Home > Articles posted by MACHINGA TV (Page 119)
FEATURE
on Jan 9, 2024
261 views 2 mins

*TARURA YAIFUNGUA MSOMERA Handeni Jumla ya Km.186 za barabara zimekamilika kuchongwa na kilometa 24 zimewekewa changarawe kati ya Km. 986 za mtandao wa barabara katika Kijiji cha Msomera, wilayani Handeni. Hayo yameelezwa na Meneja wa Wilaya ya Handeni Mhandisi Judica Makyao wakati ya ziara ya Mtendaji Mkuu wa TARURA Mhandisi Victor Seff katika kijiji cha […]

FEATURE
on Jan 9, 2024
307 views 2 mins

Shirika la Reli Tanzania limeendelea na zoezi la ulipaji fidia kwa wananchi ambao ardhi zao zimetwaliwa kupisha ujenzi wa miundombinu ya Reli ya Kimataifa ya SGR katika kipande cha tatu Makutupora -Tabora hivi karibuni ,Januari, 2024. Katika zoezi hilo la ulipaji fidia takribani wananchi 70 kutoka katika vijiji vya Azimio, Nyahua, Kimungi, Kazaroho, Genge 8 […]

FEATURE
on Jan 8, 2024
299 views 4 mins

*๐Ÿ“ŒAwapongeza Rais Dkt. Samia na Dkt. Mwinyi kwa maono na miongozo yao kutekeleza Miradi ya kimkakati* *๐Ÿ“ŒAipongeza Wizara ya Maji, Nishati na Madini kupitia ZAWA kwa kukamilisha Jengo lenye ubora na hadhi ya juu* *๐Ÿ“ŒAtaka ZAWA kutoa huduma bora* Zanzibar Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko, amefungua Jengo la Afisi […]

FEATURE
on Jan 7, 2024
247 views 4 mins

*๐Ÿ“ŒAkabidhi Pikipiki na kofia ngumu Jumuiya ya Wazazi (CCM) Zanzibar* *๐Ÿ“ŒAwataka kutumia pikipiki hizo kuieneza CCM* *๐Ÿ“ŒAzuru Kaburi la Hayati Abeid Amani Karume* Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ameitaka Jumuiya ya Wazazi ya CCM kutumia rasilimali walizonazo katika kukijenga na kukieneza Chama cha Mapinduzi (CCM) katika maeneo mbalimbali ya […]

FEATURE
on Jan 6, 2024
211 views 4 mins

*Mwanza* Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde amewataka Maafisa Madini Wakazi wa Mikoa kuongeza kasi ya ukusanyaji wa maduhuli ili kufikia lengo lililowekwa na Serikali la kukusanya shilingi bilioni 882 katika Mwaka wa Fedha 2023/2024 Waziri Mavunde amesema hayo leo Januari 06, 2024 jijini Mwanza kwenye kikao chake na Menejimenti ya Tume ya Madini iliyohusisha […]

FEATURE
on Jan 6, 2024
233 views 46 secs

Mwanga Ushirikishwaji vikundi vya kijamii kwenye matengenezo ya barabara ya Kisangara kwenda Shighatini wilayani Mwanga umemfurahisha Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Mhandisi Victor Seff. Mhandisi Seff amefanya ziara ya kikazi katika Wilaya hiyo kukagua mradi wa matengenezo katika barabara hiyo yenye urefu wa Km. 25, unaofanywa na kikundi maalum […]

FEATURE
on Jan 6, 2024
321 views 6 mins

*๐Ÿ“ŒAweka Jiwe la Msingi Afisi ya Uhamiaji na Makaazi ya Askari Wilaya ya Mkoani- Kusini Pemba* *๐Ÿ“ŒUfunguzi wa Afisi hiyo ni sehemu ya maadhimisho ya Miaka ya 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar* *๐Ÿ“ŒAsema Serikali itaendelea kupeleka huduma bora kwa wananchi* Pemba – Zanzibar Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ametoa […]

FEATURE
on Jan 6, 2024
313 views 4 mins

Na Madina Mohammed *Serikali inajipa umuhimu wa juu sana kwenye swala hili la mafanikio ya hii kongani ya viwanda -*Mkoa wa pwani ni mkoa wa uwekezaji,Tunaviwanda 1525,120 ni viwanda vikubwa na vengine ni viwanda vya kati na vengine viwanda vidogo sana -*Serikali ya awamu ya sita ya Mhe rais Samia suluhu Hassan tokea imeingia madarakani […]