Home > Articles posted by MACHINGA TV (Page 118)
FEATURE
on Apr 27, 2024
186 views 3 secs

Kilimanjaro Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) mkoa wa Kilimanjaro wamenunua na kusambaza  paipu kalavati  kwaajili ya kurudisha mawasiliano kwenye madaraja yaliyokatika  wakati wa mafuriko kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha nchini. Meneja wa TARURA mkoa wa Kilimanjaro Mhandisi Nicholas Francis amesema tayari wamepokea fedha za dharura takriban milioni 477 kwaajili ya kununua vifaa vya […]

FEATURE
on Apr 27, 2024
237 views 3 mins

Azitaka Wizara za Elimu, Fedha, Uwekezaji, Ardhi na TAMISEMI kukutana na Wadau wa Elimu* Shule Binafsi zizingatie maadili ya Mtanzania na Miongozo Iliyowekwa* Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa Serikali itaendelea kushirikiana na sekta binafsi hususan shule binafsi ili kuboresha sekta ya elimu nchini. Akizungumza katika Mkutano Mkuu […]

FEATURE
on Apr 27, 2024
325 views 24 secs

NGARA Upo umuhimu mkubwa kwa wananchi kuzitunza barabara pamoja na alama za barabarani ili kuzifanya barabara kuwa salama kwa watumiaji wakati wote, imeelezwa. Hayo yamebainishwa na Meneja wa  Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Wilayani Ngara Mkoani Kagera Mhandisi Makoro Magori wakati akielezea mafanikio ya miaka mitatu ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan. […]

FEATURE
on Apr 27, 2024
236 views 46 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Msanii mkongwe nchini, Afande Sele, akiwa Kilindi mkoani Tanga kwenye shamba la miche ameipongeza wizara ya kilimo chini ya Mhe. Hussein Bashe kwa maendeleo makubwa kwenye sekta ya kilimo nchini na kwa kujitoa kimasomaso kuwafikia wakulima moja kwa moja Afande Sele amesema kuwa ndani ya miaka mitatu ya Rais Samia, Taifa […]

FEATURE
on Apr 27, 2024
265 views 0 secs

Na Mwandishi Wetu Mkulima Silvester Thomas Kayombo kutoka Mbeya anayejihusisha na Kilimo cha parachichi aishukuru wizara ya Kilimo kwa kulifanya zao la parachichi kuwa zao la kimkakati na kuwapelekea wataalamu (maafisa ugani) wanaowasaidia kupata tunda hilo kwa uhakika. Kayombo ameeleza namna serikali kupitia Wizara ya Kilimo inavyowasaidia kufanya kilimo cha kisasa kwa kuwapelekea wataalamu pamoja […]

FEATURE
on Apr 27, 2024
221 views 47 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA TANGA Msanii mkongwe nchini, Afande Sele akiwa Kilindi mkoani Tanga kwenye shamba la miche ameipongeza wizara ya kilimo chini ya Mhe. Hussein Bashe kwa maendeleo makubwa kwenye sekta ya kilimo nchini na kwa kujitoa kimasomaso kuwafikia wakulima moja kwa moja Afande Sele amesema kuwa ndani ya miaka mitatu ya Rais Samia, […]

FEATURE
on Apr 27, 2024
289 views 49 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA MOROGORO Mkulima mmoja kutoka Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro anayefahamika kwa jina la Raha Aloyce ameipongeza na kuishukuru wizara ya Kilimo kwa jitihada endelevu katika kuhamasisha wakulima kutumia Mbegu na miche bora ili kuweza kunufaika zaidi na shughuli za kilimo wanazofanya Katika maelezo yake, Raha ameeleza kuwa matumizi ya mbegu na […]

FEATURE
on Apr 26, 2024
397 views 46 secs

Zikiwa zimesalia siku 5 kuelekea kusomwa kwa Bajeti ya Wizara ya Kilimo, tumekuletea nukuu 3 za Rais Samia alipozungumza katika majukwaa tofauti juu ya umuhimu wa Tanzania kujitosheleza katika uzalishaji wa Mbegu na Miche bora 1. “Serikali imeviboresha vituo  vya utafiti na mashamba ya uzalishaji mbegu kutokana na kujiingiza kwenye masuala ya uzalishaji mbegu za […]

FEATURE
on Apr 26, 2024
410 views 13 secs

Zikiwa zimebaki siku 5 kuelekea kusomwa kwa Bajeti ya Wizara ya Kilimo Bungeni kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025 inayosubiriwa kwa shauku kubwa na wakulima nchini, tumekuandalia makala fupi uweze kufahamu faida za matumizi ya mbegu na miche bora katika kilimo cha kisasa na chenye tija 1. Matumizi ya Mbegu na Miche bora husaidia mazao kustahimili […]

FEATURE
on Apr 26, 2024
327 views 43 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA DAR ES SALAAM Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyiย  ameipongeza Jumuiyaย  yaย  Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) kwa kazi kubwa waliyoifanya kuwaletea maendeleo wanawake na kukiimarisha Chama Cha Mapinduzi (CCM) pamoja na kuandaa mdahalo wa wanawake na Muungano. Pia, ameupongeza umoja huo kwa […]