Wizara ya Kilimo kupitia Bajeti yake ya mwaka 2023/2024 imenunua Vishkwambi 4446, kati ya hivyo vishkwambi 946 vimesambazwa na usambazaji unaendelea kwa ajili ya usajili wa wakulima, kukusanya taarifa, kuchukua alama ya nukta katika mashamba ya wakulima na utoaji huduma za ugani kwa njia ya kidijiti na kuwawezesha maafisa ugani katika ngazi ya kata kukusanya […]
Na Mwandishi Wetu DODOMA 95.28% kuelekezwa kwenye maendeleo* Serikali kuja na Kanuni ya Uwajibikaji kwa wananchi Miradi ya Mafuta na Gesi Asilia* Dkt. Biteko aagiza Halmashauri kupeleka fedha za Ushuru wa Huduma vijijini* Masharti ufunguzi wa vituo vya CNG yarekebishwa kuvutia uwekezaji* Kapinga atilia mkazo utekelezaji Nishati Safi ya Kupikia na CNG* Bunge la Jamhuri […]
MAAFISA UGKupitia Bajeti ya kilimo kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024, Wizara ya Kilimo imefanikisha ununuzi na usambazaji wa visanduku vya ugani 1000 kwa maafisa ugani Kilimo 1000 katika mikoa ya Mbeya, Songwe, Njombe, Iringa, Ruvuma, Rukwa na Katavi, sawa na asilimia 25 ya lengo. Kwa upande mwingine, tayari magari 46 na Pikipiki 550 kwaajili ya […]
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA DAR ES SALAAM -Tamasha kubwa kufanyika April, 25, 2024 katika viwanja vya Tanganyika Peckers Kinondoni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo April, 24, 2024 akizungumza na vyombo vya habari Ofisini kwake amesema Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inafikisha miaka 60 ifikapo ijumaa April 26 mwaka huu, […]
-Akuta Madaktari waliopo kwenye mafunzo (internship doctors) katika maeneo mengi aliyotembelea -Ajionea Daftari la msamaha (exemption) lililopo Mwananyamala kuwa na mapungufu -Aahidi kufanya ziara Kama hizo Mara kwa Mara katika Hospitali hizo -Asisitiza Kuwachukulia hatua wazembe wote -Wagonjwa waelezea kuridhishwa na huduma -Kwa upande wake Mganga Mkuu wa Mkoa akiri kupokea maelekezo na kuahidi kuyafanyia […]
Na Beatus Maganja Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania – TAWA leo Aprili 24, 2024 imepokea meli ya watalii wapatao 230 kutoka Mataifa mbalimbali Duniani waliofika katika Hifadhi ya Urithi wa utamaduni wa Dunia ya Magofu ya Kilwa kisiwani na Songo Mnara kwa ajili ya shughuli za utalii. Meli ijulikanayo kwa jina la “Silver Clouds” […]
Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Jiolojia ya Utafiti wa Madini Tanzania (GST) Prof. Justinian Ikingura amekiongoza Kikao cha kawaida cha 18 cha Bodi hiyo kwa ajili ya kupitia taarifa ya utekelezaji wa Taasisi hiyo kwa kipindi cha Robo ya Tatu ya Mwaka wa Fedha 2023/24. Bodi hiyo imefanya Kikao hicho leo Aprili 24, 2024 […]
GST kujenga Maabara ya Kisasa jijini Dodoma* GST ni Moyo wa Sekta ya Madini Kufanya Utafiti wa kina kufikia asilimia 50 Na Madina Mohammed DODOMA WAMACHINGA Waziri wa Madini Mhe.Anthony Mavunde amewataka Watumishi wa Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) kuchapa kazi kwa bidii ili kutimiza Vision 2030 ambayo ndana yake kubwa […]
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA PWANI Watuhumiwa watatu wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kibaha Mkoani Pwani jana tarehe 22 Aprili, 2024 wakikabiliwa na mashtaka ya kusafirisha dawa za kulevya aina ya Methemphetamine Kilogramu 424.84 pamoja na Heroin Hydrochloride gramu 158.24 kinyume cha kifungu cha 15 (1) (a) na cha (3) (i) cha Sheria ya Kudhibiti na […]
📌 Majiko banifu kusambazwa Kaya za Vijiji na Vijiji-Miji 📌 Wazalishaji wa mkaa mbadala kupewa ruzuku Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa katika mwaka 2024/25 Serikali itaendelea kutekeleza hatua madhubuti za kuimarisha matumizi ya Nishati Safi ya kupikia nchini. Amesema hayo leo Aprili 24, 2024 bungeni jijini Dodoma […]