MAKALA
March 19, 2025
34 views 2 mins 0

TMDA KUNUFAIKA MIAKA MINNE YA RAIS SAMIA KATIKA HUDUMA YA AFYA

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Mamlaka ya dawa na tiba asilia TMDA yamtakia MHE RAIS SAMIA Kwa kufikisha miaka minne Katika kutumikia nchi ya Tanzania Kwa miaka  hiyo aliyokuwa madarajani na kufanya mapinduzi Katika maswala ya Afya TMDA imesema Mhe Rais ameyafanya makubwa Kwa kujua huduma za wananchi wake Kwa Kupitia wizara ya […]

MAKALA
December 31, 2023
753 views 2 mins 0

KUNYWA MKOJO NI TIBA TOSHA YA MWILI WAKO

Na Madina Mohammed Inawezekana ukafikiria kuwa ni jambo la ajabu kunywa mkojo wako kama”vipimo vya kuishi”Katika dharura kama hiyo lakini watu wengi Katika maeneo mbalimbali duniani wanaamini kwamba kunywa mkojo wako Kuna manufaa Kwa maisha ‘ya kiafya’ Lakini je,kuamka asubuhi na mapema na kunywa mkojo wako mwenyewe kunatibu magonjwa?je,kupaka mkojo kwenye mwili na uso huifanya […]

MAKALA
December 27, 2023
282 views 45 secs 0

USIUPOTEZE MWAKA HUU KWA NAMNA HII

Tunakaribia kuumaliza mwaka huu na kuingia mwaka mpya 2024. Mwaka huu ulikuwa na mipango na mawazo mazuri mengi.Yako ambayo uliyafanyia kazi na ambayo hujayafanyia kazi. Kila mwaka lazima ufanye kitu cha ushindi, usiache mwaka uishe bila kupata kitu cha ushindi. โ€œKila mwaka unaopita ambao hujaharibu moja ya mawazo yako pendwa ni mwaka ambao umeupotezaโ€ Kama […]

MAKALA
November 24, 2023
589 views 5 secs 0

LIJUE KABILA LINALOMKARIBISHA MGENI KWA KUMPA PENZI USIKU KUCHA

Kabila la Ovahimba ambalo linapatikana kaskazini mwa nchi ya Namibia katika mikoa ya Kunene na Omusati wana utamaduni wa kuwapokea au kuwakaribisha wageni wa kiume kwa kufanya mapenzi wakiamini kuwa hiyo ndiyo heshima na baraka kutoka kwa mgeni. Mgeni wa kiume anapowasili kwa siku ya kwanza huandaliwa chumba na kisha hupewa mwanamke/binti ambaye hajaolewa. kama […]

MAKALA
July 15, 2023
487 views 3 mins 0

MAPENZI:HAKUNA KITU MUHIMU KATIKA MAPENZI KAMA KUJALI

UNAPOPENDWA,ukapendeka na upande ukapendwa,furaha,utulivu na amani huwa ni rafiki zako wa karibu. Wataalam wa Masuala ya mahusiano wanasema Katika upendo huu, mwanamke ndiye anaouwezo Zaidi WA kupenda kuliko mwanaume,kwamba mwanamke akipenda anapenda Hadi anazubaa. Kwa upande wa mwanaume huwa anapenda Kwa hesabu ni nadra sana kumpata mwanaume akazama kwenye mapenzi kiasi kwamba anazubaa na kuduwaa […]