Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe.Dkt Doto Biteko ameliagiza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kujenga laini mpya ya Umeme kutoka Nyakanazi-Ushirombo na Kahama Bongwe hadi Bukombe ili kuhakikisha hali ya upatikanaji wa umeme katika Wilaya ya Bukombe inaimarika. Dkt, Biteko ametoa agizo hilo wakati alipokuwa akizungumza na wananchi wa […]
Na Beatus Maganja TANGA Yanyakua tuzo na kujikusanyia vyeti kadhaa vya pongezi* Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania – TAWA imepokea tuzo ya mshindi wa pili wa jumla kwenye maonesho ya 11 ya utalii na biashara almaarufu “TANGA TRADE FAIR” yaliyokuwa yakifanyika katika viwanja vya shule ya sekondari usagara Mkoani Tanga kuanzia Mei 28, 2024 […]
Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA JUMUIYA ya wafanyabiashara wa Kariakoo jijini Dar es salaam, wametoa rai kwa Mamlaka ya Mapato Tanzania, TRA kutumia njia ya ushirikishaji katika kukusanya mapato, badala ya kutumia njia zisizofuata misingi ya kisheria ikiwemo vishoka. Akizungumza na Waandishi wa Habari mapema leo Juni 07/2024 Jijini Dar es salaam Mwenyekiti […]
Na Mwandishi wetu WAMACHINGA -Amshukuru Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa uwekezaji mkubwa katika nyanja za elimu hapa nchini -Awataka wanafunzi kutokata tamaa, wanayo nafasi kubwa ya kubadili maisha yao. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Juni 6,2024 amefanya ziara katika chuo Kikuu kishiriki cha Elimu Dar es Salaam (DUCE) […]
Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Amesema Wizara yake imepokea maelekezo ya Katibu Mkuu wa CCM Balozi dkt Emanuell Nchimbi kuhusu suala la boom kwa wanafunzi wa vyuo nchini. Dr Nchimbi akiwa eneo la Usa River Wilaya ya Arumeru alitoa maagizo kwa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kuhakikisha wanafunzi wa vyuo wanalipwa fedha hizo ifikapo mwisho […]
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt Emmanuel John Nchimbi akizindua Shina la Wakereketwa Wajasiriamali wa Tarime Group, lenye wanachama 200, eneo la Makuyuni, Wilaya ya Monduli, mkoani Arusha. Balozi Nchimbi amewasili na kupokelewa Arusha leo Jumapili, Juni 2, 2024, tayari kuanza ziara ya siku tatu mkoani humo, ikiwa ni mwendelezo wa ziara […]
Na Happiness Shayo Wawakilishi 11 wa Bunge la Wawakilishi-Congress kutoka nchini Marekani wameridhishwa na juhudi za uhifadhi zinazofanywa na Serikali ya Tanzania huku wakisifia namna ambavyo hifadhi za Taifa zimesheheni wanyamapori. Hayo yamesemwa katika kikao kati ya Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) na Wabunge hao kilichofanyika katika Uwanja wa Ndege wa […]
Na Mwandishi wetu WAMACHINGA 📌 *Kuimarisha upatikanaji umeme Kilombero, Ulanga na Malinyi* 📌 *Kuchochea viwanda vya uongezaji thamani Mazao, Madini* 📌 *Asema Serikali inachukulia kwa uzito mkubwa suala la upatikanaji wa Nishati* 📌 *Asisitiza Umeme si anasa, ni jambo la lazima* 📌 *Aishukuru EU kuunga mkono miradi ya Nishati* Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa […]