Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko leo ni Mgeni rasmi katika Maadhimisho ya Kilele cha Wiki ya Maji Tanzania na Siku ya Maji Duniani. Maadhimisho hayo yanafanyika Mtumba jijini Dodoma na kuhudhuriwa na viongozi na wadau mbalimbali wa maji kutoka Serikalini na Sekta Binafsi. “UHAKIKA WA MAJI KWA AMANI NA […]
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa (Mb) amewasili wilayani Mafia mkoani Pwani kufanya ziara ya kikazi ambapo amepokelewa na Mkuu wa Wilaya ya Mafia, Aziza Mangosongo, leo tarehe 22 Machi 2024. Bashungwa amepokelewa pia na Mbunge wa Mafia ambaye pia ni Naibu Waziri wa Elimu, Omary Kipanga pamoja na viongozi wa Serikali na Chama Cha Mapinduzi. […]
DAR ES SALAAM Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. January Makamba amezindua Kamati ya Kupitia Majukumu na Maboresho ya Kituo cha Uhusiano wa Kimataifa cha Dkt. Salim Ahmed Salim zamani Chuo cha Diplomasia. Akizindua Kamati hiyo leo tarahe 20 Machi 2024 jijini Dar es Salaam, Mhe. Makamba amesema kazi kubwa […]
ZANZIBAR Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amepokea salamu za poleย ย kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Wasafi Nasibu Abdul Juma almaarufu Diamond Platinumz na ujumbe wake Ikulu Mnazi Mmoja tarehe 20 Machi 2024. Aidha Rais Dk.Mwinyi ameushukuru uongozi wa Wasafi kwa kuja kumfariji na kushiriki katika mazishi […]
๐ *Yaridhishwa na namna Serikali inavyotenga Fedha miradi ya Nishati* ๐ *Yataka Wizara kuongeza kasi kwenye utekelezaji wa bajeti 2023/2024* ๐ *TANESCO Yatakiwa kuimarisha miundombinu ya kusafirisha umeme* ๐ *Wizara yaahidi kutekeleza maagizo ya Kamati* Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeridhishwa na utekelezaji wa miradi mbalimbali inayotekelezwa chini ya wizara ya […]
Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za mitaa TAMISEMI wametoa taarifa kwa wahitimu wa Kidato cha Nne mwaka 2023 kuhusu fursa ya kubadilisha machaguo ya Tahasusi za Kidato cha Tano na Kozi za Vyuo vya Ualimu, Vyuo vya Kati na Elimu ya Ufundi kwenye mfumo wa kielektroniki […]
๐ *Yatoa angalizo kuhusu bei za umeme* Na Madina Mohammed CHALINZE Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imekagua utekelezaji wa miradi ya usambazaji umeme vijijini inayotekelezwa na Wakala wa Nishati Vijijini ( REA) mkoani Pwani. Mara baada ya ukaguzi huo, Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mhe. Dkt. David Mathayo ameishauri Serikali kuangalia gharama […]
DAR ES SALAAM Mlimani city Ikiwa leo ni miaka mitatu tangu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan aingie madarakani, Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Dkt. Hassan Abbasi wamemshukuru Mhe. Rais kwa maono na maelekezo yake katika sekta za maliasili […]
๐ Aagiza kuanzishwa kwa Kitengo cha Nishati Safi ya Kupikia ๐ Lengo ni kutekeleza Ajenda ya Rais ya Nishati Safi ya Kupikia ๐Aagiza Matumizi ya CNG kupewa kipaumbele ๐Ataka huduma bora kwa wananchi ๐ Akumbusha vyeo visiwe sababu ya kiburi na majivuno kwa watendaji Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Biteko ameagiza […]