Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan , ametoea maelekezo yafuatayo. 1 Amuelekeza Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa kuwa Serikali igharamie mazishi ya wote waliopoteza maisha kutokana na mvua kubwa iliyotokea na mafuriko katika Halmashauri ya Wilaya ya Hanang. 2 Majeruhi wote wapatiwe matibabu yote yanayostahili kwa […]
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Ndg. Abdulrahman Kinana, amewahakikishia wananchi Wilayani Hanang Mkoa wa Manyara hususani waliokumbwa na janga la mafuriko, kwamba maelekezo ya Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, yatatekelezwa kikamilifu. Cde. Kinana ameyasema hayo leo tarehe 4 Desemba, […]
> Mwenezi Makonda awasihi Wananchi kufuata maelekezo ya Serikali. > Awaomba Viongozi wa Dini kuendelea kuliombea Taifa ili mvua kuwa sehemu ya Baraka ” Wanachama wote wa Chama Cha Mapinduzi wanaungana na Mwenyekiti wetu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, kutoa pole kwa ndugu zetu wa Mkoa wa Manyara […]
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista J. Mhagama, Waziri wa Ujenzi Innocent Bashungwa, pamoja na Wakuu wa Vyombo vya ulinzi na Usalama wamefika katika kijiji cha Gendabi kata ya Gendambi Wilaya ya Hanang mkoani Manyara eneo yalipotokea mafuriko ambayo yamesababisha vifo vya watu, majeruhi na uharibifu mkubwa wa […]
Mashindano ya klabu bingwa barani afrika hatua ya makundi imeendelea leo Jumamosi December 02,2023 kwa kuchezwa michezo mbalimbali huku Tanzania ikiwakilishwa na Simba na Yanga. Yanga imejitahidi kucheza Zaidi ya waarabu hao ambao gemu ilikuwa ngumu lakini waliweza kuoneshana ubabe Kwa kipindi Cha kwanza kutoweza kupata matokeo na kipindi Cha pili kupata magoli Moja Moja […]
Ampongeza Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuimarisha demokrasia Ahimiza wanaume wakapime VVU, wasitegemee matokeo ya wenza wao WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameongoza matembezi ya amani, maridhiano na Rais Samia Suluhu Hassan na kuwataka viongozi wa dini waendelee kusisitiza amani miongoni mwa waumini wao. โViongozi wa madhehebu ya dini endeleeni kuwahimiza waumini wenu kulinda amani […]
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (NEC) Taifa, Ndugu Paul Christian Makonda amemtembelea Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Mkuu Dkt. Alex Gehaz Malasusa, kwa lengo la kumsalimia na kumpongeza kwa kuchaguliwa kwake kuliongoza kanisa hilo, kwa mara nyingine. Katika mazungumzo yao yaliyofanyika leo Jumamosi, Disemba 2, 2023, Askofu […]
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Agellah Kairuki ameendelea kuweka wazi fursa mbalimbali zilizoko kwenye Sekta ya Utalii na kuhamasisha wawekezaji wa Kitaifa na Kimataifa kuwekeza katika Sekta hiyo ili kuongeza mapato yatokanayo na Utalii nchini. Ameyasema hayo usiku wa Desemba 1,2023 kwenye ukumbi wa Gran Melia jijini Arusha, katika hafla ya Epic Tanzania Tour […]