Home > Articles posted by MACHINGA TV (Page 137)
FEATURE
on Apr 4, 2024
379 views 50 secs

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM Ngome ya wazee

wa Act Wazalendo wanaunga mkono tamko la chama lililotolewa na makamu Mwenyekiti wa chama Ndugu Isihaka Mchinjita la kuwataka wajumbe wote wa Tume ya uchaguzi Wajiuzulu Kwa hatua hiyo ya wajumbe wa Tume ya uchaguzi kujiuzulu itatoa nafasi Kwa wajumbe wapya kuteuliwa Kwa kuzingatia masharti yaliyopo […]


FEATURE
on Apr 3, 2024
417 views 2 mins

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM Shirika la RELI la Tanzania TRC imeeka historia ya kwanza Kwa kuleta seti ya kwanza ya treni ya kisasa ya EMU,Vichwa vitano vya umeme na Mabehewa matatu ya abiria ambavyo vimewasili Katika bandari ya Dar es salaam Serikali Kupitia shirika la RELI Tanzania imepokea jumla ya Mabehewa 65 ya […]


FEATURE
on Apr 3, 2024
339 views 2 mins

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM Dkt. Biteko akutana na Mwenyekiti wa Bodi ya EITI ya nchini Norway* Ushirikiano wa EITI na TEITI kuimariswa* Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko leo tarehe

3 Aprili, 2024 amekutana na kuzungumza na Mwenyekiti wa Asasi ya Bodi ya Kimataifa ya Uhamasishaji Uwazi na […]


FEATURE
on Apr 2, 2024
326 views 53 secs

DODOMA Serikali kupitia Wizara ya Ujenzi imesema inaendelea na ujenzi wa barabara ya Sanzate – Nata iliyopo Wilaya ya Serengeti mkoani Mara (km 40) kwa kiwango cha lami ambapo utekelezaji wake umefikia asilimia 45 na inatarajiwa kukamilika ifikapo mwezi Januari, 2025. Hayo yameelezwa Bungeni jijini Dodoma leo Tarehe 2, Aprili 2024 na Naibu Waziri wa […]


FEATURE
on Apr 2, 2024
222 views 3 mins

*📌Ni kufuatia hitilafu ya umeme kwenye mfumo wa Gridi* *📌Aigaza TANESCO kutafuta mwarobaini wa tatizo la kufeli kwa Gridi mara kwa mara* *📌Awataka kufanya ukarabati wa vituo vya kufua umeme, ili kuvipa ufanisi* *📌Awatahadharisha juu ya uwepo wa mvua nyingi na kuchukua tahadhari* Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amefanya […]


FEATURE
on Mar 31, 2024
475 views 38 secs

Na mwandishi wetu Tarime Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt.

Doto Biteko leo tarehe 31 Machi 2024 amefika kijijini Komaswa, wilayani Tarime mkoani Mara ili kuhani msiba wa aliyekuwa Askofu wa New Life Gospel Community Church (NLGCC), Marehemu Fransisca Mwita Gachuma ambaye alikuwa mwenza wa Ndugu Christopher Gachuma, Mjumbe wa Halmashauri Kuu […]


FEATURE
on Mar 29, 2024
363 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu DAR ES SALAAM MAHAKAMANI DAR ES SALAAM, 29 Machi, 2024 MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imewahukumu wakazi 11 wa Ifakara Morogoro kifungo cha miaka mitatu jela au kulipa faini ya shilingi milioni sita kwa kila mmoja baada ya kupatikana na hatia ya kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu na kutoa taarifa za […]


FEATURE
on Mar 29, 2024
383 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu DAR ES SALAAM Mjumbe wa Halmashauri

Kuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Steven Wassira amesema  hakuna haja yakuchapisha fomu ya mgombea uraisi ndani ya chama hicho kwakuwa  tayari wana mgombea ambaye anatosha. Wassira alitoa kauli hiyo wakati anahojiwa kwenye moja ya kipindi cha luninga alipoulizwa kuhusu mchakato wakumpata mgombea urais ndani ya […]


FEATURE
on Mar 29, 2024
437 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu DAR ES SALAAM Ikiwa imesalia

siku kadhaa kuelekea sikukuu ya Pasaka ambayo itaanza maadhimisho yake siku ya Ijumaa Kuu Machi 29, 2024 na baadae kufuatiwa na mkesha sikukuu yenyewe wananchi wameombwa kutoa taarifa za viashiria au dalili za kihalifu ili wahusika washughulikiwe mapema . Akizungumza leo Machi 28,2024 Kamanda wa Jeshi la […]


FEATURE
on Mar 29, 2024
235 views 4 mins

Na Mwandishi Wetu Lindi DIWANI wa Kata ya Songo Songo, Mkoani Lindi, Hassan Swalehe Yusuph ameipongeza Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) kwa usimamizi bora wa Miradi ya Uwajibikaji kwa Jamii (CSR) iliyofanywa na kampuni zinazozalisha gesi asilia katika kisiwa cha Songo Songo. Yusuph ametoa pongezi hizo hivi karibuni wakati akizungumza na […]