Home > Articles posted by MACHINGA TV (Page 127)
FEATURE
on Dec 7, 2023
285 views 36 secs

Waziri wa Maji, Jumaa Aweso (Mb) amewahakikisha Wananchi upatikanaji wa huduma ya maji katika maeneo ya Vijiji na Kata zilizoathiriwa na maporomoko ya matope kutoka Mlima Hanangโ€™ yaliyopelekea miundombinu ya maji kuharibiwa na kusababisha madhara ikiwemo vifo, majeruhi na uharibifu wa mali. Waziri Aweso ameeleza hayo leo tarehe 06 Disemba 2023 akizunguka katika maeneo hayo […]

FEATURE
on Dec 7, 2023
236 views 2 mins

NIRC Mbarali, Mbeya Wataalamu wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji wakiendelea na mafunzo kwa vitendo juu ya ukarabati kinga miundombinu ya umwagiliaji kwa viongozi wa wakulima katika skimu za Umwagiliaji za Matebete, Igumbilo Isitu, Gonakuvagogolo pamoja na skimu ya Mwaru zilizopo wilayani Mbarali mkoani Mbeya. Mafunzo hayo yamehusisha skimu zaidi ya saba zilizopo wilayani humo […]

FEATURE
on Dec 7, 2023
258 views 2 mins

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Islaah Islamic Foundation Dkt Alhaji Hassan Sulle ametoa wito kwa Makampuni,Mshirika,Taasisis na Watu wenye Uwezo kuchangia Jumuiya ya Akhlaaqul Islam (JAI) Kinondoni ili iweze kuendelea kutoa huduma kwa watu wenye uhitaji ikiwemo wagonjwa Mahospitalini. Wito huo ameutoa Mwishoni mwa wiki Jijini Dar es salaam wakati akiongoza kongamano la harambeee ya […]

FEATURE
on Dec 6, 2023
277 views 2 mins

Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema kazi ya kuondoa tope inaendelea na shughuli kubwa inayofanyika kwa sasa ni kufungua mitaa yote ya mji wa Katesh na kurejesha mji katika hali yake ya awali kwa kuwezesha shughuli za uzalishaji kuendelea. Ameyasema hayo mapema asubuhi hii wakati wakikagua kazi zilizofanyika ambapo aliambatana na Waziri wa Nchi, Ofisi […]

FEATURE
on Dec 5, 2023
221 views 4 mins

Kilimanjaro Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ametoa wito kwa viongozi mbalimbali Serikalini kuhakikisha kuwa, kazi walizonazo wanazifanya kwa bidii kubwa na kuacha alama nzuri kwa wananchi, hivyo ni muhimu kazi hizo zikaonekana na kufaidisha wananchi. Amesema hayo tarehe 5 Desemba 2023 wakati alipomwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa […]

FEATURE
on Dec 5, 2023
524 views 3 mins

Wizara ya afya na Baraza la Tiba Asili Nimli na Taasisi ya utafiti dawa ASILIA limeombwa kuongeza nguvu Katika vifaa TIba Ili kufanya tafiti za TIba Kwa kina Hayo yamesemwa Leo 04,2023 Mkurugenzi mkuu wa Islaam Islamic foundation Alhaj Dkt.Sule Amesema Tanzania tunahuwaba wa kufanyia tafiti Kwa wakati mwingine huduma za Tiba Asili zipo Chini […]

FEATURE
on Dec 5, 2023
299 views 2 mins

Na Said Said, WMJJWM- Dodoma. Baraza la Taifa la Wazee limeaswa kushirikiana na Serikali pamoja na wadau mbalimbali katika kurekebisha na kusimamia maadili mema ya Taifa. Rai hiyo imetolewa Oktoba 04, 2023 na Kamishna Msaidizi wa Ustawi wa Jamii, Tulo Masanja alipomwakilisha Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. Dorothy Gwajima, […]

FEATURE
on Dec 5, 2023
229 views 2 mins

Chama Cha Mapinduzi (CCM), kupitia kwa Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Bara, Ndugu Anamringi Macha, kimekabidhi msaada wa vitu vyenye thamani ya Tsh. 10 milioni, โ€˜kuwashika mkonoโ€™ waathirika wa maafa yaliyosababishwa na mafuriko ya maji na matope, huko wilayani Hanang. Akikabidhi msaada huo kwa waathirika hao mbele ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa […]

FEATURE
on Dec 5, 2023
356 views 3 mins

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema idadi ya watu waliokufa kutokana na maporomoko ya udongo wilayani Hanang, mkoani Manyara imefikia 63 na majeruhi 116. โ€œKati ya waliofariki wanaume ni 23 na wanawake ni 40. Miongoni mwao, watu wazima ni 40 na watoto ni 23. Kwa watu wazima, wanaume ni 14 na wanawake ni 26; kwa watoto, […]

FEATURE
on Dec 4, 2023
256 views 2 mins

Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari nchini (TPA) imeingia mkataba wa usanifu na ujenzi wa uendelezaji wa Bandari ya Mbamba bay iliyopo wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma, mradi utakao gharimu kiasi cha shilingi bilioni 75.8 ambapo unatarajiwa kukamilika ndani ya miezi 24. Akizungumza na wananchi katika hafla ya utiaji saini mkataba huo, Waziri wa Uchukuzi Prof. […]