DAR ES SALAAM ๐ *Azindua programu ya Kuboresha Kada ya Ualimu nchini (GPETSP)* ๐ *Ataja ongezeko la ajira kwa Walimu, madaraja na Bajeti ya Elimu* ๐ *Aeleza vipaumbele 8 kuendeleza Kada ya Ualimu* ๐ *Ataka Walimu wawe na Siku Maalum ya Motisha* ๐ *JK atoa neno kuhusu Taasisi ya GPE* Naibu Waziri Mkuu na Waziri […]
Waziri Mkuu wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. January Makamba (Mb.) amekutana na Waziri wa Nchi Kilimo na Mifugo wa Rwanda kujadili na kuweka sawa mikakati ya ujenzi wa kiwanda cha kuchakata maziwa jijini Mwanza. Waziri Makamba amesema uwepo wa Kiwanda hicho cha Maziwa Jijini Mwanza kitatoa soko la maziwa na […]
Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Peter Mavunde leo tarehe 12 Machi, 2024 amezindua Timu ya Wizara ya Majadiliano katika Ukumbi wa Nishati, Jijini Dodoma. Uzinduzi wa Timu hiyo ni utekelezaji wa Kifungu cha 10 cha Sheria ya Madini Sura ya 123 kinachohusu ushiriki wa Serikali katika umiliki wa Hisa katika Kampuni za Madini zinazomiliki Leseni […]
Madina Mohammed DAR ES SALAAM Serikali Kwa kushirikiana na wadau wameweza kudhibiti ugonjwa wa Matende na Mabusha Katika Halmashauri 112 kati 119 na kubakiwa na Halmashauri 7 Halmashauri ambazo zenye maambukizi mapya ya Mabusha na Matende ni Pangani,Mafia,Kinondoni,Kilwa,Lindi Manispaa,Mtama Na Mtwara-Mikindani ambako Kuna jumla ya wakazi 1,203,359 Hapo awali maambukizi makubwa ya ugonjwa huo yalikuwa […]
๐ *Yapongeza Wizara kushirikisha Taasisi za Umma kwenye ujenzi* ๐ *Yataka mkandarasi kuongeza kasi ya ujenzi* ๐ *Ujenzi wafikia asilimia 75* Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeipongeza Wizara ya Nishati kwa kushirikisha Taasisiย za Umma katika utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa jengo la Wizara katika Mji wa Serikali-Mtumba na hivyo […]
๐ *Apokelewa na Katibu Mkuu na Wafanyakazi wa Wizara* ๐ *Aahidi kushirikiana na wadau kumsaidia Mhe. Rais kufikia malengo* Dodoma Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Dkt. James Mataragio amewasili rasmi ofisini na kuahidi kumsaidia Rais, Mhe. Samia Suluhu Hassan kutimiza malengo yake kwa Taifa. Alipowasili Ofisi za Wizara eneo la Mtumba jijini Dodoma, alipokelewa […]
DODOMA Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko (katikati)ย akiwa kwenye picha ya pamoja na Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati wa Zambia (anayeshughulikia Huduma za Kiufundi), Peter Mumba (wa Pili kushoto) mara baada ya kikao chao kilicholenga kujadili masuala mbalimbali ya Nishati kati ya nchi hizo mbili. Kikao kimefanyika jijini […]