Na mwandishi wetu DAR ES SALAAM Rais Dkt Samia Suluhu Hassan anatarajia kuanza kukutana na wananchi na kusikiliza kero zao lengo likiwa ni kumuenzi kwa vitendo Hayati Rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi ambae alikuwa akifanya hivyo kipindi cha uongozi wake lakini pia kujua utendaji kazi wa watendaji wake katika kuwahudumia wananchi. Hayo ameyasema leo Machi […]
Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM Taasisi ya wahandisi Tanzania Kwa kushirikiana na bodi ya usajili wa wahandisi Tanzania (ERB) na chama Cha wahandisi washauri Tanzania (ACET) wameadhimisha Leo siku ya Uhandisi Duniani Jijini Dar es salaam Mtendaji mkuu wa Tanroads Mhandisi Mohammed Besta Amesema matukio.kama haya hutunza kumbukumbu ya Yale yanayojili na kupelekea chachu […]
TAARIFA KWA UMMA Halmashauri Kuu ya Chama Taifa iliyokutana kwenye Ukumbi wa Hakainde Hichilema uliopo kwenye Jengo la Maalim Seif (Makao Makuu ya Chama cha ACT Wazalendo) leo tarehe 4 Machi 2024 imeridhia uamuzi wa Ndugu Juma Duni Haji kujitoa kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa Chama Taifa wa ACT Wazalendo. Kwenye hotuba yake kwa Halmashauri […]
Wawekezaji wa ndani na nje ya nchi na wenye kampuni za uwakala wa utalii wametakiwa kujitokeza kuwekeza katika sekta ya utalii hasa kanda ya kusini hususani katika Hifadhi ya taifa ya Katavi. Wito huo umetolewa Machi mosi, 2024 na Mhifadhi Mkuu, Utalii na Mipango Kanda ya Kusini, Jonathan Kaihura mbele ya wanahabari waliotembelea hifadhi […]
Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM Mwenyekiti wa Jukwaa la katiba JUKATA Ambaye pia ni mwanaharakati wa maswala ya kijinsia Dkt Ananilea Nkya amekipongeza Chama cha ACT-Wazalendo kwa kulipa uzito swala la kijinsia na kuamua kutengeneza sera ya jinsia ya chama 2024. Sera hiyo inalenga kuimarisha usawa wa kijinsia ndani ya chama na kwenye ngazi […]
MHADHIRI Mstaafu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) na Mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Dkt. Azaveli Lwaitama amesema kazi ya Wazee wa Chama cha ACT Wazalendo ni kuwa washauri wa chama hususan kwa vijana ili kuwa katika njia sahihi ya ujenzi wa umoja kwa maslahi ya Taifa. Dkt. Lwaitama amesema […]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi akiwa Mikocheni nyumbani kwa baba yake akiendelea kupokea mkono wa pole kutoka kwa Rais Mstaafu Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete na viongozi, ndugu, jamaa na marafiki kufuatia kifo cha Rais Mstaafu Mzee Ali Hassan Mwinyi kilichotokea jana […]
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, ameitangaza ratiba ya maziko ya Rais wa mstaafu Ally Hassan Mwinyi itakayoanza leo saa tano na nusu asubuhi kwa mwili kuondoka nyumbani kwake Mikocheni kuelekea Msikiti Mkuu wa BAKWATA Kinondoni ambako Sheikh Dkt. Abubakar Bin Zuber Bin Ali ataongoza swala ya Ijumaa na taratibu zote za kidini. “Saa 8:00 Mchana, mwili […]