wa Act Wazalendo wanaunga mkono tamko la chama lililotolewa na makamu Mwenyekiti wa chama Ndugu Isihaka Mchinjita la kuwataka wajumbe wote wa Tume ya uchaguzi Wajiuzulu Kwa hatua hiyo ya wajumbe wa Tume ya uchaguzi kujiuzulu itatoa nafasi Kwa wajumbe wapya kuteuliwa Kwa kuzingatia masharti yaliyopo […]
Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM Shirika la RELI la Tanzania TRC imeeka historia ya kwanza Kwa kuleta seti ya kwanza ya treni ya kisasa ya EMU,Vichwa vitano vya umeme na Mabehewa matatu ya abiria ambavyo vimewasili Katika bandari ya Dar es salaam Serikali Kupitia shirika la RELI Tanzania imepokea jumla ya Mabehewa 65 ya […]
Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM Dkt. Biteko akutana na Mwenyekiti wa Bodi ya EITI ya nchini Norway* Ushirikiano wa EITI na TEITI kuimariswa* Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko leo tarehe
3 Aprili, 2024 amekutana na kuzungumza na Mwenyekiti wa Asasi ya Bodi ya Kimataifa ya Uhamasishaji Uwazi na […]
*📌Ni kufuatia hitilafu ya umeme kwenye mfumo wa Gridi* *📌Aigaza TANESCO kutafuta mwarobaini wa tatizo la kufeli kwa Gridi mara kwa mara* *📌Awataka kufanya ukarabati wa vituo vya kufua umeme, ili kuvipa ufanisi* *📌Awatahadharisha juu ya uwepo wa mvua nyingi na kuchukua tahadhari* Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amefanya […]
Doto Biteko leo tarehe 31 Machi 2024 amefika kijijini Komaswa, wilayani Tarime mkoani Mara ili kuhani msiba wa aliyekuwa Askofu wa New Life Gospel Community Church (NLGCC), Marehemu Fransisca Mwita Gachuma ambaye alikuwa mwenza wa Ndugu Christopher Gachuma, Mjumbe wa Halmashauri Kuu […]
Na Mwandishi Wetu DAR ES SALAAM MAHAKAMANI DAR ES SALAAM, 29 Machi, 2024 MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imewahukumu wakazi 11 wa Ifakara Morogoro kifungo cha miaka mitatu jela au kulipa faini ya shilingi milioni sita kwa kila mmoja baada ya kupatikana na hatia ya kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu na kutoa taarifa za […]
Kuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Steven Wassira amesema hakuna haja yakuchapisha fomu ya mgombea uraisi ndani ya chama hicho kwakuwa tayari wana mgombea ambaye anatosha. Wassira alitoa kauli hiyo wakati anahojiwa kwenye moja ya kipindi cha luninga alipoulizwa kuhusu mchakato wakumpata mgombea urais ndani ya […]
siku kadhaa kuelekea sikukuu ya Pasaka ambayo itaanza maadhimisho yake siku ya Ijumaa Kuu Machi 29, 2024 na baadae kufuatiwa na mkesha sikukuu yenyewe wananchi wameombwa kutoa taarifa za viashiria au dalili za kihalifu ili wahusika washughulikiwe mapema . Akizungumza leo Machi 28,2024 Kamanda wa Jeshi la […]
Na Mwandishi Wetu Lindi DIWANI wa Kata ya Songo Songo, Mkoani Lindi, Hassan Swalehe Yusuph ameipongeza Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) kwa usimamizi bora wa Miradi ya Uwajibikaji kwa Jamii (CSR) iliyofanywa na kampuni zinazozalisha gesi asilia katika kisiwa cha Songo Songo. Yusuph ametoa pongezi hizo hivi karibuni wakati akizungumza na […]