Home > Articles posted by MACHINGA TV (Page 12)
FEATURE
on Dec 19, 2024
66 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA I Ashiriki Kongamano la Wafanyabiashara na Wawekezaji nchini humo Zaidi ya Wafanyabiasha na Wawekezaji 250 wakutana JNHPP yatajwa kuongeza uhakika wa uwepo wa umeme 📍Saudi Arabia Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga amesema Kongamano la Wafanyabiashara na  Wawekezaji nchini Saudi Arabia litaongeza uwekezaji kwenye Sekta ya Nishati kutokana na Tanzania […]

FEATURE
on Dec 19, 2024
75 views 4 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Kuimarisha ulinzi, doria na ukaguzi vyombo vya moto usiku na mchana. Kuondoa vizuizi na vituo vya ukaguzi maeneo hatarishi barabarani. Kufanya Operesheni maalum nchi nzima kupambana na wahujumu miundombinu ya Serikali Awahakikishia Watanzania nchi ipo salama. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa  amemuagiza Mkuu wa Jeshi la Polisi […]

FEATURE
on Dec 19, 2024
88 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya leo imeteketeza kilogramu 614.12 za dawa za kulevya  katika kiwanda cha saruji cha Twiga, kilichopo Wazo, Dar es Salaam. Akizungumza na waandishi wa habari katika tukio hilo, Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya, Aretas Lyimo alisema […]

FEATURE
on Dec 17, 2024
73 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Atahadharisha vitendo vya rushwa kwenye Manunuzi* Dkt. Biteko afungua Kongamano la 15 la Wataalam wa Ununuzi na Ugavi* Ataka wasikilize sauti za watu, kutathimini utendaji kitaaluma* Naibu Waziri Mkuu na  Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka wataalam wa ununuzi na ugavi nchini kizingatia misingi ya maadili ya taaluma yao […]

FEATURE
on Dec 17, 2024
68 views 4 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA SERIKALI imeipongeza Kampuni ya ukandarasi kutoka nchini China ya CRJE (East Africa) Ltd kwa ufanyaji kazi uliotukuka huku ikiahidi kuendelea kukuza mahusiano yaliyodumu kwa muda mrefu kati ya Tanzania na China Hayo yalisemwa jana jijini Dar es Salaam na Waziri wa Katiba na Sheria Dk Damas Ndumbaro wakati wa uzinduzi wa […]

FEATURE
on Dec 16, 2024
84 views 2 mins

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Albert Chalamila amemwakilisha Waziri wa TAMISEMI  kuzindua mafunzo kwa wenyeviti wa Serikali za Mitaa waliochaguliwa Novemba 27 mwaka huu na kuwataka kufanya kazi yao kwa uadilifu ili kuhakikisha wanakuwa  kiungo bora kati ya Serikali na wananchi kwa kuwatumikia ipasavyo wananchi na kukomesha migogoro ya ardhi katika maeneo […]

FEATURE
on Dec 16, 2024
67 views 54 secs

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesaini makubaliano na Serikali ya Jamhuri ya Korea kusini kwa ajili ya ujenzi wa mradi mfumo wa uchakataji maji taka Mko wa Dar es salaam mradi utakaotumia zaidi ya dola za marekani milioni 90 Akizungumza leo Disemba 16, 2024 jijini Dar es salaam mara baada ya kushuhudia utiaji […]

FEATURE
on Dec 16, 2024
60 views 2 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA

FEATURE
on Dec 16, 2024
77 views 2 mins

Na. Lusungu Helela – Arusha. Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe.Deus Sangu amesema  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Mhe. Dkt.  Samia Suluhu Hassan ni kiongozi aliyejipambanua kwa vitendo  kwa kuichukia rushwa ambapo katika Uongozi wake  ameiwezesha Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa  ( TAKUKURU) […]

FEATURE
on Dec 16, 2024
119 views 5 mins

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Zoezi la Uchaguzi wa Wanafunzi wa Kujiunga na Kidato cha Kwanza mwaka, 2025 kwa kuzingatia miongozo iliyotolewa na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknoloji limekamilika na wanafunzi wote wenye sifa ya kujiunga Kidato cha Kwanza wamepata nafasi ya kujiunga na Kidato cha Kwanza bila ya kuwepo kwa chaguo […]