Home > Articles posted by MACHINGA TV (Page 123)
FEATURE
on Dec 27, 2023
341 views 17 secs

Israel imetoa tahadhari kwa raia wake nchini India baada ya mlipuko karibu na ubalozi wa nchi hiyo huko Delhi. Mlipuko huo ulifanyika Jumanne jioni katika eneo la kidiplomasia la mji mkuu wa Chanakyapuri. Hakuna mtu aliyejeruhiwa, lakini polisi walisema walipata vipande kutoka mahali hapo. Uchunguzi unaendelea. Israel imewataka raia wake kuepuka maeneo yenye watu wengi […]

FEATURE
on Dec 27, 2023
392 views 31 secs

Ndugu wawili wamekamatwa baada ya dada yao kupigwa risasi na kuuawa wakati wa mabishano kuhusu zawadi za Krismasi. Msichana huyo mwenye umri wa miaka 23 alipigwa risasi kifuani na kakake huku akiwa na mtoto wake wa kiume wa miezi 10 kwenye gari la kubebea mizigo, polisi mjini Florida ilisema. Mvulana huyo baadaye alipigwa risasi na […]

FEATURE
on Dec 26, 2023
241 views 2 mins

Jeshi la Marekani limeshambulia makundi vya wanamgambo yanaoungwa mkono na Iran nchini Iraq, saa chache baada ya wafanyakazi wa Marekani kujeruhiwa katika shambulio la ndege zisizo na rubani dhidi ya kambi ya anga ya Marekan. Mkuu huyo wa ulinzi wa Marekani alisema maeneo matatu yanayotumiwa na Kataib Hezbollah na makundi mengine yalishambuliwa kujibu mashambulizi dhidi […]

FEATURE
on Dec 26, 2023
483 views 35 secs

Kampuni kubwa ya meli ya Denmark ya Maersk imesema inajiandaa kurejesha shughuli za meli kupitia Bahari Nyekundu na Ghuba ya Aden. Hatua hiyo inafuatia kuanzishwa kwa operesheni ya kijeshi ya kimataifa kuzuia mashambulizi dhidi ya meli za kibiashara na waasi wa Houthi wa Yemen. Makampuni kadhaa yamesitisha usafirishaji bidhaa kupitia Bahari Nyekundu kufuatia mashambulio hayo. […]

FEATURE
on Dec 26, 2023
316 views 56 secs

Arsenal wanang’ara kileleni mwa Ligi Kuu ya Uingereza, lakini hilo linaweza kubadilika leo kwani Liverpool na Aston Villa – wako nyuma kwa pointi moja – wanaweza kuchukua nafasi zao. Liverpool watasafiri kwenda Burnley na Aston Villa wako Old Trafford kumenyana na Manchester United, lakini The Gunners hawatacheza tena hadi Alhamisi. Arsenal wanashauriwa kuwa makini. Kuongoza […]

FEATURE
on Dec 25, 2023
281 views 2 mins

Na Allan Kitwe, Tabora KANISA la Tanzania Assemblies of God-Kitete Christian Centre (KCC) la mjini Tabora limempongeza Rais wa awamu ya 6 Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kudumisha amani, utulivu na mshikamano wa Watanzania wote. Akitoa salamu za krismas katika ibada iliyofanyika leo kanisani hapo Askofu Mstaafu wa Kanisa la TAG Jimbo la Tabora […]

FEATURE
on Dec 25, 2023
301 views 27 secs

Heri ya sikukuu ya christimas msomaji wa wa wamachinga gazeti karibu kupitia vichwa vya habari katika magazeti ya leo ya Tanzania yalio andikwa mbele na nyuma Pia usisahau kuangalia vipindi bomba Katika YouTube yetu ya machinga Tv na Instagram yetu ya machinga habari kemkem tutakuletea kipindi hiki Cha msimu wa sikukuu na mwaka mpya

FEATURE
on Dec 24, 2023
360 views 4 mins

Na Mwandishi wetu, Hanang Waathirka wa maafa yaliyotokea wilayani Hanang mkoa wa Manyara, Desemba 3, mwaka huu, wameendelea kunuifaika na misaada mbalimbali ya kibinadamu iliyotolewa na wadau pamoja na serikali, baada ya serikali kuongeza kiwango cha ugawaji wa misaada kwa kaya kutokana na ongezeko la misaada inayoendelea kupokelewa kutoka kwa wadau. Awali, serikali ilikuwa ikiwagawia […]

FEATURE
on Dec 24, 2023
260 views 7 secs

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Abdulrahman Kinana, amezihimiza taasisi za kijamii kuweka mkazo katika elimu ya ufundi na ujasiriamali, ili kupata mwarobaini wa tatizo la ajira na kuzalisha wataalamu wengi zaidi wa fani mbalimbali. Kinana ameyasema hayo leo, Desemba 24, 2023, jijini Arusha, alipokuwa mgeni rasmi katika Mkutano Mkuu wa 10 […]

FEATURE
on Dec 24, 2023
359 views 2 mins

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Ndugu Paul Christian Makonda ameendelea kutoa wito kwa Viongozi wa Dini mbalimbali nchini, kuendelea na moyo wa imani wa kuiweka katika maombi nchi yetu, pamoja na Kiongozi Mkuu wake, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika […]