Home > Articles posted by MACHINGA TV (Page 115)
FEATURE
on Feb 19, 2024
515 views 56 secs

DAR ES SALAAM Kuelekea mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) kati ya Yanga dhidi ya CR Belouizdad, afisa habari wa Yanga, Ali Kamwe ameitangaza siku hiyo kuwa maalum kwa mchezaji Paccome Zouzoua ‘Paccome Day’. Mchezo huo wa kundi ‘D’  ambao utachezwa Jumamosi Februari 24,2024 utawalazimu mashabiki wa Yanga kupaka ‘Bleach’ kichwani au kwenye ndevu […]

FEATURE
on Feb 19, 2024
184 views 3 mins

MBEYA *Aeleza jitihada za Serikali kupunguza changamoto ya umeme* *Aipongeza Mbeya kwa utekelezaji miradi ya maendeleo* *Asisitiza siasa zisiwagawe  wananchi* Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt.Doto Biteko, leo amewasili mkoani Mbeya kwa  ziara ya kikazi mkoani humo. Ziara hiyo pia itahusisha ukaguzi wa miradi mbalimbali ya umeme mkoani humo. Akiwa katika Uwanja […]

FEATURE
on Feb 19, 2024
267 views 3 mins

DAR ES SALAAM KUELEKEA siku ya wanawake Duniani inayoadhimishwa Machi 2, 2024, Mamlaka za Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) kwa kushirikiana Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia(TAZARA) wanaanda mtoko maalum kwa ajili ya kutembelea Hifadhi ya Taifa ya Nyerere kujionea vivutio vilivyopo. Akizungumza na  waandishi wa habari leo  jijini Dar es Salaam kwa niaba […]

FEATURE
on Feb 19, 2024
385 views 59 secs

DAR ES SALAAM MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amewataka wananchi wa mkoa huo kujiandaa na bei ya juu ya maharage Akizungumzia suala la sukari katika mkutano wa hadhara uliofanyika leo Februari 19, 2024 katika uwanja wa Msufini Chamazi jijini Dar es Salaam, Chalamila amesema kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha bei […]

FEATURE
on Feb 15, 2024
206 views 51 secs

Na. Beatus Maganja Idadi ya watalii wa kigeni kutoka Mataifa mbalimbali Duniani inazidi kuongezeka kwa Kasi katika Hifadhi ya Urithi wa Dunia ya Magofu ya Kilwa kisiwani na Songo Mnara, Hifadhi inayotajwa kuwa na upekee wa utalii wa kihistoria na kiutamaduni. Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania – TAWA ikiwa ndiyo taasisi yenye dhamana ya […]

FEATURE
on Feb 15, 2024
335 views 4 secs

Na mwandishi wetu Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan baada ya kumaliza ziara yake nchi ya VATICAN , sasa atia timu Norway kwa ziara ya Kitaifa katika hatua za kuboresha mahusiano baina ya Tanzania na Norway. Rais Samia amepokelewa na Mfalme Harald V wa Norway akiwa kama muenyeji wake na […]

FEATURE
on Feb 15, 2024
275 views 18 secs

Na mwandishi wetu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu ahudhuria mualiko wa Papa Francis Mjini Vatican,Rais Dkt.Samia katika mualiko amefanya mazungumzo na Papa Francis zaidi ya dakika 25 ikiwa ni katika kuendelea kudumisha demokrasia ya Tanzania Kimataifa. Katika mazungumzo yao ya faragha yaliyodumu kwa takribani dakika ishirini na tano, wameridhika na uhusiano […]

FEATURE
on Feb 15, 2024
273 views 28 secs

Serikali inaendelea kutekeleza miradi ya kuimarisha na kuboresha upatikanaji wa umeme kwenye gridi ya Taifa (Gridi imara) ili kuwezesha wananchi kupata huduma hiyo muhimu ya umeme kila sehemu ya Nchi. Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Dunstan Kitandula aliyejibu swali bungeni kwa niaba ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa […]

FEATURE
on Feb 14, 2024
281 views 48 secs

Ubunifu wa mbinu za kuongeza idadi ya watalii na vyanzo vya mapato nchini kwa kuanzisha mazao mapya ya utalii ni mojawapo ya mikakati inayopigiwa chapuo kwa msisitizo mkubwa na Wizara ya Maliasili na Utalii chini ya Waziri mwenye dhamana ya Maliasili Mhe. Angellah Kairuki (Mb). Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania – TAWA kupitia Hifadhi […]

FEATURE
on Feb 14, 2024
200 views 45 secs

Kwa miongo kadhaa kumekuwa na dhana ya kwamba wageni wengi wa nje hupendelea zaidi utalii wa kuona wanyamapori, lakini hivi karibuni dhana hiyo imeanza kubadilika kwa kasi ambapo Tanzania imeanza kupokea wageni makundi kwa makundi wakitembelea katika maeneo yetu ya Malikale hususan Hifadhi ya Urithi wa Dunia ya Magofu ya Kilwa kisiwani na Songo Mnara. […]