Home > Articles posted by MACHINGA TV (Page 103)
FEATURE
on Jun 13, 2024
221 views 55 secs

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA DAR ES SALAAM Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Jaji Jacobs Mwambegele, amesema waandishi wamekuwa kiungo kikubwa kupitia taarifa za habari, vipindi na makala katika kutoa elimu ya mpiga kura. Amesema elimu hiyo ni muhimu kuwafikia walengwa kote nchini ili waweze kupata taarifa ya nini wanapaswa kufanya kwa […]

FEATURE
on Jun 13, 2024
264 views 2 mins

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Tanzania imeandaa mfumo mpya ya Teknolojia ya kujiandikisha Katika daftari la kudumu la mpiga kura Kwa kutumia njia ya mtandao Ameyasema hayo Leo Tarehe 13 Juni 2024 Mwenyekiti wa Tume Mhe.Jaji (Rufaa) Jacobs Mwambegele wakati akifungua kikao kazi Cha waandishi wa habari […]

FEATURE
on Jun 12, 2024
314 views 2 mins

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA -Asema wasanii wanamchango mkubwa katika maendeleo ya Taifa -Awataka kupitia kazi zao za sanaa kufikisha ujumbe wa matumizi ya matokeo ya Sensa ya mwaka 2022 kwa jamii Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Juni 12,2024 amefungua mafunzo ya matumizi ya matokeo ya Sensa ya watu na […]

FEATURE
on Jun 12, 2024
351 views 2 mins

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA ***Treni ya SGR haijaja kuchukua nafasi ya ndege Wala Mabasi ****Mizigo mikubwa haitakiwi,chakula Wala Wanyama inaitaji kuwa Treni ya kimataifa Shirika la Reli Tanzania TRC limezindua Safari ya Treni ya Mwendokasi kutoka Dar es salaam Mpaka Morogoro Na kuanza Rasmi safari hiyo siku ya ijumaa ya Tarehe 14 […]

FEATURE
on Jun 12, 2024
380 views 29 secs

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Baada ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi chini ya Mwenyekiti wakeย  Mohammed Ali Kawaida kuitaka Serikali kupitia Wizara ya Habari Mawasiliano na Teknolojia ya Habari kufungia Mtandao wa X ambao Zamani ulijulikana kama Twitter kutokana na mtandao huo kuruhusu mambo ambayo ni kinyume na Utamaduni wa Watanzania Leo Juni […]

FEATURE
on Jun 12, 2024
389 views 3 mins

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA *๐Ÿ“Œ Diplomasia ya Kiuchumi yainadi Tanzania kimataifa* *๐Ÿ“Œ Marekani yasaka fursa uwekezaji Sekta ya Nishati* *๐Ÿ“Œ Dkt. Biteko ataja maono ya Rais Dkt. Samia kiini cha ujio wa wawekezaji* *Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati* Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Doto Biteko amekutana na […]

FEATURE
on Jun 12, 2024
224 views 3 mins

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA ๐Ÿ“Œ *Lengo ni kujihakikishia umeme wa kutosha na uhakika ๐Ÿ“Œ * Dkt. Biteko akutana na wadau wa chemba ya wafanyabiashara wa Ujerumani na wadau wa nishati ๐Ÿ“Œ Aiomba Ujerumani kuendelea kufadhili miradi ya nishati Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishatiย  Mhe. Dkt Doto Biteko,ameieleza jumuiya ya wafanyabiashara wa ujerumaniย  na […]

FEATURE
on Jun 11, 2024
417 views 47 secs

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA TAASISI ya Mama Ongea na Mwanaoย  kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo wametoa msaada wa Baiskeli 250 kwa watoto wenye mahitaji maalumu (Walemavu) ili kuwasaidia kutimiza ndoto zao za kupata elimu . Akizungumza na Waandishi wahabari leo Juni 11, 2024 jijini Dar es Salaam Mwenyekiti wa Taasisi hiyo Steve Nyerere amesema […]

FEATURE
on Jun 10, 2024
255 views 2 mins

Na Mwandishi wetu -Barcelona,Hispania Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) amekutana na kufanya mazungumzo na Uongozi wa juu wa Kampuni ya IFEMA ya Madrid, Hispania inayojihusisha na uandaaji wa Onesho linaloongoza duniani la Feria Internacional de Turismo (FITUR) lengo ikiwa ni kuangalia namna bora ya kuboresha ushiriki wa Tanzania katika Onesho hilo […]

FEATURE
on Jun 10, 2024
198 views 2 mins

Na mwandishi wetu WAMACHINGA -Akagua maendeleo ya barabara ya Tabata Mazda hadi Kimanga Mkuu Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Juni 10 ,2024 amefanya ziara ya kushtukiza kukagua maendeleo ya ujenzi wa Barabara ya Mazda kimanga Km 3.7 Wilaya ya Ilala. RC Chalamila amefanya ukaguzi huo kufuatia ahadi aliyoitoa kwa wananchi wakati […]