Home > Articles posted by MACHINGA TV (Page 134)
FEATURE
on Feb 29, 2024
317 views 4 mins

Na. Beatus Maganja Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mhe. Zainab Rajab Telack amewataka wakazi wa wilaya ya Kilwa na Mkoa wa Lindi kwa ujumla kuwa tayari kuwapokea watalii wanaotembelea Hifadhi ya Urithi wa Dunia ya Magofu ya Kilwa kisiwani na Songo Mnara na kutumia fursa hiyo kufanya biashara za bidhaa za utalii ili kuwaingizia kipato. […]

FEATURE
on Feb 28, 2024
301 views 8 mins

WAKATI NHIF ikitangaza kuanza kwa matumizi ya kitita kipya kuanzia siku ya Ijumaa, Chama cha Wenye Hospitali Binafsi (APHFTA) kimetangaza tena kugomea kuwahudumia wanachama wa NHIF wakisema kuwa watapata hasara na hatimaye kufunga kutoa huduma. Chama hicho kinasema kuanza kutumika kwa kitita hicho kutazifanya hospitali nyingi binafsi kufa kifo cha asili natural death kwani zitashindwa […]

FEATURE
on Feb 28, 2024
239 views 3 mins

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM Mfuko wa Bima wa Taifa wa NHIF imefanya maboresho ya kitita cha mafao kwa wanachama wake ambayo utekelezaji wake utaanza rasmi Machi Mosi mwaka 2024 ikiwa lengo ni upatikanaji wa huduma bora wa wanachama pamoja na kuongeza huduma ambazo hazikuepo hapo awali. Aidha, amesema kuwa,  maboresho hayo ya orodha […]

FEATURE
on Feb 27, 2024
389 views 55 secs

Na Madina Mohammed Mamlaka ya Dawa na vifaa tiba TMDA inawataarifu wananchi kuwa Kuna dawa aina ya XSONE ya macho inayotengenezwa na kiwanda Cha Abacus Paranteral Drugs Ltd (APDL) Kampala,Uganda dawa hiyo imebainika kutokidhi vigezo vya ubora ambayo ni matokeo DUNI. Imethibitika kuwa Kwa dawa hizo kuwa DUNI Kwa kuwa yameonesha kuwa na vipande vidogo […]

FEATURE
on Feb 27, 2024
294 views 3 mins

Na. Jacob Kasiri – Sitalike. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa (Mb) amewataka Makamanda wa Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) kuratibu maeneo yao vizuri na kusimamia sheria za uhifadhi kama zilivyopitishwa na Bunge ili maliasilia zilizomo ziendelee kuleta tija kwa taifa, ameyasema hayo jana Februari 25.02.2024 aliposimama kuwasalimia […]

FEATURE
on Feb 26, 2024
388 views 2 mins

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM Mamlaka ya Usimamizi wa bandari  Tanzania TPA imeingia mkataba wa ujenzi wa matenki na Miundombinu ya kupokelea,kuhifadhi na Usambazaji wa bidhaa ya mafuta Katika bandari ya Dar es salaam Waziri wa uchukuzi Mhe prof Makame Mbarawa ameshuhudia utiaji Saini wa mkataba huo wa matenki 15 utakaogharimu shiringi bilioni 678 […]

FEATURE
on Feb 26, 2024
373 views 2 mins

Na. Beatus Maganja Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Mhe. Christopher Emil Ngubiagal amesema Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania – TAWA ni taasisi iliyoleta mapinduzi makubwa katika Sekta ya Utalii na kuwa chanzo kikubwa cha mapato ya Serikali na wazawa wa wilaya hiyo kutokana na maboresho ya miundombinu ya utalii katika Hifadhi ya Urithi wa […]

FEATURE
on Feb 26, 2024
181 views 2 mins

Na. Beatus Maganja Kazi iliyotukuka ya kutangaza Utalii wa Nchi yetu iliyofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dr. Samia Suluhu Hassan kupitia filamu ya Tanzania “The Royal Tour” inazidi kudhihirisha matokeo chanya katika Hifadhi zetu Nchini hususan Hifadhi ya Urithi wa Dunia ya Magofu ya Kilwa kisiwani na Songo Mnara ambayo […]

FEATURE
on Feb 26, 2024
588 views 3 mins

SHIRIKA la Reli Tanzania (TRC) hii leo,limezindua rasmi Treni ya umeme ya Abiria kutoka Stesheni Jijini Dar es salaam kuelekea Mkoani Morogoro. Safari hiyo ilianza mnamo mida ya saa nne na Nusu na kuwasili Mkoani Morogoro mida ya saa sita na nusu. Shirika la reli Tanzania TRC limeanza kufanya majaribio ya uendeshwaji wa Treni za […]

FEATURE
on Feb 26, 2024
299 views 2 mins

Na mwandishi wetu RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan ameipongeza klabu ya Yanga kwa kufuzu Robó Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kufuatia ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya CR Belouizdad juzi “Naipongeza Klabu ya Yanga kwa kufanya vyema katika hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa ya Shirikisho la […]