UCHAMBUZI
March 19, 2025
23 views 8 mins 0

JUA SABABU 69 ZA MWARUBAINI KUWA TIBA MATAIFA YOTE NCHINI

1. Kwa Waswahili unaitwa Mwarobaini kwa sababu unatibu magonjwa arobaini. 2. Kwa Wahindi unaitwa Duka la Dawa la Kijiji kwa sababu unatibu magonjwa zaidi ya 100. 3. Kuanzia mizizi, magome, matawi, majani, maua mpaka mbegu ni dawa! Ukiupanda unakaa miaka 200! 4. Mti huu upo karibu kila kona ya Dunia. Kwa Tanzania upo mwingi Dodoma! […]

UCHAMBUZI
March 12, 2025
40 views 13 secs 0

UKIMYA WA WATU WEMA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Aliyekuwa Rais wa Uganda marehemu Idi Amin alitaka kubadilisha jina la Uganda kuwa IDI. Kila mtu katika baraza la mawaziri alikubali. Sababu ni kuwa ‘Walimwogopa’. *Lakini kulikuwa na mtu mmoja, Malyamungu.* Akamwambia Amin “Mhe Rais unaijua nchi inayoitwa Cyprus?” Basi Amin akamuuliza “Hivyo Cyprus ina uhusiano gani na Mabadiliko ya Uganda, […]

KITAIFA, UCHAMBUZI
June 19, 2024
245 views 26 secs 0

BASHE HAKUTOA VIBARI KWA MKONO WAKE,VIBALI VILIAGIZWA NFRA

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA DAR ES SALAAM Sakata la tuhuma za harufu ya ufisadi na rushwa katika vibari vya sukari lililoibuliwa na Mbunge wa kisesa Luhaga Mpina limeendelea kuzua mjadala na kuwaibua watu wa kada mbalimbali kuzungumzia sakata hilo, Mchambuzi wa maswala ya uchumi na siasa Kassim Kibao ameibuka na kuzungumza na waandishi wa habari […]

UCHAMBUZI
April 26, 2024
376 views 46 secs 0

FAHAMU NUKUU 3 ZA RAIS SAMIA KWA KUTUMIA MATUMIZI YA MBEGU NA MICHE BORA KWA WAKULIMA

Zikiwa zimesalia siku 5 kuelekea kusomwa kwa Bajeti ya Wizara ya Kilimo, tumekuletea nukuu 3 za Rais Samia alipozungumza katika majukwaa tofauti juu ya umuhimu wa Tanzania kujitosheleza katika uzalishaji wa Mbegu na Miche bora 1. “Serikali imeviboresha vituo  vya utafiti na mashamba ya uzalishaji mbegu kutokana na kujiingiza kwenye masuala ya uzalishaji mbegu za […]

UCHAMBUZI
April 26, 2024
395 views 13 secs 0

ZIJUE FAIDA 4 ZA WAKULIMA KUTUMIA MBEGU NA MICHE BORA

Zikiwa zimebaki siku 5 kuelekea kusomwa kwa Bajeti ya Wizara ya Kilimo Bungeni kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025 inayosubiriwa kwa shauku kubwa na wakulima nchini, tumekuandalia makala fupi uweze kufahamu faida za matumizi ya mbegu na miche bora katika kilimo cha kisasa na chenye tija 1. Matumizi ya Mbegu na Miche bora husaidia mazao kustahimili […]

KITAIFA, UCHAMBUZI
December 13, 2023
381 views 2 mins 0

JESHI LA POLISI LAVURUGA MIKUTANO YA CUF NA KUHATARISHA AMANI HANDENI

Chama Cha Wananchi-CUF kikiwa kinaendelea kufanya hadhara Katika ngazi za kata na wilaya Katika maeneo mbalimbali Ili kujiimarisha Katika chaguzi zijazo Kwa Takribani mwezi mmoja Sasa,Jeshi la polisi limeweza kujiingiza Katika siasa ya kukwamisha mikutano ya hadhara ya chama Cha wananchi CUF hususani kwenye ngome za CUF Hayo yamesemwa na mkurugenzi wa habari,Uenezi na Mawasiliano […]

UCHAMBUZI
December 04, 2023
413 views 4 secs 0

MAELEKEZO YA RAIS DKT.SAMIA KUHUSIANA NA JANGA LA MAFURIKO YALIYOTOKEA HANANG-MANYARA

Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan , ametoea maelekezo yafuatayo. 1 Amuelekeza Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa kuwa Serikali igharamie mazishi ya wote waliopoteza maisha kutokana na mvua kubwa iliyotokea na mafuriko katika Halmashauri ya Wilaya ya Hanang. 2 Majeruhi wote wapatiwe matibabu yote yanayostahili kwa […]

UCHAMBUZI
November 30, 2023
7446 views 35 secs 0

JUA MAKABILA KUMI WANAWAKE WAREMBO

1.Wahiraki, Hawa ni wanawake wa jamii ya Wahiraki wa napatikana kaskazini mwa Tanzania wamezagaa mikoa ya manyara ni weupe Wana Umbo zuri wanavutia kwa Macho. 2. Warangi, Hawa ni wanawake jamii ya Warangi ni wazuri nywele zao ni asili ya waraabu weupe sura nzuri wanapatikana kondoa. 3. Wanyiramba. Hawa ni warembo Sana sura matata wanapatikana […]

KITAIFA, UCHAMBUZI
November 29, 2023
471 views 2 mins 0

MASISI:AISHUKURU SERIKALI KWA KUMFUTIA TUHUMA LA KANISA LAKE

Kanisa la Spirit Word Ministry lililofungiwa usajili Kwa sababu ya kutuhumiwa kusapoti maswala ya ushoga na serikali kulifungia kanisa hilo Mnamo Mwezi WA 3,2023 na serikali kusimamisha huduma na kufunga ukumbi waliokuwa wanafanyia huduma Awali serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania Kwa kushirikiana na polisi limeweza kumfutia tuhuma hizo baada ya polisi kujilidhisha na […]