USHIRIKIANO WA TANZANIA NA KOREA KULETA MAGEUZI SEKTA YA MADINI NCHINI
DCEA YAMNASA KINARA WA MIRUNGI,YATEKETEZA EKARI 285.5 SAME
TFRA na Taasisi za Utafiti wa Kilimo Zajadili Mashirikiano Udhibiti wa Mbolea
TGDC YATOA ELIMU KWA WANAVIJIJI WANAOZUNGUKA JOTOARDHI
WASIRA AMJIBU ZITTO KABWE KUHUSU VIKAO VYA CHADEMA
Na Mwandishi Wetu
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amemjibu Kiongozi Mstaafu wa ACT-Wazalendo Zitto Kabwe kuwa CCM haibishani na CHADEMA kwa kuwa iliwaambia wazungumze wakajibu hawako tayari kupotezewa muda.
Pia, Wasira ametumia nafasi hiyo kuwaambia CHADEMA wajitokeze hadharani wawaambie wanataka nini na kama wanashindwa kuiambia CCM basi waiambie Tume.
Akizungumza Leo machi 30 2025 katika mkutano wa hadhara mbele ya maelfu ya wananchi wa Wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu, Wasira alitumia nafasi hiyo kumjibu Zitto Kabwe ambaye akiwa Lindi alisema Wasira anajua historia hivyo kwa nini anabishana na CHADEMA badala ya kuzungumza.
“Mimi niliwaambia tuzungumze Tundu Lissu akasema tutawapotezea muda, sasa mtu ana muda wake na hataki upotee wewe umlazimishe kupoteza.
EWURA YASHINDA TENA TUZO YA UHUSIANO
TANESCO YAIBUKA KINARA TUZO ZA UBORA
TANESCO YASHINDA TENA TUZO ZA UBORA
SITA WAPANDISHWA KIZIMBANI WAKITUHUMIWA KUSAFIRISHA DAWA
MATEMBEZI YA GENERATION SAMIA (GEN-S) YAVUNJA


WASIRA AMJIBU ZITTO KABWE KUHUSU VIKAO VYA CHADEMA
Na Mwandishi Wetu MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amemjibu Kiongozi Mstaafu wa ACT-Wazalendo Zitto Kabwe kuwa CCM haibishani na CHADEMA kwa kuwa iliwaambia wazungumze wakajibu hawako tayari kupotezewa muda. Pia, Wasira ametumia nafasi hiyo kuwaambia CHADEMA wajitokeze hadharani wawaambie wanataka nini na kama wanashindwa kuiambia
WAZIRI MKUU: TUNATAKA KILA MWANANCHI APATE KITAMBULISHO CHA TAIFA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema mkakati wa Serikali ni kumwezesha kila Mtanzania apate kitambulisho cha Taifa akiwa kijijini kwake. Amesema hayo leo (Alhamisi, Mei 11, 2023) bungeni wakati akijibu swali la Mbunge wa Biharamulo Magharibi, Mhandisi Ezra Chiwelesa kwenye kipindi cha maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu. Mbunge

RAIS SAMIA AKABIDHI VYETI VYA WAKIMBIZA MWENGE WA UHURU 2024

SWICA YAINGIZA SERIKALI DOLA ZA MAREKANI 2,773,000


WACHEZAJI TFRA WAKABIDHI MAKOMBE KWA UONGOZI WA MAMLAKA

RAIS SAMIA KUFANYA ZIARA NCHINI UTURUKI LENGO LA KUDUMISHA UCHUMI NA SIASA
Na Madina Mohammed Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia
KAMATI YA NIDHAMU YA CHAMA TAWALA NCHINI AFRIKA KUSINI ANC IMEAMUA KUMFUKUZA UANACHAMA RAIS WA ZAMANI JACOB ZUMA
Na Anton Kiteteri Chama Cha ANC kimemfukuza uanachama rais wa zamani wa


MARA WARIDHISHWA UTEKELEZAJI MIRADI YA REA
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA 📌 Wamshukuru Rais Samia kwa kupunguza gharama za umeme 📌 Elimu kuhusu matumizi bora ya

EWURA YASHINDA TENA TUZO YA UHUSIANO MWEMA NA VYOMBO VYA HABARI
Kwa mara ya pili mfululizo, Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imeshinda tena tuzo ya

GST YASAINI HATI YA MAKUBALIANO (MoU) NA TAASISI YA JIOSAYANSI NA RASILIMALI MADINI YA KOREA KUSINI KIGAM
• _*Watanzania kujengewa uwezo kwenye kada ya Jiosayansi na Utafiti wa Madini*_ 📍 *Seoul, Korea Kusini.* Wizara ya Madini

UFUATILIAJI NA TATHIMINI IMEWEZESHA TARURA KUFIKIA MALENGO
Na Mwandishi wetu Zanzibar Imeelezwa kwamba mpango mzuri wa ufuatiliaji na tathimini umewezesha Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kufikia malengo ambayo wamejiwekea katika kutekeleza dhima ya taasisi hiyo ya kujenga na kufanya matengenezo

KAPINGA ASEMA MAFANIKIO KATIKA SEKTA YA NISHATI YANATOKANA NA JITIHADA ZA RAIS SAMIA
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Ni wakati akitoa mchango Bungeni kuhusu Mpango wa Taifa wa Maendeleo* Ataja kuongezeka kwa kiasi cha umeme katika Gridi ya Taifa* Aeleza usambazaji umeme vijijini ulivyofanyika kwa mafanikio; Vijiji 78 Tu vyasalia*

HALMASHAURI 112 KATI YA 119 NCHINI HAZINA MAAMBUKIZI MAPYA YA MATENDE NA MABUSHA
Madina Mohammed DAR ES SALAAM Serikali Kwa kushirikiana na wadau wameweza kudhibiti ugonjwa wa Matende na Mabusha Katika Halmashauri 112 kati 119 na kubakiwa na Halmashauri 7 Halmashauri ambazo zenye maambukizi mapya ya Mabusha na Matende

WATANZANIA JITOKEZENI KUTOA MAONI MISWADA YA SHERIA YA UCHAGUZI NA VYAMA VYA SIASA
Asema Rais, Dkt. Samia anafanya kazi kubwa ya kuwaunganisha Watanzaia* Ataka Wananchi kuchagua viongozi bora katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa* Mbogwe, Geita Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ametoa wito

WAZIRI MAVUNDE AWATAKA WATUMISHI GST KUCHAPA KAZI
GST kujenga Maabara ya Kisasa jijini Dodoma* GST ni Moyo wa Sekta ya Madini Kufanya Utafiti wa kina kufikia asilimia 50 Na Madina Mohammed DODOMA WAMACHINGA Waziri wa Madini Mhe.Anthony Mavunde amewataka Watumishi wa Taasisi ya

RAIS SAMIA ACHAMBUA SEKTA YA MADINI
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA -GEITA RAIS Samia Suluhu Hassan amesema sekta ya madini nchini inachangia asilimia 56 ya fedha yote ya kigeni inayoingia nchini kila mwaka, na hivyo ni sekta muhimu kwa ukuaji wa uchumi, Kauli


ZRA YAVUNJA REKODI YA MAKUSANYO ZANZIBAR

ZRA YASHAURI WAHARIRI KUWAJENGEA UWELEDI WAANDISHI

ZRA YAKUSANYA BILIONI 76 OKTOBA
