MATARAJIO YA HALI YA HEWA KWA SIKU 5
RC CHALAMILA AKABIDHI MKONO WA KHERI YA EID UL-FITR KWA WATOTO WENYE UHITAJI – DSM
Serikali: Faida itokanayo na uwekezaji ifikie zaidi ya asilimia 10
WAZIRI SIMBACHAWENE AELEKEZA NAMNA BORA ZAIDI YA KUSHUGHULIKIA MASUALA YA KIUTUMISHI IKIWEMO BARUA ZA AJIRA MPYA
WASIRA AMJIBU ZITTO KABWE KUHUSU VIKAO VYA CHADEMA
Na Mwandishi Wetu
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amemjibu Kiongozi Mstaafu wa ACT-Wazalendo Zitto Kabwe kuwa CCM haibishani na CHADEMA kwa kuwa iliwaambia wazungumze wakajibu hawako tayari kupotezewa muda.
Pia, Wasira ametumia nafasi hiyo kuwaambia CHADEMA wajitokeze hadharani wawaambie wanataka nini na kama wanashindwa kuiambia CCM basi waiambie Tume.
Akizungumza Leo machi 30 2025 katika mkutano wa hadhara mbele ya maelfu ya wananchi wa Wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu, Wasira alitumia nafasi hiyo kumjibu Zitto Kabwe ambaye akiwa Lindi alisema Wasira anajua historia hivyo kwa nini anabishana na CHADEMA badala ya kuzungumza.
“Mimi niliwaambia tuzungumze Tundu Lissu akasema tutawapotezea muda, sasa mtu ana muda wake na hataki upotee wewe umlazimishe kupoteza.
EWURA YASHINDA TENA TUZO YA UHUSIANO
TANESCO YAIBUKA KINARA TUZO ZA UBORA
TANESCO YASHINDA TENA TUZO ZA UBORA
SITA WAPANDISHWA KIZIMBANI WAKITUHUMIWA KUSAFIRISHA DAWA
MATEMBEZI YA GENERATION SAMIA (GEN-S) YAVUNJA


WASIRA AMJIBU ZITTO KABWE KUHUSU VIKAO VYA CHADEMA
Na Mwandishi Wetu MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amemjibu Kiongozi Mstaafu wa ACT-Wazalendo Zitto Kabwe kuwa CCM haibishani na CHADEMA kwa kuwa iliwaambia wazungumze wakajibu hawako tayari kupotezewa muda. Pia, Wasira ametumia nafasi hiyo kuwaambia CHADEMA wajitokeze hadharani wawaambie wanataka nini na kama wanashindwa kuiambia
WAZIRI MKUU: TUNATAKA KILA MWANANCHI APATE KITAMBULISHO CHA TAIFA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema mkakati wa Serikali ni kumwezesha kila Mtanzania apate kitambulisho cha Taifa akiwa kijijini kwake. Amesema hayo leo (Alhamisi, Mei 11, 2023) bungeni wakati akijibu swali la Mbunge wa Biharamulo Magharibi, Mhandisi Ezra Chiwelesa kwenye kipindi cha maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu. Mbunge
BANDARI KAVU KWALA KUONGEZA MAPATO

DKT. BITEKO AWASILI BARBADOS KUNADI NISHATI SAFI KIMATAIFA*



POLISI “WADEPO 1993″WATOA MSAADA WA THAMANI SH MILIONI 2.5
Baadhi ya Askari Polisi waliotimiza miaka 30 katika utendaji kazi ndani ya
WAZIRI MKUU AZINDUA STUDIO ZA KIDIJITI ZA BONGO FM REDIO
Na Madina Mohammed WAMACHINGA DAR ES SALAAM Ni za TBC Taifa, azuru


WAZIRI SIMBACHAWENE AELEKEZA NAMNA BORA ZAIDI YA KUSHUGHULIKIA MASUALA YA KIUTUMISHI IKIWEMO BARUA ZA AJIRA MPYA
Na. Mwandishi Wetu- Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe.

TGDC YATOA ELIMU KWA WANAVIJIJI WANAOZUNGUKA JOTOARDHI
Na Mwandishi Wetu KAMPUNI ya Uendelezaji Jotoardhi Tanzania (TGDC) imetoa elimu na uhamasishaji kwa wananchi wa vijiji vya Nsongwi

SITA WAPANDISHWA KIZIMBANI WAKITUHUMIWA KUSAFIRISHA DAWA ZA KULEVYA
NA MWANDISHI WETU, KILIMANJARO WAKAZI wanne wa Wilaya ya Same wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi jana tarehe

WAKANDARASI WASIMAMIWE KUTEKELEZA MIRADI YA NISHATI KWA WAKATI – KAPINGA
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA 📌Aagiza wasimamiwe kwa karibu kumaliza miradi 📌Awataka Watendaji TANESCO kuwa na mahusiano mazuri na wananchi Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga amewataka watendaji wa Sekta ya Nishati kuwajengea uwezo watoa huduma

FINSCOPE YAZINDULIWA RASMI JIJINI DAR ES SALAAM
Ripoti mpya ya FinScope Tanzania 2023, ambayo ni ya awamu ya tano imezinduliwa Leo Jijini Dar es salaam,ambao utafiti Huo unaangazia hupima mahitaji,upatikanaji na matumizi ya huduma za fedha Tanzania Bara na Visiwani. Ripoti hiyo imezinduliwa

WIZARA YA NISHATI NA TAASISI ZAKE YASHIRIKI MAADHIMISHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA KWA MAFANIKIO
Na Mwandishi wetu WAMACHINGA 📌 *Nishati Safi ya Kupikia yapigiwa chapuo* 📌 *Wananchi wafurahia kuuona mradi wa JNHPP kupitia kifaa cha Uhalisia Pepe* 📌 *TANESCO yatoa huduma moja kwa moja ikiwemo ya Nikonekt* 📌 *Wananchi wajulishwa

NFRA WAHIMIZA WAKULIMA KUTUMIA MAGHALA KUHIFADHI CHAKULA NCHINI
AFISA mtendaji mkuu wa wakala wa Taifa ya hifadhi ya chakula NFRA Milton Lupa amesema katika kuhakikisha kuwa usalama wa chakula nchini wana majukumu makubwa matatu ambayo kwanza ni kununua na kuhifadhi chakula na pili ni

KAPINGA AZINDUA NAMBA YA BURE YA HUDUMA KWA WATEJA WA TANESCO
*📌Awapongeza TANESCO kutekeleza agizo la Mhe. Dkt. Biteko kuwataka kuanzisha namba ya huduma kwa wateja bure* *📌Asema namba hii ya 180 ya bure kwa wateja kuimarisha huduma kwa wateja na kutatua changamoto zao* *📌Awaagiza Mameneja wa


ZRA YAVUNJA REKODI YA MAKUSANYO ZANZIBAR

ZRA YASHAURI WAHARIRI KUWAJENGEA UWELEDI WAANDISHI

ZRA YAKUSANYA BILIONI 76 OKTOBA
