mins

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.

Samia Suluhu Hassan amesema serikali imedhamiria kuleta mageuzi makubwa katika Sekta ya Uvuvi, hivyo imeamua kutoa kipaumbele katika kukuza sekta hiyo kwa kuimarisha utendaji kazi wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amebainisha hayo leo (30/01/2024) jijini Mwanza, wakati wa kukabidhi boti […]


FEATURE
on Jan 23, 2024
493 views 3 mins

Na Richard Mrusha Kitulo AFISA Mhifadhi mkuu wa Kanda ya Kusini Jonathan Kaihura Ametoa wito Kwa watanzania kujenga tabia ya kutembelea vivutio mbalimbali vilivyopo katika hifadhi zetu hapa nchini na hasa hifadhi ya Taifa ya kitulo iliyopo katika mikoa ya Njombe wilayani Makete. Na Mkoa wa Mbeya wilaya ya Rungwe na mbeya vijijini Amesema kuwa […]