WATEMBEZI WA MIGUU WATEMBEA KUTOKA KIGOMA MPAKA KIZIMKAZI KUMFATA RAIS SAMIA
Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Shirika la Kijamii linaloitwa APHI FOUNDATION, lenye makao makuu Jijini Mwanza linaendelea na matembezi yao ya Hisani waliyoyaratibu na sasa wamevuka Jijini Dar es Salaam na muelekeo ni Visiwani Zanzibar lengo ikiwa nikufika mpaka Kizimkazi alipozaliwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan Mkurugenzi mtendaji […]