Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi, amesema mageuzi makubwa ya mfumo wa elimu ya Tanzania yanayofanywa na Serikali ya CCM chini ya uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Samia Suluhu Hassan yataweka msingi imara wa mabadiliko yatakayowasaidia vijana wa Kitanzania kushindana […]
Na Mwandishi wetu WAMACHINGA DAR ES SALAAM RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Mkutano wa Uvuvi barani Afrika (AFRICA SMALL SCALE FISHERIES SUMIT 2024) ambao utafanyika Julai 5-7 katika ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es Salaam. Mkutano huo unalengo la kuimarisha umoja wa Afrika […]
Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Kanda ya Afrika Matshidiso Moeti amesema umuhimu wa kujadili matokeo ya Kikundi Kazi kuhusu marekebisho ya Kanuni za Afya za Kimataifa (2005) na hatua iliyofikiwa na Bodi ya Majadiliano ya Serikali (INB) katika kuandaa na kujadili mkataba au makubaliano ya WHO […]
Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Mwanasiasa mkongwe nchini, Alhadji Mustapha Songambele amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuliongoza vyema taifa. Mzee Songambele ametoa pongezi hizo mbele ya Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel Nchimbi, leo Jumamosi, Mei 25, 2024. Balozi Nchimbi alikwenda nyumbani kwa Mzee Songambele Mwananyamala jijini Dar es Salaam kumfikishia […]
Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mhe. Saadi Mtambule amewataka wananchi wa Wilaya ya Kinondoni hususani Kata za Kawe, Kunduchi, Wazo na Mbezi Beach kujitokeza kunufaika na fursa ya kuunganishwa bure kwenye huduma ya uondoshaji majitaka kupitia utekelezwaji wa mradi wa Usafi wa Mazingira Mbezi Beach unaosimamiwa na Mamlaka ya Majisafi na […]
Na Happiness Shayo DODOMA Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Namibia zimekubaliana kubadilishana uzoefu katika Sekta ya Maliasili na Utalii hasa katika kukabiliana na changamoto za Wanyamapori wakali na waharibifu hususan tembo wanaovamia makazi ya wananchi. Hayo yamejiri leo Mei 24,2024 wakati wa kikao cha pamoja kati ya Waziri wa Maliasili […]
Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Kamishna wa Bima Dkt.Baghayo Saqware amewataka wamiliki wa gereji za kutengeneza magari, kujisajili katika Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA) ili kuepusha changamoto ikiwemo udanganyifu, ucheleweshwaji wa malipo na huduma mbovu kwa wateja wao ambapo TIRA inawajibika kusimamia haki za pande zote mbili. Dkt.Baghayo ameyasema hayo jijini Dar es salaam wakati […]
Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Waziri wa Uchukuzi Prof Makame Mbarawa Amewataka watanzania kujitokeza Kwa wingi kupanda treni ya Mwendokasi hasa wale wa Daraja la Tatu,ambayo Treni hiyo imeangaziwa vigezo vyote vya nauli Hayo ameyasema Leo Tarehe 24 Mei 2024 wakati wa ziara yake aliyoifanya Jijini Dar es salaam Waziri wa Uchukuzi Prof […]