Mashindano ya Netiboli yaliyokuwa yanafanyika Kwimba mkoani Mwanza katika viunga vyaChuo cha Maendeleo ya Michezo Malya yamefikia ukingoni na washinfdi kukabidhiwa zawadizao usiku wa Mei 22, 2023 na Makamu Mkuu wa Chuo Cha Maendeleo ya Michezo Malya AlexMkenyenge. “Hongereni kwa kushiriki mashindano haya na walioshinda nawapapongezi tele na ndiyo maana tunawakabidhi zawadi zenu leo hii.” […]
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Geophrey Pinda akizungumza katika kikao cha Baraza la Wafanyakazi wa Wizara yake tarehe 22 Mei 2023 jijini Dodoma. Naibu waziri wa ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Geophrey Pinda amesema watumishi wa sekta ya ardhi nchini wanao wajibu katika utendaji kazi na dhana nzima ya […]
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Mhe. Prof. Makame Mbarawa Katika kuhakikisha Sekta ya Usafiri kwa njia ya maji unaimarika Serikali Kupitia Kampuni ya huduma za Meli imedhamiria kujenga meli tatu mpya katika Ziwa Victoria na Ziwa Tanganyika baada ya kukamilisha taratibu za zabuni kwa ajili ya kumpata mkandarasi wa ukarabati wa meli ya MV. Liemba. […]
Balozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini, Meja Jenerali Gaudence Milanzi akiongea na watumishi wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakiongozwa na Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Bi. Fatma Hamad Rajab. Balozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini, Meja Jenerali Gaudence […]
Serikali imesema kuwa katika mwaka wa fedha 2022/23, miradi ya barabarakuu iliyopangwa kutekelezwa ni ujenzi kwa kiwango cha lami wa barabarazenye urefu wa kilometa 470 pamoja na ukarabati kwa kiwango cha lami wabarabara zenye urefu wa kilometa 33. Aidha, kazi nyingine ni kuendelea na ujenzi wa madaraja makubwa matatuambayo ni Daraja la JPM (Kigongo – […]
VIPAUMBELE VYA MPANGO NA BAJETI YA SEKTA YA UJENZI NAUCHUKUZI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/24Sekta ya Ujenzi(i) Kuanza ujenzi wa miradi saba (7) ya barabara yenye jumla ya kilometa 2,035 kwakutumia utaratibu wa Engineeering Procurement Construction and Finance ( EPC+F).(ii) Kuanza utekelezaji wa ujenzi wa barabara kutoka Kibaha – Chalinze – MorogoroExpressway yenye urefu wa […]
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan ameongoza kikao Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC) katika ukumbi wa NEC White House, CCM Makao Makuu, Dodoma leo tarehe 22, Mei 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuziwa Mabalozi kama ifuatavyo:i) Amemteua Meja Jenerali Ramson Godwin Mwaisaka kuwa Balozi. Kabla yauteuzi huo, Meja Jenerali Mwaisaka alikuwa Mkuu wa Kamandi ya Jeshi laWanamaji (JWTZ).ii) Amemteua Meja Jenerali Paul Kisesa Simuli kuwa Balozi. Kabla ya uteuzi huoMeja Jenerali Simuli alikuwa Mkuu wa […]
Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Elimu na Mafunzo ya Uvuvi Tanzania (FETA) Dkt. Semvua Mzighani (kushoto) na Mwenyekiti wa Chama Kikuu cha Wakuza Viumbe Maji Tanzania (AAT) Dkt. Charles Mahika (kulia), wakitia saini hati ya makubaliano kati ya FETA na AAT ili wafuga samaki kupatiwa mafunzo ya muda mfupi na FETA kupitiaMradi wa Kikanda wa […]
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula (nyuma kulia) na mwenzake wa serikali ya Mapinduzi Zanzibar Rahma Kassim Ali wakishuhudia utiaji saini hati ya makubaliano ya ushirikiano katika sekta ya ardhi baina ya wizara hizo uliofanywa na makatibu wakuu wa wizara hizo kwenye hafla iliyofanyika jijini Dodoma tarehe 20 Mei 2023. […]