Home > Articles posted by MACHINGA TV (Page 109)
FEATURE
on Mar 9, 2024
245 views 2 mins

DAR ES SALAAM Chama cha ACT Wazalendo kimesema kitajiondoa kwenye Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar kutokana na kutotekelezewa kwa makubaliano waliyoyaingia na serikali kabla ya kukubali kushiriki kwenye serikali hiyo. ACT wanadai kuwa hoja zao tatu ikiwemo fidia kwa waliopata madhara katika uchaguzi 2020, kuundwa Tume ya Kijaji kuchunguza uvunjifu wa haki za binadamu […]

FEATURE
on Mar 8, 2024
278 views 2 mins

– Asema mfano mzuri ni kwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila ameyasema hayo leo Machi 08, 2024 wakati akitoa hotuba ya maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani katika Mkoa huo yaliyofanyika katika Uwanja wa Mji Mwema Wilaya ya Kigamboni. RC Chalamila amesema tunapoadhimisha Siku ya […]

FEATURE
on Mar 8, 2024
200 views 25 secs

*Waziri Gwajima atoa wito kwa Wanawake* Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima, ametoa wito kwa Wanawake kufanya kazi kwa bidii na weledi kwa kuwa wanauwezo wa kufanya kazi nyingi  kwa umakini na kwa uaminifu mkubwa. Dkt. Gwajima ameyasema hayo leo Machi 8, 2024 katika Kilele cha Maadhimisho ya […]

FEATURE
on Mar 8, 2024
219 views 18 secs

DODOMA-CHAMWINO Wanawake wa Wizara ya Nishati, wameungana na wanawake wenzao dunia kuadhimisha siku ya wanawake ambayo Mkoani Dodoma imeadhimishwa wilayani Chamwino. Katika madhimisho hayo watumishi wametumia siku hiyo kuelimisha wananchi mbalimbali kuhusu nishati safi ya kupikia. Akitoa elimuย  kwa baadhi ya wananchi Joyce Msangi afisa Misitu, alisema utumiaji wa nishati safi ya kupikia unalinda afya […]

FEATURE
on Mar 8, 2024
386 views 2 mins

LINDI -LIWALE Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameipongeza timu ya Wataalam kutoka Wizara ya Ujenzi na Wakala wa Barabara Nchini (TANROADS), kwa kufanya kazi usiku na mchana kuhakikisha wanarejesha mawasiliano ya barabara ya Liwale – Nangurukuru ambayo imeanza kupitika. Waziri Bashungwa ameeleza hayo leo Machi 08, 2024 mkoani Lindi wakati akikagua urejeshwaji wa miundombinu ya […]

FEATURE
on Mar 7, 2024
313 views 2 mins

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM Katibu mkuu wa  umoja wa wanawake wa chama Cha Mapinduzi UWT jokate mwegelo amewataka wanawake wajitokeze Katika kugombea nafasi mbalimbali za uongozi Ili nchi iweze kuwa  na viongozi wengi wanawake Wanawake hao wametakiwa kushiriki Katika kugombea nafasi hizo kwenye kipindi Cha uchaguzi mdogo na mkubwa unaotarajiwa kufanyika oktoba 25 […]

FEATURE
on Mar 7, 2024
226 views 51 secs

Na mwandishi wetu DAR ES SALAAM Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania wa Chama Cha Mapinduzi (UWT) Ikiongozwa na Mwenyekiti wake Mary Chatanda , kupitia Katibu Mkuu Ndugu. Jokate Mwegelo amezindua kundi la SAMIA QUEENS ambalo ni muunganiko wa Wasanii wote wa Kike wa Sanaa ya Muziki na Uigizaji. Lengo la kundi hilo ni kuwa […]

FEATURE
on Mar 7, 2024
220 views 2 mins

Na mwandishi wetu DAR ES SALAAM Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limetoa vifaa vya kufanyia usafi soko la mabibo Jijini Dar es salaam Kwa lengo likiwa ni kuunga mkono wafanyabiashara wanawake wanaofanya Shughuli zao ndani ya soko hilo. Msaada huo umetolewa na wanawake wa shirika hilo ni sehemu za shamrashamra za maadhimisho ya siku ya […]

FEATURE
on Mar 7, 2024
396 views 8 mins

Na Madina Mohammed WAMACHINGA Agawa mitungi ya Gesi na Majiko Banifu kwa Wajasiriamali Dar es Salaam Ataka Taasisi kuachana matumizi ya kuni na mkaa Ahimiza wadau kuunga mkono juhudiย  za Serikali Baadhi ya Wajasiriamali wafunguka Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa safari ya matumizi ya nishati safi ya […]