Ashiriki misa Takatifu Parokia ya Bikira Maria Msaada wa Daima- Ushirombo* Awataka waumini kuweka alama wawapo duniani* Atoa wito kumuombea Rais na Serikali kuleta Maendeleo* Atoa salamu za Mwaka Mpya, na kuwataka Watanzania kudumisha Amani na Upendo* Bukombe – Geita Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko, amewataka wazazi nchini kuwajibika […]
Na Madina Mohammed Inawezekana ukafikiria kuwa ni jambo la ajabu kunywa mkojo wako kama”vipimo vya kuishi”Katika dharura kama hiyo lakini watu wengi Katika maeneo mbalimbali duniani wanaamini kwamba kunywa mkojo wako Kuna manufaa Kwa maisha ‘ya kiafya’ Lakini je,kuamka asubuhi na mapema na kunywa mkojo wako mwenyewe kunatibu magonjwa?je,kupaka mkojo kwenye mwili na uso huifanya […]
DODOMA:Na Madina Mohammed Jeshi la polisi limemkamata mtuhumiwa Lucas Paul Talimo Aliemshambulia mke wake Kwa kumchoma visu 25 sehemu mbalimbali za mwili wake Tarimo amekamatwa Leo 31,2023 Alfajili na jeshi la polisi akiwa amejificha Katika Kijiji Cha jema kata ya Oldonyo sambu wilaya ya ngorongoro mkoani Arusha akiwa anajiandaa kukimbia na kukimbilia nchi jirani Hayo […]
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) Mej. Jen. (Mstaafu) Hamis Semfuko, ameungana na wasanii wa filamu zaidi ya 50 wa mkoa wa Dar Es Salaam katika Pori la Akiba Pande ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuendelea kutangaza vivutio mbalimbali vya utalii. Katika ziara yake aliongozana na Kamanda […]
M/kiti wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Dsm Ndg. Abas Zuberi Mtemvu Akiongozana na Mnec wa Ccm Mkoa Ndg. Juma Simba Gadafi Pamoja na M/kiti wa Ccm Wilaya ya Kinondoni Ndg. Shaweji Mkumbura, Wamehudhuria Katika Ibada ya Kanisa la Adentista wa Sabato Yombo Dovya Wilaya ya Temeke, Ambapo M/kiti wa Ccm Mkoa Ndg. Abas Zuberi […]
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt Damas Ndumbaro ametoa rai kwa wadau wa Soka nchini kujitokeza kwa wingi katika kuiunga mkono timu ya Taifa ya mpira wa miguu Taifa stars inayojiandaa na Mashindano ya Afcon yatakayofanyika mapema mwezi Januari 2024 Nchini Ivory Coast. Mhe. Ndumbaro amesema hayo leo desemba 30, 2023 Jijini Dar Es […]
Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM Shirika la Reli Tanzania TRC Leo limepokea vichwa vipya vitatu vya treni za umeme ambavyo vilivyoundwa na kampuni ya Hyundai Rotem na mabehewa mapya 27 ya abiria yaliyoundwa na kampuni ya sung shin rolling stock Technology (SSRST) kutoka Nchini Korea kusini. Aidha serikali Kupitia shirika la reli ilifanya manunuzi […]
Awataka wanachi kutumia fursa za uwepo wa Zahanati hiyo kupata huduma* Akemea viongozi wanaojificha Kwenye kivuli cha taratibu kuchelewesha maendeleo* Ujenzi wagharimu Shilingi Milioni 351* Kuhudumia Wananchi wa Kata nne, wapatao Elfu 12* Dar es Salaam. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko leo tarehe 29 Disemba, 2023 amezindua Zahanati ya […]