Home > Articles posted by MACHINGA TV (Page 126)
FEATURE
on Mar 29, 2024
223 views 4 mins

Na Mwandishi Wetu Lindi DIWANI wa Kata ya Songo Songo, Mkoani Lindi, Hassan Swalehe Yusuph ameipongeza Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) kwa usimamizi bora wa Miradi ya Uwajibikaji kwa Jamii (CSR) iliyofanywa na kampuni zinazozalisha gesi asilia katika kisiwa cha Songo Songo. Yusuph ametoa pongezi hizo hivi karibuni wakati akizungumza na […]

FEATURE
on Mar 28, 2024
263 views 5 mins

Menejimentiย  ETDCO nayo isukwe upya* Ni kufuatia Wizi, Utendaji mbovu na kusuasua kwa miradi* Awataja baadhi ya Watumishi wanaohusika na vitendo hivyo* Waliobainika kufanya wizi hatua za kisheria zachukuliwa dhidi yao* Atoa onyo kwa wanaotumia vifaa vya TANESCO kufanya biashara ya vyuma chakavu* Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ameagiza […]

FEATURE
on Mar 28, 2024
341 views 5 mins

Menejimentiย  ETDCO nayo isukwe upya* Ni kufuatia Wizi, Utendaji mbovu na kusuasua kwa miradi* Awataja baadhi ya Watumishi wanaohusika na vitendo hivyo* Waliobainika kufanya wizi hatua za kisheria zachukuliwa dhidi yao* Atoa onyo kwa wanaotumia vifaa vya TANESCO kufanya biashara ya vyuma chakavu* Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ameagiza […]

FEATURE
on Mar 28, 2024
344 views 2 mins

Na mwandishi wetu DAR ES SALAAM Tanzania imesainia Mkataba wa Ushirikiano na Nchi ya Hungary katika sekta ya maji ili kubadilishana uzoefu wa teknolojia katika sekta hiyo. Akizungumza leo Machi 28,2024 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Janury Makamba amesema kwa miaka mingi nchi hiyo inaongoza kwa teknolojia ya juu Duniani […]

FEATURE
on Mar 28, 2024
404 views 2 mins

๐ŸŸข *Yachangia pesa wananchi waunganishiwe umeme* ๐ŸŸข *Wananchi wampongeza na kumshukuru Rais Samia* Bodi ya Nishati Vijijini (REB) imefanya ziara wilayani Mkinga, Mkoa wa Tanga, Machi 27, 2024  kukagua maendeleo ya utekelezaji wa miradi ya umeme vijijini. Akizungumza baada ya kukagua miundombinu ya umeme katika Zahanati ya Magodi, Mwenyekiti wa Bodi, Balozi Meja Jenerali Mstaafu […]

FEATURE
on Mar 28, 2024
764 views 2 mins

Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameeleza kuwa tayari Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameridhia kuongeza kiasi cha Shilingi Bilioni 4 kukamilisha upanuzi wa barabara ya njia nne Bukoba Mjini (Rwamishenye Round about – Stendi ya Bukoba Mjini) yenye urefu kilometa 1.6. Bashungwa amesema hayo leo tarehe 28 Machi 2024 wakati alipowasili katika Ofisi za […]

FEATURE
on Mar 27, 2024
441 views 2 mins

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM Kamati ya Bunge ya uwekezaji na mitaji ya umma imefanya Ziara ya kukagua mradi wa SGR na pia kuangalia majaribio ya TRC yanayofanywa Kwa maandarizi ya kuanza safari zao rasmi. Mwenyekiti ya kamati ya Bunge Amesema kuwa kazi kubwa imefanyika Kwa kutoka Dar mpaka morogoro wameshuhudia kuwa serikali imefanya […]

FEATURE
on Mar 27, 2024
238 views 39 secs

DAR ES SALAAM: WAZIRI wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema utulivu uliopo kwenye sekta ya habari nchini umechangiwa na maono ya Rais Samia Suluhu Hassan. Akizungumza jijini Dar es Salaam, kusherehekea kilele cha programu maalum ya Kurasa 365 za Mama, iliyojikita kuangazia mafanikio ya miaka mitatu ya Rais Samia Suluhu Hassan, […]

FEATURE
on Mar 27, 2024
356 views 18 secs

DAR ES SALAAM: WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema mabadiliko katika Sheria ya Huduma za Habari yamekuja kukuza sekta ya habari kwa kiwango kikubwa. Majaliwa ameyasema hayo leo Machi 27, 2024 katika Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam, katika kilele cha Kurasa 365 za Mama, ikiangazia mafanikio ya miaka mitatu ya Rais Samia Suluhu […]

FEATURE
on Mar 27, 2024
300 views 2 mins

DAR ES SALAAM: Waziri Mkuu , Kassim Majaliwa amesema mradi wa Ujenzi wa Reli ya kati mpaka sasa umeshafika maeneo yote yanayopaswa kufikiwa. Majaliwa amesema hayo leo Machi 27, 2024 akihitimisha kampeni ya Kurasa 365 za mama katika ukumbi wa Mlimani City Dar es salaam. Amesema, โ€˜tuna mradi mkubwa wa ujenzi wa reli ya kati […]