DAR ES SALAAM Chama cha ACT Wazalendo kimesema kitajiondoa kwenye Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar kutokana na kutotekelezewa kwa makubaliano waliyoyaingia na serikali kabla ya kukubali kushiriki kwenye serikali hiyo. ACT wanadai kuwa hoja zao tatu ikiwemo fidia kwa waliopata madhara katika uchaguzi 2020, kuundwa Tume ya Kijaji kuchunguza uvunjifu wa haki za binadamu […]
– Asema mfano mzuri ni kwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila ameyasema hayo leo Machi 08, 2024 wakati akitoa hotuba ya maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani katika Mkoa huo yaliyofanyika katika Uwanja wa Mji Mwema Wilaya ya Kigamboni. RC Chalamila amesema tunapoadhimisha Siku ya […]
*Waziri Gwajima atoa wito kwa Wanawake* Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima, ametoa wito kwa Wanawake kufanya kazi kwa bidii na weledi kwa kuwa wanauwezo wa kufanya kazi nyingi kwa umakini na kwa uaminifu mkubwa. Dkt. Gwajima ameyasema hayo leo Machi 8, 2024 katika Kilele cha Maadhimisho ya […]
DODOMA-CHAMWINO Wanawake wa Wizara ya Nishati, wameungana na wanawake wenzao dunia kuadhimisha siku ya wanawake ambayo Mkoani Dodoma imeadhimishwa wilayani Chamwino. Katika madhimisho hayo watumishi wametumia siku hiyo kuelimisha wananchi mbalimbali kuhusu nishati safi ya kupikia. Akitoa elimuย kwa baadhi ya wananchi Joyce Msangi afisa Misitu, alisema utumiaji wa nishati safi ya kupikia unalinda afya […]
Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM Katibu mkuu wa umoja wa wanawake wa chama Cha Mapinduzi UWT jokate mwegelo amewataka wanawake wajitokeze Katika kugombea nafasi mbalimbali za uongozi Ili nchi iweze kuwa na viongozi wengi wanawake Wanawake hao wametakiwa kushiriki Katika kugombea nafasi hizo kwenye kipindi Cha uchaguzi mdogo na mkubwa unaotarajiwa kufanyika oktoba 25 […]
Na mwandishi wetu DAR ES SALAAM Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania wa Chama Cha Mapinduzi (UWT) Ikiongozwa na Mwenyekiti wake Mary Chatanda , kupitia Katibu Mkuu Ndugu. Jokate Mwegelo amezindua kundi la SAMIA QUEENS ambalo ni muunganiko wa Wasanii wote wa Kike wa Sanaa ya Muziki na Uigizaji. Lengo la kundi hilo ni kuwa […]
Na mwandishi wetu DAR ES SALAAM Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limetoa vifaa vya kufanyia usafi soko la mabibo Jijini Dar es salaam Kwa lengo likiwa ni kuunga mkono wafanyabiashara wanawake wanaofanya Shughuli zao ndani ya soko hilo. Msaada huo umetolewa na wanawake wa shirika hilo ni sehemu za shamrashamra za maadhimisho ya siku ya […]
Na Madina Mohammed WAMACHINGA Agawa mitungi ya Gesi na Majiko Banifu kwa Wajasiriamali Dar es Salaam Ataka Taasisi kuachana matumizi ya kuni na mkaa Ahimiza wadau kuunga mkono juhudiย za Serikali Baadhi ya Wajasiriamali wafunguka Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa safari ya matumizi ya nishati safi ya […]