Home > Articles posted by MACHINGA TV (Page 122)
FEATURE
on Apr 19, 2024
384 views 2 mins

-Asema Sijaridhishwa na kasi ya Mkandarasi ujenzi wa barabara hiyo amtaka kufanya kazi usiku na mchana -Asistiza usafi wa mazingira pamoja kupanda miti na bustani ili kupendezesha jiji. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo April 18,2024 amefanya ziara ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa BRT awamu ya tatu kutoka katikati […]

FEATURE
on Apr 19, 2024
363 views 2 mins

-Akerwa na mazingira ya uchafu Coco beach -Asema Coco beach ni ya wanyonge akemea uendelezaji usio na tija katika fukwe hiyo ya Coco beach Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila katika muendelezo wa ziara yake leo April 18,2024 amatembelea fukwe ya Coco beach Wilaya ya Kinondoni Jijini humo. Akiwa katika eneo […]

FEATURE
on Apr 19, 2024
287 views 3 mins

Katika kuhakikisha usalama wa maisha ya watu  wilayani Rufiji, Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania – TAWA imefanya msako wa mamba  wanaotajwa kutishia maisha ya watu kutokana na kusogea karibu na makazi ya watu kufuatia kusafirishwa na mikondo ya maji yaliyosababishwa na mafuriko. Afisa habari wa TAWA Beatus Maganja akizungumza na waandishi wa habari katika […]

FEATURE
on Apr 18, 2024
347 views 28 secs

Benki ya Akiba (ACB) imezindua rasmi huduma ya kadi za VISA ambazo ni mahususi kwa kufanya huduma za miala ya kifedha  ambapo inauwezo wa kutumika sehemu yoyote Duniani. Akizungumza wakati wa uzinduzi huo wa ACB VISA, Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo ,Silvest Arumasi amesema kwamba Benki ya ACB inafanya maboresho makubwa ya huduma za kifedha […]

FEATURE
on Apr 18, 2024
261 views 4 mins

Na Mwandishi Wetu Asema limepunguza athari za mafuriko Atoa pole kwa waathirika wa mafuriko Rufiji Aeleza jitihada za Serikali kwa waathirika Azungumzia umuhimu wa Nishati Safi ya Kupikia, Bei ya Gesi Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa licha ya mvua zinazoendelea kunyesha nchini, Bwala la Umeme la Julius […]

FEATURE
on Apr 18, 2024
467 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu DODOMA Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jonsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima ameiasa jamii kuona umuhimu wa malezi bora kwa watoto ndani ya familia kama chanzo cha jamii. Ametoa wosia huo Aprili 18, 2024 jijini Dodoma wakati akizungumza na waandishi wa Habari ikiwa ni kuelekea maadhimisho ya Siku ya […]

FEATURE
on Apr 18, 2024
353 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Dar es Salaam Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kwa kushirikiana na Wilaya ya Kinondoni wamekutana na kupanga mkakati wa kutunza  mitaro inayojengwa katika barabara Wilayani humo. Hayo yamebainishwa katika kikao cha pamoja kati ya ofisi ya Mkuu wa Wilaya, Meneja wa TARURA Mkoa wa wa Dar es Salaam […]

FEATURE
on Apr 18, 2024
266 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu TANGA Unamilikiwa na Watanzania kwa asilimia 100 Utafiti umebaini uwepo wa mashapo ya dhahabu kiasi cha tani 21.7 Kampuni ya PMM Tanzania Limited inayomiliki mgodi wa Magambazi imeanza shughuli za uzalishaji madini ya dhahabu ambapo kuanzia Agosti 2024 mgodi huo unatarajiwa kuzalisha kilo 25 za dhahabu kwa mwezi. Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi […]

FEATURE
on Apr 17, 2024
402 views 21 secs

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM Mwenyekiti wa jukwaa la wanahabari wa mitandao ya kijamii Tanzania JUMIKITA Shabani Matwebe Amesema Nawashukuru watanzania kwasababu badala ya kutoa taarifa ya kuonyesha sasa tunatakiwa tuonyeshe tunachukia, tunakataa na kukemea matusi mitandaoni mapokeo yamekua ni mazuri Hayo ameyasema Leo Tarehe 17 April 2024 Mwenyekiti wa jukwaa la wanahabari wa […]

FEATURE
on Apr 17, 2024
297 views 3 mins

Na. Catherine Sungura-Dodoma Katika mwaka 2024/25, Ofisi ya Rais – TAMISEMI imepanga kutumia shilingi bilioni 841.19 kwa ajili ya ujenzi, matengenezo na ukarabati wa miundombinu ya barabara za wilaya. Kati ya fedha hizo shilingi bilioni 257.03 ni za Mfuko wa Barabara, shilingi bilioni 127.50 Mfuko Mkuu wa Serikali, shilingi bilioni 325.77 ni za tozo ya […]