Home > Articles posted by MACHINGA TV (Page 113)
FEATURE
on Feb 26, 2024
266 views 2 mins

Na mwandishi wetu RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan ameipongeza klabu ya Yanga kwa kufuzu Robรณ Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kufuatia ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya CR Belouizdad juzi โ€œNaipongeza Klabu ya Yanga kwa kufanya vyema katika hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa ya Shirikisho la […]

FEATURE
on Feb 26, 2024
219 views 3 mins

Na mwandishi wetu.. WAZIRI MKUU na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Kassim Majaliwa amesema Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ni kinara katika utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi. โ€œNi ukweli usiopingika kuwa Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama chetu […]

FEATURE
on Feb 26, 2024
268 views 6 mins

๐Ÿ“Œ *Uzinduzi rasmi kufanyika mwezi Machi mwaka huu* ๐Ÿ“Œ *Dkt. Biteko asema hakuna kulala; vyanzo vipya kutekelezwa* Na mwandishi wetu… Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa, mradi wa umeme wa Julius Nyerere (JNHPP) wenye uwezo wa megawatiย  2,115ย  umeanza kazi na kuingizaย  megawati 235 katika gridi ya Taifa […]

FEATURE
on Feb 24, 2024
215 views 7 secs

KLABU ya Yanga imefanikiwa kutinga hatua ya robo fainali mara baada ya kufanikiwa kuinyuka CR Belouizdad kwa mabao 4-0 katika mchezo wa hatua ya Makundi Klabu Bingwa Afrika. Yanga Sc ilikuwa inahitaji ushindi wa mabao 4-0 kwenye mchezo huo ili kujihakikishia nafasi ya kutinga hatua ya robo fainali kwani mechi ijayo ambayo Yanga Sc atacheza […]

FEATURE
on Feb 24, 2024
241 views 6 mins

๐Ÿ“Œ *Azindua ugawaji Kadi za Bima ya Afya kwa wananchi 6000 jijini Mbeya* ๐Ÿ“Œ *Mbeya kufaidika na mradi wa umeme wa TAZA* ๐Ÿ“Œ *Vijiji 503 vyasambaziwa umeme* Mbeya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ametoa maelekezo kwa wasimamizi wa vituo vya Afya, Zahanati na Hospitali zote nchini kuhakikisha wanayasimamia madirisha […]

FEATURE
on Feb 24, 2024
147 views 2 mins

Waziri waย  Ujenzi, Innocent Bashungwa ametoa mwezi mmoja kwa Mkandarasi wa Kampuni ya M/s Henan Highway Engineering Group Co. Ltd, inayojenga barabara ya Ifakara-Kihansi (km 124) Sehemu ya kwanza Ifakara-Mbingu (km 62.5) kwa kiwango cha lami kuhakikisha analeta mitambo yote na wataalam eneo la mradi. Waziri Bashungwa ametoa agizo hilo wilayani Mlimba mkoani Morogoro mara […]

FEATURE
on Feb 24, 2024
323 views 5 mins

SERIKALI imeshuhudia utiaji saini mkataba wa kibiashara na kuongeza huduma kwenye mkongo wa Taifa wa Mawasiliano kati ya Shirika la Mawasiliano Tanzania TTCL na Burundi Akishuhudia utiaji saini huo Waziri wa Habari Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Nape Nnauye amesema tukio hili linaashiria hatua muhimu katika kuimarisha uhusiano wa kibiashara na teknolojia kati ya nchi […]

FEATURE
on Feb 23, 2024
311 views 39 secs

Kampuni ya simu ya Halotel leo imezindua kampeni nyingine mpya kwa wateja wake inayokwenda kwa jina la Vuna Point. Vuna point ni kampeni ambayo Halotel inaonyesha kujali na kuthamini wateja wake wajisikie wao ni wathamani hasa katika kupata huduma nzuri za mawasiliano.  Vuna point  ni kampeni ya wateja wanaoonyesha uaminifu wa kutumia mtandao wa Halotel […]

FEATURE
on Feb 23, 2024
316 views 3 mins

Na mwandishi wetu DAR ES SALAAM Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani kimepiga marufuku wamiliki na madereva wote nchini kutoweka Ving’ora, Vimulimuli, Namba bandia na taa za kuongezwa kwenye magari na pikipiki kama kuna ulazima wa kufanya hivyo basi wanatakiwa kuomba ridhaa ya kupata kibali cha kufanya hivyo kwa Waziri wa Mambo ya Ndani. […]