Home > Articles posted by MACHINGA TV (Page 139)
FEATURE
on Jan 19, 2024
293 views 44 secs

Na Mwandishi wetu KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndugu. Paul Makonda ametoa wito na rai kwa Wanachama, Wapenzi, Wakerektwa wa CCM kujitokeza kwa wingi kumlaki na kumpokea Katibu Mkuu wa CCM Taifa Emanuel Nchimbi ikiwa sehemu ya ishara ya kumkaribisha ofisini pia naye kutoa salamu na shukrani. […]

FEATURE
on Jan 19, 2024
273 views 2 mins

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amesema katika kudhibiti rushwa unahitajika uongozi imara pamoja na kuishirikisha jamii na wadau kuanzia ngazi ya watoto shuleni. Makamu wa Rais amesema hayo wakati akishiriki mjadala wa ngazi ya juu uliyohusu masuala ya Utawala Bora na kukabiliana na Rushwa uliyofanyika katika Mkutano […]

FEATURE
on Jan 19, 2024
424 views 4 mins

Na. Beatus Maganja Mkuu wa Wilaya ya Bunda Mhe. Dkt. Vicent Anney amesema mvua za El Nino zimekuwa sababu kubwa ya ongezeko la wanyamapori aina ya mamba ambao wamekuwa wakitoka maeneo yao ya asili na kwenda maeneo ya wananchi na kuleta madhara kwa maisha na mali zao katika vijiji vya Kasahunga na Mayolo Wilayani Bunda. […]

FEATURE
on Jan 17, 2024
343 views 2 mins

Na Madina Mohammed wamachinga Dodoma Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Judith Kapinga amesema kuwa Serikali iliagiza tani 3,036,376 za mafuta ya taa, dizeli, petroli na mafuta ya ndege katika kipindi cha mwezi Julai hadi Desemba 2023 kwa ajili ya matumizi ya ndani ya nchi pamoja na nchi jirani. Ametoa kauli hiyo January 17, 2024 jijini […]

FEATURE
on Jan 17, 2024
406 views 2 mins

Na. Beatus Maganja Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Usimamizi Wanyamapori Tanzania – TAWA amezindua mradi wa jengo la ofisi lenye jumla ya vyumba 8 vikiwemo vyumba 6 vitakavyotumika kama ofisi, chumba cha mikutano, stoo pamoja na vyoo viwili, mradi unaotajwa kugharimu zaidi ya Tsh. Millioni 250. Akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa jengo hilo […]

FEATURE
on Jan 16, 2024
520 views 2 mins

Mkurugenzi wa Bandari ya Dar es Salaam, Mrisho Seleman Mrisho amesema kuwa wao kama bandari wanajivunia kupokea meli kubwa ya watalii kwakuwa matarajio yao ni kupokea meli kubwa zaidi ya hiyo kwani tayari wameshafanya maboresho kadhaa ikiwemo kuongeza kina cha maji na mengine tofauti na ilivyokuwa awali kabla ya maboresho. Akizungumza na waandishi wa habari […]

FEATURE
on Jan 16, 2024
544 views 2 mins

Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Utalii Tanzania, Damasi Mfugale amesema kuwa utalii wa meli ambao kwa sasa ni zao la kimkakati nchini unakwenda kukua kwa kiasi kikubwa kadri siku zinavyokwenda ambapo idadi ya watalii itaendelea kuongeza. Mfugale ameyasema hayo leo Januari 16, 2024 wakati wa mapokezi ya meli kubwa iliyotia nanga katika bandari ya Dar […]

FEATURE
on Jan 15, 2024
366 views 5 mins

Mkurugenzi wa Bandari, Mrisho Mrisho amesema kwa mwaka huu wa fedha, 2023/24 wanatarajia kuhudumia makasha zaidi ya Milioni Moja na laki mbili. Alisema kwa mwaka wa fedha 2022/23 Bandari ya Dar es Salaam walihudumia shehena Tani milioni 21.46, na malengo kwa mwaka uliopita ilikuwa ni kuhudumia Tani milioni 19.6 ambapo Tani hizo walizozihudumia walifanikuwa kuvuka […]

FEATURE
on Jan 15, 2024
428 views 2 mins

Na. Beatus Maganja Kamishna wa Uhifadhi wa TAWA Mabula Misungwi Nyanda ameeleza kufurahishwa kwake na ubora wa viwango vya ujenzi wa karakana ya matengenezo ya magari na mitambo iliyojengwa Kanda ya Kati ya TAWA wilayani Manyoni, karakana inayotajwa kuwa ni kubwa kuliko karakana zote zilizojengwa na taasisi hiyo. Ameyasema hayo Januari 14, 2024 akiwa katika […]