Na Veronica Simba – REA, Korogwe Walimu na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Chekelei iliyopo kijiji cha Madumu, wilayani Korogwe, Mkoa wa Tanga wamemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuhakikisha wanapata huduma zote za msingi ikiwemo umeme na vitendea kazi mbalimbali, hali ambayo wameeleza itasaidia kuboresha taaluma shuleni hapo. Wametoa shukrani hizo leo Machi 26, […]
Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM Azam Media LTD Kwa mara nyingine tena wametambulisha Tamthilia Mpya ya BUNJI Ambayo itakayoonyeshwa Kwa mara ya kwanza Aprili Mosi,Mwaka 2024 Katika channel namba 103 ya sinema zetu Tamthilia hiyo ya BUNJI itaanza kuruka kuanzia Jumatatu mpaka Alhamis saa 1 na nusu usiku, Tamthilia hiyo ambayo ikiwakirishwa na Msanii […]
Na mwandishi wetu Serikali imesema uchumi wa Tanzania umeendelea kukua Hadi kufikia Asilimia 5.2 licha ya athari ya mlipuko wa UVIKO 19 Duniani pamoja na vita kali ya urusi na ukraine Msemaji mkuu wa serikali mobhare Matinyi ameyasema hayo Leo Machi 24,2024 Jijini Dar es salaam wakati akizungumza na wahariri na waandishi wa habari Kuhusu […]
Na Mwandishi Wetu DAR ES SALAAM MKURUGENZI wa shirika la Reli nchini (TRC) Masanja Kadogosa amesema Ujenzi wa Miundo mbinu ya Reli unatarajia kufikia takribani trion 23.3 ambapo tayari shilingi trioni 10 zimeshalipwa kutekeleza Mradi huo wa kimkakati. Akizungumza Katika Mkutano wa waandishi wa Habari na wahariri wa vyombo vya habari nchini jijini Dar es […]
Na mwandishi wetu Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema kuwa katika mwaka wa fedha 2024/25 Wizara kupitia Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) itajikita katika kufanya matengenezo makubwa katika maeneo korofi yaliyoathiriwa na mvua pamoja na kuendelea kukamilisha utekelezaji wa miradi ya barabara na madaraja hususan ya kimkakati na ile ya kupunguza msongamano katika miji ya […]
DAR ES SALAAM: BAADHI ya wachezaji wa Yanga waliokuwa kwenye kambi ya timu ya taifa ‘Taifa Stars’ wamerejea nchini kujiandaa na mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Taarifa iliyotolewa leo na ofisa habari wa klabu hiyo, Ali Kamwe amewataja wachezaji hao kuwa ni Clement Mzize, Mudathir Yahya na Ibrahim Bacca. “TFF wameruhusu baadhi ya wachezaji […]
Na mwandishi wetu DAR ES SALAAM: MKURUGENZI wa Idara ya Habari (Maelezo) na Msemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi amesema thamani ya uwekezaji katika taasisi zinazosimamiwa na Ofisi ya Msajili wa Hazina imeongezeka kutoka Sh trilioni 70 mwaka 2021 hadi kufikia Sh trilioni 76 mwaka 2023 ambayo ni sawa na ongezeko la asilimia 8.6. Akiwa […]
Na mwandishi wetu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila ametoa taarifa kwa umma, leo Machi 25, 2024 kupitia vyombo vya habari Ofisini kwake Ilala Boma Jijini Dar es Salaam. RC Chalamila amesema ndege mpya ya abiria aina ya Boieng B737-9 Max ya shirika la Ndege ATCL inatarajiwa kuwasili nchini ambapo ndege […]
Na mwandishi wetu Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amewahimiza Waumini wa Dini ya kiislamu kuendelea kuhifadhi Quran Tukufu na kufundisha watoto wao kuisoma na pia wazidishe kutoa sadaka kwa watu wenye mahitaji hususani katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani. Rais Dk.Mwinyi amesema hayo katika fainali za 24 za […]
Na mwandishi wetu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi amesema uamuzi wa kuwepo kwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Zanzibar ulizingatia kutanguliza mbele usalama wa maisha ya watu, maslahi, utulivu na mstakabali mwema wa Zanzibar, Wazanzibar na Watanzania wote kwa ujumla, kuliko vyama vya siasa. Balozi Dk. Nchimbi […]