Home > Articles posted by MACHINGA TV (Page 129)
FEATURE
on Dec 1, 2023
364 views 5 mins

Yabainisha maambukizi mapya kwa watu wazima yanazidi kupungua Kiwango cha kufubaza VVU kimeendelea kukua na kufikia asilimia 78 WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amezindua ripoti ya utafiti wa viashiria vya UKIMWI ambayo inaonesha maambukizi mapya miongoni mwa watu wazima wenye umri zaidi ya miaka 15 yanaendelea kupungua. “Maambukizi mapya miongoni mwa watu wazima wenye zaidi ya […]

FEATURE
on Dec 1, 2023
207 views 16 secs

Na Madina Mohammed MAMLAKA ya mapato Tanzania TRA imetoa Tuzo Kwa Shirika la Taifa la nyumba NHC Kuwa kundi la mashirika ya umma na kuwa mshindi wa kwanza Kwa kuweza kulipa Kodi kwa uwaminifu Akizungumza na Waandishi wa habari jijini Dar es salaam Leo ijumaa 01,2023 MENEJA wa Habari mahusiano ya shirika la nyumba Ndg.Muungano […]

FEATURE
on Dec 1, 2023
398 views 19 secs

Na Madina Mohammed Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi, Itikadi, Uenezi na Mafunzo ndugu Paul Makonda leo tarehe 1 December 2023 amemtembelea na kumshukuru Mufti wa Tanzania Dkt. Abubakary Zuberi bin Ally kwa kumuombea na kuanae katika nyakati zote alizozi pitia makonda kuendelea kupata Baraka zaidi. Mwenezi Makonda amefanya hivyo ikiwa ni muendelezo […]

FEATURE
on Dec 1, 2023
249 views 57 secs

Kamati ya siasa ya Mkoa wa Dar es salaam leo Novemba 30, 2023 imefanya ziara ya kukagua barabara zinazojengwa na kusimamiwa na TANROADS ikiwemo hiyo inayotoka Kibamba shule kuelekea Mpiji Magohe yenye urefu wa KM 9.2  kwa gharama ya bilioni 2.7 kwa kiwango cha lami. Wakiongozwa na Katibu wa CCM Mkoa wa DSM Mh. Adam Ngalawa […]

FEATURE
on Nov 30, 2023
294 views 44 secs

Arusha Waziri wa Ujenzi, Mhe. Innocent Bashungwa ameipongeza Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA ) kwa kazi nzuri wanazofanya na za utekelezaji wa majukumu yake ya kuzifungua barabara nchini. “TARURA mnaupiga mwingi kwenye Ujenzi wa madaraja na barabara za mawe,mfikishieni salamu zangu Waziri wa OR-TAMISEMI,Mtendaji Mkuu pamoja na watumishi wote wa TARURA. Mhe. […]

FEATURE
on Nov 30, 2023
218 views 30 secs

Tanzania na Uganda zimeingia makubaliano ya kuongeza usafarishaji wa Shehena ya Mizigo kutoka Bandari ya Dar es Salaam kwenda Uganda kupitia ushoroba wa Mwanza. Makubaliano hayo yameshainiwa kati ya Waziri a Uchukuzi wa Tanzania Prof. Makame Mbarawa na Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi wa Uganza Edward Katumba, makubaliano hayo yamefanyika jijini Dar es Salaama “ […]

FEATURE
on Nov 30, 2023
277 views 3 mins

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali iko kwenye maandalizi ya awali ya ujenzi wa kampasi 14 mpya za vyuo vikuu kwenye mikoa ya pembezoni isiyokuwa na vyuo vikuu. Ameitaja mikoa hiyo kuwa ni Kigoma, Ruvuma, Singida, Mwanza, Kagera, Tanga, Njombe, Tabora, Manyara, Simiyu, Shinyanga, Lindi, Rukwa, na Katavi. Waziri Mkuu ametoa kauli hiyo leo (Alhamisi, […]

FEATURE
on Nov 30, 2023
456 views 3 mins

Asema Serikali inaendelea na juhudi za kutokomeza UKIMWI Nchini* Morogoro Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka wadau mbalimbali wanaohusika na mapambano dhidi ya UKIMWI nchini kwa kushirikiana na Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania (TACAIDS) kuhakikisha kuwa wanatenga fedha za kutosha kwa ajili ya mapambano dhidi ya UKIMWI nchini badala […]