Na Mwandishi Wetu Lindi DIWANI wa Kata ya Songo Songo, Mkoani Lindi, Hassan Swalehe Yusuph ameipongeza Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) kwa usimamizi bora wa Miradi ya Uwajibikaji kwa Jamii (CSR) iliyofanywa na kampuni zinazozalisha gesi asilia katika kisiwa cha Songo Songo. Yusuph ametoa pongezi hizo hivi karibuni wakati akizungumza na […]
Menejimentiย ETDCO nayo isukwe upya* Ni kufuatia Wizi, Utendaji mbovu na kusuasua kwa miradi* Awataja baadhi ya Watumishi wanaohusika na vitendo hivyo* Waliobainika kufanya wizi hatua za kisheria zachukuliwa dhidi yao* Atoa onyo kwa wanaotumia vifaa vya TANESCO kufanya biashara ya vyuma chakavu* Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ameagiza […]
Menejimentiย ETDCO nayo isukwe upya* Ni kufuatia Wizi, Utendaji mbovu na kusuasua kwa miradi* Awataja baadhi ya Watumishi wanaohusika na vitendo hivyo* Waliobainika kufanya wizi hatua za kisheria zachukuliwa dhidi yao* Atoa onyo kwa wanaotumia vifaa vya TANESCO kufanya biashara ya vyuma chakavu* Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ameagiza […]
Na mwandishi wetu DAR ES SALAAM Tanzania imesainia Mkataba wa Ushirikiano na Nchi ya Hungary katika sekta ya maji ili kubadilishana uzoefu wa teknolojia katika sekta hiyo. Akizungumza leo Machi 28,2024 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Janury Makamba amesema kwa miaka mingi nchi hiyo inaongoza kwa teknolojia ya juu Duniani […]
๐ข *Yachangia pesa wananchi waunganishiwe umeme* ๐ข *Wananchi wampongeza na kumshukuru Rais Samia* Bodi ya Nishati Vijijini (REB) imefanya ziara wilayani Mkinga, Mkoa wa Tanga, Machi 27, 2024 kukagua maendeleo ya utekelezaji wa miradi ya umeme vijijini. Akizungumza baada ya kukagua miundombinu ya umeme katika Zahanati ya Magodi, Mwenyekiti wa Bodi, Balozi Meja Jenerali Mstaafu […]
Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM Kamati ya Bunge ya uwekezaji na mitaji ya umma imefanya Ziara ya kukagua mradi wa SGR na pia kuangalia majaribio ya TRC yanayofanywa Kwa maandarizi ya kuanza safari zao rasmi. Mwenyekiti ya kamati ya Bunge Amesema kuwa kazi kubwa imefanyika Kwa kutoka Dar mpaka morogoro wameshuhudia kuwa serikali imefanya […]
DAR ES SALAAM: WAZIRI wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema utulivu uliopo kwenye sekta ya habari nchini umechangiwa na maono ya Rais Samia Suluhu Hassan. Akizungumza jijini Dar es Salaam, kusherehekea kilele cha programu maalum ya Kurasa 365 za Mama, iliyojikita kuangazia mafanikio ya miaka mitatu ya Rais Samia Suluhu Hassan, […]
DAR ES SALAAM: Waziri Mkuu , Kassim Majaliwa amesema mradi wa Ujenzi wa Reli ya kati mpaka sasa umeshafika maeneo yote yanayopaswa kufikiwa. Majaliwa amesema hayo leo Machi 27, 2024 akihitimisha kampeni ya Kurasa 365 za mama katika ukumbi wa Mlimani City Dar es salaam. Amesema, โtuna mradi mkubwa wa ujenzi wa reli ya kati […]