Home > Articles posted by MACHINGA TV (Page 100)
FEATURE
on Apr 18, 2024
225 views 4 mins

Na Mwandishi Wetu Asema limepunguza athari za mafuriko Atoa pole kwa waathirika wa mafuriko Rufiji Aeleza jitihada za Serikali kwa waathirika Azungumzia umuhimu wa Nishati Safi ya Kupikia, Bei ya Gesi Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa licha ya mvua zinazoendelea kunyesha nchini, Bwala la Umeme la Julius […]

FEATURE
on Apr 18, 2024
405 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu DODOMA Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jonsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima ameiasa jamii kuona umuhimu wa malezi bora kwa watoto ndani ya familia kama chanzo cha jamii. Ametoa wosia huo Aprili 18, 2024 jijini Dodoma wakati akizungumza na waandishi wa Habari ikiwa ni kuelekea maadhimisho ya Siku ya […]

FEATURE
on Apr 18, 2024
291 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Dar es Salaam Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kwa kushirikiana na Wilaya ya Kinondoni wamekutana na kupanga mkakati wa kutunzaย  mitaro inayojengwa katika barabara Wilayani humo. Hayo yamebainishwa katika kikao cha pamoja kati ya ofisi ya Mkuu wa Wilaya, Meneja wa TARURA Mkoa wa wa Dar es Salaam […]

FEATURE
on Apr 18, 2024
216 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu TANGA Unamilikiwa na Watanzania kwa asilimia 100 Utafiti umebaini uwepo wa mashapo ya dhahabu kiasi cha tani 21.7 Kampuni ya PMM Tanzania Limited inayomiliki mgodi wa Magambazi imeanza shughuli za uzalishaji madini ya dhahabu ambapo kuanzia Agosti 2024 mgodi huo unatarajiwa kuzalisha kilo 25 za dhahabu kwa mwezi. Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi […]

FEATURE
on Apr 17, 2024
346 views 21 secs

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM Mwenyekiti wa jukwaa la wanahabari wa mitandao ya kijamii Tanzania JUMIKITA Shabani Matwebe Amesema Nawashukuru watanzania kwasababu badala ya kutoa taarifa ya kuonyesha sasa tunatakiwa tuonyeshe tunachukia, tunakataa na kukemea matusi mitandaoni mapokeo yamekua ni mazuri Hayo ameyasema Leo Tarehe 17 April 2024 Mwenyekiti wa jukwaa la wanahabari wa […]

FEATURE
on Apr 17, 2024
252 views 3 mins

Na. Catherine Sungura-Dodoma Katika mwaka 2024/25, Ofisi ya Rais – TAMISEMI imepanga kutumia shilingi bilioni 841.19 kwa ajili ya ujenzi, matengenezo na ukarabati wa miundombinu ya barabara za wilaya. Kati ya fedha hizo shilingi bilioni 257.03 ni za Mfuko wa Barabara, shilingi bilioni 127.50 Mfuko Mkuu wa Serikali, shilingi bilioni 325.77 ni za tozo ya […]

FEATURE
on Apr 17, 2024
290 views 5 mins

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM Mambo Mengi  yameendelea kuonekana kwa benki ya โ€˜Maendeleo Bank Plcโ€™ ambapo kwa mwaka 2023 matokeo ya kifedha yameonesha kukua kwa faida kwa asilimia 66 baada ya kodi na kufanya faida baada ya kodi kuongezeka hadi shilingi Bilioni 2.3 kutoka shilingi Bilioni 1.4 mwaka 2022 kutokana na uimarishwaji wa njia […]

FEATURE
on Apr 17, 2024
431 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu Wananchi wa Kijiji cha Kwedikwazu kilichopo wilayani Handeni mkoa wa Tanga wameipongeza Serikali  kwa hatua mbalimbali zinazoendelea kufanyika ili kuleta maendeleo ya Kudumu kupitia Sekta ya Madini. Hayo yamebainishwa na Katibu wa Kikundi cha Wanawake cha Mwanzo Mgumu, Bi Saumu Kisaka wakati akizungumza na timu ya Maafisa Habari wa Wizara ya Madini […]

FEATURE
on Apr 16, 2024
207 views 3 mins

Na. Beatus Maganja Wananchi walioathiriwa na mafuriko  wilayani Rufiji wameiona thamani na umuhimu wa uwepo wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania – TAWA baada ya leo  Aprili 16, 2024 kupokea misaada mbalimbali kutoka kwa taasisi hiyo  yenye thamani ya shillingi millioni 20 ikiwemo tani 6.4 za unga wa sembe, Kilo 666 za maharage na […]

FEATURE
on Apr 16, 2024
185 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu DODOMA Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Taasisi zilizo chini yake, Mikoa 26 ikijumuisha Halmashauri 184 zimeomba Bunge kuidhinisha Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa mwaka 2024/25 yenye jumla ya  shilingi trilioni 10.125. Kwa mwaka 2023/24, Ofisi ya Rais-TAMISEMI iliidhinishiwa bajeti ya  trilioni 9.18, kati ya fedha hizo, trilioni 3.52 ni fedha za […]